Life2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,377
- 4,847
- Thread starter
- #21
Wanaume mna uwanja mpana sana na muda wa kutosha kupata mwenza
Utapata mtakayependana,tuliza akili na usikurupuke usije kupata atakayekufanya uyachukie mapenzi
Asante sana dada mzuri kwa kunipea moyo mpaka usingizi umecome, ngojea niendelee kuvuta pumzi may b ipo siku nami ntajipatia pambo la nyumba anipende kwa raha na shida awe tiyari kulumangia ugali mkavu na kachumbari