Wakuu habari za mida hope mu wazima
Naomba kuwasilisha kwenu thread hii ambayo tutakua tunasaidiana matatizo mbalimbali yanayohusu IT and Telecomm Field
Wakuu habari za mida hope mu wazima
Naomba kuwasilisha kwenu thread hii ambayo tutakua tunasaidiana matatizo mbalimbali yanayohusu IT and Telecomm Field
Mkuu, naomba kujua kuhusu window 10 maana naona kama Microsoft wanaifanyia promotion sana. Swali langu ni kwamba kwa ujuavyo ww au mwingine anaweza kunisaidia. Ina vitu gani vizuri vya ziada aisee!?
Wakuu habari za mida hope mu wazima
Naomba kuwasilisha kwenu thread hii ambayo tutakua tunasaidiana matatizo mbalimbali yanayohusu IT and Telecomm Field
Umeuliza kama mtoto wa darasa la pili(serious).
"Wamehack akaunti"- Account ya bank, ya simu, ya computer, ya facebook,twitter au account ya wapi???
Umejuaje wamehack,yaani umeona mabadiliko gani?
Umeuliza kama mtoto wa darasa la pili(serious).
"Wamehack akaunti"- Account ya bank, ya simu, ya computer, ya facebook,twitter au account ya wapi???
Umejuaje wamehack,yaani umeona mabadiliko gani?