Soory umechelewa la sivyo. Project itakuwa un managableEmbu edit uniongeze hapo!
Mkuu hii kitu ipo online tayari. Bofya kiungo hiki Tanzania yellow page. Ukifungua utakuta kitu kama hii ambayo umeshauri tufanye.
Labda cha kufanya, watu wapitie hiyo TYP, na waangalie kinacho kosekana kwenye hiyo website, kisha waje na wazo nini cha kufanya kilicho bora zaidi ya hiyo TYP.
Vile vile nisiiwakatishe watu tamaa, nilicho kiona kinakosekana uko, ni sekta za kielimu, sekta za afya, kwa maana ya mahospitali na zahanati kwa ufupi kuna lack of information, ambazo sisi kama tutafanikiwa basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana.
Vile vile kuna hii website inatwa: Search Engine East Africa - Tafuta.net
na nyingine hii Search Tanzania | A Search Engine dedicated to Tanzania!
na Tanzania Online Gateway - a gateway to information on development issues in Tanzania
Kwa ufupi mnaweza kupitia hapa: Tanzania search engines: Tanzania tovuti hii imekusanya website zinazo endana na hii ambayo wewe umeshauri.
Mimi nashauri jina la project liwe: Tanzania Search Engine, jina la website liwe: http://www.Tanzsearch.com or .net or .org or .co.tz
Humo tutakusanya full address, location, na picha ya jengo husika.
Kwa mfano mtu akiwa anaitafuta hospitali ya Muhimbii, basi aone vitu hivi vifuatavyo:
Picha au (na) nembo ya Muhimbili hospital
Name:Contacts:
MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL,
Address:
P.O. Box 65000,
DAR ES SALAAM, TANZANIA.
Telephone: +255(22) 2151599
Telephone: +255(22) 2151369
Telephone: +255(22) 2150534
Fax: +255(22) 2150534
EMail: info@mnh.or.tz
Location:
Upanga
Mkuu kila project ina jina lake, mimi nimependekeza jina hapo juu, sijaona mtu kukubali au kupendekeza jina jingine. Tukubaliane kwenye jina kwanza, kisha mambo mengine ndio yaje....Au mnasemaje wadau?
To: Team members na Project leader
Lets brain storm site map ya website na Design ya daatabase tutakayokuwa nayo back edn, regarless of implemtations solution tutakayotumia.
eg
---Home page itakuwaje na viunganisho(link) gani , input field search box ,etc
---Idadi na majina ya tables, field za table etc
Mkuu kila project ina jina lake, mimi nimependekeza jina hapo juu, sijaona mtu kukubali au kupendekeza jina jingine. Tukubaliane kwenye jina kwanza, kisha mambo mengine ndio yaje....Au mnasemaje wadau?
fosha said:wakubwa tupo pamoja but nashaur tuwe tunacontact everyday ili kua pamoja..siunajua contact ndo mpango mzima,and leader na wenzake wangeanza kuumiza kichwa da way ya kugawanya kazi..kwenye group
Mkuu ilo jina la tanzania search engine, ni jna la project. Jina au domain name nimependekeza http://www.Tanzsearch.com au .net au .org au .co.tz.tanzania searchengine nadhani ni scope kubwa sana na ni complex. jina la searchengine halielezei maudhui ya project yetu but ngoja tusikilize member wengine watasemaje. may be tanzaniacontacts.com inawezakuwa sahihi zaidi
You can design it to be plugin oriented so that you only work for Core and ANYONE can extend it with plugin. Basically plugin system have three parts:This project is huge, so its gonna Extensible. As for this team we might only touch few things. Then, later some other need to come in to add more features.
Mtazamaji
Kwanza nakupa congrats mkuu kwa kuanzisha hii simple project. hii itasaidia watu kuelimika zaidi na tutajifunza mengi. kwa kweli ume-frame a very interesting programm Nilikutana na wazo lako nikiwa nimeshachelewa (jana) But I may assure you that members uliowapata watatekeleza yale yote yaliyokusudiwa.
To all the members
I very much regret that I won't be in, probably you are aware that first-In, first-served. na ninyi mliwahi nafasi zimejaa. So nawatakia mafanikio mazuri kufanikisha project hii. All the best
Organize project nyingine tofauti kabisa na hii...itapata members na tutaenjoy kuona mambo mengi hapa!Mtazamaji
Kwanza nakupa congrats mkuu kwa kuanzisha hii simple project. hii itasaidia watu kuelimika zaidi na tutajifunza mengi. kwa kweli ume-frame a very interesting programm Nilikutana na wazo lako nikiwa nimeshachelewa (jana) But I may assure you that members uliowapata watatekeleza yale yote yaliyokusudiwa.
To all the members
I very much regret that I wont be in, probably you are aware that first-In, first-served. na ninyi mliwahi nafasi zimejaa. So nawatakia mafanikio mazuri kufanikisha project hii. All the best