wakuu!
msaada kwa mwenye cd za program muhimu kama windows 7,xp,8 obunt,antivirus na zingine muhimu anisaidie nimepoteza poch ya cd kwenye harakati za mjini. kama unaishi bagamoyo road na maeneo karibu na hayo kama ubungo manzese mwananyamala tegeta boko bunju mapinga ntakufuata maana kazi zimesimama!!
pia mwenye ushauri juu zaidi juu ya hz kazi IT kwamtu asie na ofic karibu pia
shukrani
msaada kwa mwenye cd za program muhimu kama windows 7,xp,8 obunt,antivirus na zingine muhimu anisaidie nimepoteza poch ya cd kwenye harakati za mjini. kama unaishi bagamoyo road na maeneo karibu na hayo kama ubungo manzese mwananyamala tegeta boko bunju mapinga ntakufuata maana kazi zimesimama!!
pia mwenye ushauri juu zaidi juu ya hz kazi IT kwamtu asie na ofic karibu pia
shukrani