OHB11
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 494
- 1,028
Wewe hujui kitu kuhusu Uislam nyamaza kimya... Ukiujua ukweli utakuwa huru. kawaulize wataalamu wa Dini wakupe elimu... unadhamu Dini ni ushabiki... soma hiyo...
Mkuu wewe ndiyo hujui kitu na ndiyo maana unakimbia hoja uliyoanzisha mwenyewe yani umeshindwa kuitetea hoja yako
Labda ungemkosoa kwa maelezo aliyotoa ungedhihirisha kwamba unajua unachokisema na anachosema mkuu hapo lakini wapi
hivyo umedhihirisha kwamba umetumia hisia sana kuongelea uislam na mwezi
Pia lengo la keleta huu uzi lilikua nahisi uliweka hisia za kidini kwa kiwango flani yani kiufupi wewe ni shabiki wa nchi teule au pro
Sent using Jamii Forums mobile app