IT Project Kwa Vitendo

Embu edit uniongeze hapo!
Soory umechelewa la sivyo. Project itakuwa un managable

Ni rahisi kufanya IT project ya watu 20 mkiwa ofisi moja lakini ni kazi kubwa kufanya project kama hiyo ya watu hata 10 kila mtu akiwa remote. Its a challenge by itself.

Hope utaelewa . utashirikishwa next time ukiwepo.


To: Team members na Project leader


Lets brain storm site map ya website na Design ya daatabase tutakayokuwa nayo back edn, regarless of implemtations solution tutakayotumia.

eg
---Home page itakuwaje na viunganisho(link) gani , input field search box ,etc
---Idadi na majina ya tables, field za table etc
 

hivi office za bongo simu zao,emails na fax zinafanya kazi kweli?
 
Mkuu kila project ina jina lake, mimi nimependekeza jina hapo juu, sijaona mtu kukubali au kupendekeza jina jingine. Tukubaliane kwenye jina kwanza, kisha mambo mengine ndio yaje....Au mnasemaje wadau?
 
wakubwa tupo pamoja but nashaur tuwe tunacontact everyday ili kua pamoja..siunajua contact ndo mpango mzima,and leader na wenzake wangeanza kuumiza kichwa da way ya kugawanya kazi..kwenye group
 
Mkuu kila project ina jina lake, mimi nimependekeza jina hapo juu, sijaona mtu kukubali au kupendekeza jina jingine. Tukubaliane kwenye jina kwanza, kisha mambo mengine ndio yaje....Au mnasemaje wadau?

tanzania searchengine nadhani ni scope kubwa sana na ni complex. jina la searchengine halielezei maudhui ya project yetu but ngoja tusikilize member wengine watasemaje. may be tanzaniacontacts.com inawezakuwa sahihi zaidi

fosha said:
wakubwa tupo pamoja but nashaur tuwe tunacontact everyday ili kua pamoja..siunajua contact ndo mpango mzima,and leader na wenzake wangeanza kuumiza kichwa da way ya kugawanya kazi..kwenye group

Fosha wote tuwe active member sasa leader hawezi kugawa majukumu ambayo hatujamsaidia kuyatambua na kugawa. So ungekuja na wazoau idea unaona project igawanyweje, kwenye majukumu yapi nayapi na ifanyikeje au tufate stage gani ingekuwa powa. Leader kazi yake iwe ku coordinate tu.So logically lets assume every member is a leader.

VileVile kuna thread Project leader RedSilverDog kauliza na kaomba member tutaje idea au some skiils tunazojua au tulizonazo

Jua kali nakuona upo mda mrefu lakini kimya
 
tanzania searchengine nadhani ni scope kubwa sana na ni complex. jina la searchengine halielezei maudhui ya project yetu but ngoja tusikilize member wengine watasemaje. may be tanzaniacontacts.com inawezakuwa sahihi zaidi
Mkuu ilo jina la tanzania search engine, ni jna la project. Jina au domain name nimependekeza http://www.Tanzsearch.com au .net au .org au .co.tz.

Nadhani kwa kuanzia, baada ya kukubaliana jina, ni kuainisha nini kinatakiwa kufanyika kwenye hii project. Tukishakubaliana ndipo majukumu yagawiwe.
 
A good start in providing home grown solutions.
Kama mtazamaji alivyosema, watu kuchangia na kuifuata hii project pia kutachangia the direction inayofuata. Suggestions and critique zote zitasikilizwa na the team kuhusu jinsi ya kuendeleza hii project.
My take, hii system ni directory service, don't re-invent the wheel and write something from scratch, look at say Joomla and the various modules that are already in place and can be used for the directory based services, nadhani mifano iliyotolewa hapo juu inaelezea sana sana ni jinsi gani the base system inaweza kuwa extended:- rating, comments, grouping etc. kwa hiyo team, all the best.

Can I recommend a prototyping tool: Serena Prototype (Community Edition)

RedSilverDog:- Tupe shule ya Ruby on Rails.... tofauti yake na LAMP (Linux, Apache, MysSQL, PHP). Nacho fahamu tu ni kuwa TWITTER is written in this framework lakini sina examples nyingine popular.
 
Kwa kuwa nimechelewa kujiunga nitashauri tu kuangalia haya:


Watumiaji
Ni muhimu kuangalia jinsi gani mtalenga watumiaji. Je watatoka
kwenye other serach engine/ sites au watakuwa members kama
wa hapa JF. Kama watatoka kwenye search engine ni lazima
muangalie SEO (link building strategy).

Hii ni kwasababu tovuti mpya huwa zinapata taabu sana kupata
umaarufu mtandaoni.

Data Insertion
Pia lazima kuangalia ni jinsi gani data (mf anwani za hospitali)
zitakuwa zina patikana . Je zitakuwa zinapatikana manually
(user generated as in web2.0 sites like youtube, facebook) au
automatically by scraping data from other sites using bots like
googlebot.

Hopeful this will shed some light to team members.
 
Sema nimechelewa kuona....Wakati mmnaanzia ningeweza kushiriki katika.....Kukusanya data za XYZ,kutengeneza ...Map za maeneo husika..plus upload kwenye SDI Server ambayo itakuwa inapatikana...kwenye internet kama vile google...but next time mkihitaji msaada tutakuwa pamoja....
 
Members,
Kuna mtu anaweza kuandika project plan document, so that tujue steps ili tupangiane majukumu.

Roughly:
Planning is now.
Requirement Analysis
Design.....
 
This project is huge, so its gonna Extensible. As for this team we might only touch few things. Then, later some other need to come in to add more features.
 
Members,
Kuna mtu anaweza kuandika project plan document, so that tujue steps ili tupangiane majukumu.

Roughly:
Planning is now.
Requirement Analysis
Design.....

OK ngoja nijaribu
 
This project is huge, so its gonna Extensible. As for this team we might only touch few things. Then, later some other need to come in to add more features.
You can design it to be plugin oriented so that you only work for Core and ANYONE can extend it with plugin. Basically plugin system have three parts:
1. The Core System
2. Plugin Manager
3. Plugin/Manager Interfaces.
I can help on basic layout if your team concur to use this approach!
 
mi nafatilia tu wazee...kaz nzuri mnayoipanga..ol the best.
 
As alwayz JF z place to learn..!
 
Mtazamaji
Kwanza nakupa congrats mkuu kwa kuanzisha hii simple project. hii itasaidia watu kuelimika zaidi na tutajifunza mengi. kwa kweli ume-frame a very interesting programm Nilikutana na wazo lako nikiwa nimeshachelewa (jana) But I may assure you that members uliowapata watatekeleza yale yote yaliyokusudiwa.

To all the members

I very much regret that I won't be in, probably you are aware that first-In, first-served. na ninyi mliwahi nafasi zimejaa. So nawatakia mafanikio mazuri kufanikisha project hii.
A journey of a thousand miles begins with a single step.
All the best
 

Ahsante. Usikae mbali lakini.
 
Organize project nyingine tofauti kabisa na hii...itapata members na tutaenjoy kuona mambo mengi hapa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…