Ninakuelewa kwa mapana sana mleta mada.
Hii kauli ya Haji Kutumika na watu fulani kwangu sioni kama ina mashiko sana. Kwanini?
Je, anayosema haji kuhusu Barba kusign tenda ya miaka miwili ya Azam na Simba kwa misimu miwili ni 300ml lina ukweli?
Kuhusu watu kutimuliwa kazi sababu ya Barba lina uhalisia? Kuhusu mapato na matumiz na uwekezaji wa Moo, Je haji amedanganya?
Twendeni mbele turud nyuma, tume/shirika linalohusu mabadiliko ya kiushindani TZ iliwahi kuhoji mambo haya haya nayo pia inaihujumu Simba?
Simba itampuuzia sana Haji ila ipo siku mtampigia magoti haji, na Haji atapigiwa magoti kipindi ambacho Simba itaenda mrama.
Hii kauli ya Haji Kutumika na watu fulani kwangu sioni kama ina mashiko sana. Kwanini?
Je, anayosema haji kuhusu Barba kusign tenda ya miaka miwili ya Azam na Simba kwa misimu miwili ni 300ml lina ukweli?
Kuhusu watu kutimuliwa kazi sababu ya Barba lina uhalisia? Kuhusu mapato na matumiz na uwekezaji wa Moo, Je haji amedanganya?
Twendeni mbele turud nyuma, tume/shirika linalohusu mabadiliko ya kiushindani TZ iliwahi kuhoji mambo haya haya nayo pia inaihujumu Simba?
Simba itampuuzia sana Haji ila ipo siku mtampigia magoti haji, na Haji atapigiwa magoti kipindi ambacho Simba itaenda mrama.