The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Hili bifu la clouds fm na WCB kiasi fulani linanishangaza
na linanipa maswali kibao......
But nakumbuka jinsi TID enzi zake anajiita 'TOP IN DAR'
alivyowavimbia clouds hadi siku ile anaitisha press na kuwaomba msamaha...
wengi kwa kweli hatukuamini na hatukuelewa hasa anaomba msamaha kwa kosa
gani? na hata alipoulizwa why unaomba msamaha alishindwa kujibu..
Kwa sasa mashabiki wa Diamond wanasema clouds si lolote si chochote
WCB ni kubwa kuliko CLOUDS......sasa najiuliza tu je huu mpambano nani atashindwa?
je 'wataalam ' wa fitna safari hii wamekutana uso kwa uso?
na siku ikitokea Diamond au meneja wake yeyote anawaomba msamaha clouds...
itakuaje?...
Binafsi nna maswali kibao....
1.ugomvi huu hasa chanzo ni nini?
2.Mkubwa Fella yuko upande upi?
3.tv ya WCB ni yao wao au wana sponsor? sponsor wao ni nani?
4.Ruge na Salaam wana bifuu lingine la personal?
5.mikataba ya Diamond kwenye karanga na perfume itakuwa canceled ?
6.victims wa beef hili watachagua upande?...
WCB wakiweza hili beef kuibuka washindi naona ndo itakua mwanzo wa mwisho wa clouds
kuwa na nguvu hii kwenye industry but je wataweza?
au na wao wataishia kama TID na Ruby kuja kuomba msamaha?
na linanipa maswali kibao......
But nakumbuka jinsi TID enzi zake anajiita 'TOP IN DAR'
alivyowavimbia clouds hadi siku ile anaitisha press na kuwaomba msamaha...
wengi kwa kweli hatukuamini na hatukuelewa hasa anaomba msamaha kwa kosa
gani? na hata alipoulizwa why unaomba msamaha alishindwa kujibu..
Kwa sasa mashabiki wa Diamond wanasema clouds si lolote si chochote
WCB ni kubwa kuliko CLOUDS......sasa najiuliza tu je huu mpambano nani atashindwa?
je 'wataalam ' wa fitna safari hii wamekutana uso kwa uso?
na siku ikitokea Diamond au meneja wake yeyote anawaomba msamaha clouds...
itakuaje?...
Binafsi nna maswali kibao....
1.ugomvi huu hasa chanzo ni nini?
2.Mkubwa Fella yuko upande upi?
3.tv ya WCB ni yao wao au wana sponsor? sponsor wao ni nani?
4.Ruge na Salaam wana bifuu lingine la personal?
5.mikataba ya Diamond kwenye karanga na perfume itakuwa canceled ?
6.victims wa beef hili watachagua upande?...
WCB wakiweza hili beef kuibuka washindi naona ndo itakua mwanzo wa mwisho wa clouds
kuwa na nguvu hii kwenye industry but je wataweza?
au na wao wataishia kama TID na Ruby kuja kuomba msamaha?