It will be suicide for America to attack Iran

Pumba...kwa akili yako meli za USA niza kuzamishwa kirahisi ivyo.au unazani wakati waki zamisha USA atakua kasimama tu
Kwan hata vile vikambi vilikua vyakupigwa kirahisi vile na mbona vikachapwa nawafadhili wakubwa wa ugaidi ulimwenguni US hawakujibu kitu mpaka leo hii [emoji23][emoji3]

Sent using My COVID-19
 
Wakianza tandikwa wanakimbia na kuacha makobasi nyuma mtaanza sema marekani anaburuga nchi za wenzake. Marekani habari ingine kabisa
Kama walivyokimbia wao baada ya kutandikwa pale AIN al ASAAD [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
Kwan hata vile vikambi vilikua vyakupigwa kirahisi vile na mbona vikachapwa nawafadhili wakubwa wa ugaidi ulimwenguni US hawakujibu kitu mpaka leo hii [emoji23][emoji3]

Sent using My COVID-19
Zikipita tu ayatollah lazima apige simu UN
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bahati Mbaya Ama Nzuri Hua Siongelei Kiushabiki Hv Unawaza Nini Mpaka Unaifananisha RUSSIA na IRAN kijeshi ?!


Ama Hukukusudia RUSSIA !?.

Sent using My COVID-19
Nilichouliza ndo nilichomaanisha, we jibu swali blah! blah! Hazisaidii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio rais Kama unavyo fikiria mkuu Iran wanaweza kufanya shambliz popote pale kwa adui anae weza kuwafikia Iran hawezi pigwa kwa meli Iran Sio Tanzania labda wajaribu kwa ndege
Marekani hamna nchi inaiweza sababu wamjiimarisha duniani. Wana military base kila mahali. Yaani wakipbana na iran watakachofanya ni kusogeza manowari zilizo karibu na meli za kivita na kumaliza kazi huko huko iran huku us wakiwa wako bize na korona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi Russia akimtandika iran, Iran atauweza kweli mziki wa Russia? au Russia ndo ataadhibiwa na Iran?

Sent using Jamii Forums mobile app
IRAN Sio RUSSIA tu Ama US IRAN Yeyote Atakaejitoa Ufahamu Atapewa Anachostahili Awe RUSSIA awe US awe UK awe GERMAN awe ISRAEL awe FRANCE ama Yeyote Atapewa Anachostahili

IRAN Hajawahi Nahatawahi Anzisha Uvamizi nataifa lolotelile ila atakapo chokowa majibu yake yatakua makali sana


Rejea UK alipoikamata Meli Yamafuta Ya IRAN Alifanyiwa Nini Meli Yake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]

Rejea US Alipomuua SOLEIMAN Kambi Zake Zilifanywa Nini

Iwe RUSSIA US UK CHINA GERAMN FRANCE ITALY Yeyote Atapiga Kipigo Kikali Kweli Kweli Tena.

Sent using My COVID-19
 
Unaweza ukajibu straight ila majibu yasiwe straight
Uingereza atachezea kichapo kama amekaa, Tena kipigo cha mbwa koko.

Nimewajibu straight sio kama blah! blah! Zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Atatandikwa kwakigezo gani kama TALEBAN Kakikundi cha Watu wawili watatu kimempelekesha Aje Ampige UK Anaumwa Labda Huyo UK ?!

Sent using My COVID-19
 
Unaweza ukajibu straight ila majibu yasiwe straightAtatandikwa kwakigezo gani kama TALEBAN Kakikundi cha Watu wawili watatu kimempelekesha Aje Ampige UK Anaumwa Labda Huyo UK ?!

Sent using My COVID-19
Mwishowe utasema hata majambazi tu yanayopora kule US yamewashinda[emoji23][emoji23]

Vilevile mrusi anatandika Iran kama binti mdogo wa kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Msome upya soleiman na umlingsnishe upya na park

IRAN kama angekua Mdhaifu Kama Mnavyomsemea Asingethubutu Hata Kuijaribu US kwakuripua Kambi Zake Maana Anajua Baada Ya Hapo Mnamuona Nakumkuza Yakwamba Mbabe Wavita US angemuadhibu Vibaya Sanaa

US nayeye Kama Angekua Anamaguvu Kama Mnavyomsifu asingeacha Kuiadhibu IRAN baada Yakuona Wameshambulia Kambi zake

IRAN Angekua Wakawaida Asingeteka WANAMAJI wa US Angekua Wakawaida Asingelipiza Kuteka Meli Ya UK baada Ya UK kuteka Meli Yake Na Akawaambia Kabisa Kama Meli haitoki mpaka watakapoachia MELI yao nabaada Ya meli Yao Kuachiwa Huru Wakakaa Week Mbili Kabla Kuuachia Meli Ya UK

Kuna Mataifa Machache Sana Yanayoweza Mambo Makubwa Kama Anayofanya IRAN tena Hata Matano Hayavuki

Sent using My COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…