Ushauri ni kwamba hapo masters haitafaa jaribu ICT CertificationNasubiri ushauri
Nimekupata mkuu..je kama sina it ila na tamani kuzisoma itawezekana..?Hizi hutolewa na vendor husika kama cisco-hawa ni kwa upande wa network, ceh-hawani upande wa security, cisa -inatolewa na isaca katika mambo ya system audit, microsoft. Ziko nyingi sana....kama uko ktk industry ya IT lazima utakuwa umezisikia.. Ila kama uko nje ya IT ni ngumu kuzielewa. Mitihani yao ni online, unaweza soma course online au kunabaadhi ya centers hapa tz wanafundisha
IT ajira zipo nyingi sana. Jitahidi **** application na Kutafuta connection utafanikiwaHabari wakuu! Nakuja mbele zenu kuomba ushauri hasa kwa wajuzi wa mambo katika soko la ajira za IT.
Kijana wenu ninadegree ya IT niliyoipata miaka 2 iliyopita ila sikuwa na Gpa nzuri sana (2.8).
Je kwasasa nipitie njia gani ili niweze kupata ajira kwa urahisi...maana nimeangaika sana sijafanikiwa kupata ajira.
Je nijiongezee elimu kwenye masters kutokana na degree yangu sikuperform GPA kubwa(yawezekana ndo sababu ya kutoajiriwa mpaka leo) au nianze kutafuta hizi professional certification kama cisco ccna,microsoft mcsa,ceh,isaca cisa.
Naomba kuwasilisha!
Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
Aiseee!Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
MhhhhhCertifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
AhahaahahahahahaCertifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
Safi sana kwa kuiona fursa. Ofisi zenu zinapatina wapi mkuu?Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.