Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,313
- 13,618
Sisi tuendelee kubangua korosho! Hizo ni propaganda za magharibiHakuna nchi duniani imeshawahi kutuma chombo mwezini. Hizo ni propagation. Hollywood movies.
Sisi tuendelee kubangua korosho! Hizo ni propaganda za magharibiHakuna nchi duniani imeshawahi kutuma chombo mwezini. Hizo ni propagation. Hollywood movies.
umesau na kufunga watoto vifungo vya maishaWe unayebisha unakujua huko mwezini? By the way,wazungu hawa hawa waliokuletea story ya kwamba mwezi upo mbali na dunia ndio hawa hawa wanakwambia wamewahi kufika sasa wewe unabisha nini?
Muda mwingine story kama hizi unasoma unapita tu, wewe na serikali yako mmeamua kuwekeza kwenye kukandamiza matajiri, kuua demokrasia, kuteka na kuua watu, hivyo deal with that men. Dunia waachia wazungu
kwan kuna ugumu gan kwenda huko? mwaga elimu mkuuFiction hiyo hakuna mtu aliyewahi kufika mwezini usidanganyike.
boss kuna sattelite afu kuna chombo kwenda mwezini iran walirusha sattelite yao anganiwenzao iran walituma kitambo tu wao ndo wanatuma leo wanajaribu kufata nyayo za Iran eeh
ilifail kabla ht ya kufika kwe earth orbitboss kuna sattelite afu kuna chombo kwenda mwezini iran walirusha sattelite yao angani
hujaelewa somo, kaa pembeniWaislamu hawajawahi na hawatawahi kuabudia mwezi.Waislamu wanamuabudu Allah.Ama alama ya mwezi katika baadhi ya misikiti haina asili katika uislamu.Ila ni alama tu inayotumika kujulisha huu ni msikiti na ndio inayotumika hata katika jiografia.Ndio maana kuna misikiti mingi tu haina ingekuwa ndio unaabudiwa kila msikiti ungeiweka.
Swalo la msingi linaloulizwa: tangu marekani watangaze kufikisha wanadamu mwezini, ni kwa nini hakuna binadamu mwingine aliyewahi kwenda huko zaidi ya kurusha vyombo tu licha ya maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia?Hakuna nchi duniani imeshawahi kutuma chombo mwezini. Hizo ni propagation. Hollywood movies.
Wewe ndio hujaelewa ukae pembeni.Hyo post niliyoquote aliedit.
Ni kweli kabisa. Ila kuna maneno haya hunitatanisha. An Israel born i South Africa, born in US, born in Tz hawa huwa wanamaanisha nini?Nyuma ya Mafanikio ya Israel kuna Mmarenakani! Kuanzia Defence projects nyingi kuna Mmarekani anamsaidia! Mfano tatizo kubwa la kupeleka satellite masafa ya Mbali ni Rockets technology apa Israel amepeleka Satellite yake US ili wampelekee na apa tunaona nyingi nyingi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
wala hakuna mwanadamu aliewahi kufariki hizo ni propagation holliwood movies.JFraha sanaHakuna nchi duniani imeshawahi kutuma chombo mwezini. Hizo ni propagation. Hollywood movies.
toka ile siku mpaka leo,nadhani kitakuwa kimeshafika Manzese kama sikosei.....wenzao iran walituma kitambo tu wao ndo wanatuma leo wanajaribu kufata nyayo za Iran eeh
Nadhani ni ile kujali u-Israeli wao kwanza au baada au kujiainisha tu kuwa,licha ya yeye kuzaliwa nchi fulani,lakini yeye ni muisraeli kwa asili na apenda ijulikane hivyo.Kuna m-Tz aliyeenda US,tena ukubwani kabisa na kufanikiwa kuupata uraia wa kule.Hujitambulisha kwa ile nchi,na si Tz na hataki hilo asilani.Hii ndio tofauti ya mpenda nchi yake na m'babaikiaji nchi za wengine!Ni mtazamo tuNi kweli kabisa. Ila kuna maneno haya hunitatanisha. An Israel born i South Africa, born in US, born in Tz hawa huwa wanamaanisha nini?
Wewe hujui kitu kuhusu Uislam nyamaza kimya... Ukiujua ukweli utakuwa huru. kawaulize wataalamu wa Dini wakupe elimu... unadhamu Dini ni ushabiki... soma hiyo...Waislamu hawajawahi na hawatawahi kuabudia mwezi.Waislamu wanamuabudu Allah.Ama alama ya mwezi katika baadhi ya misikiti haina asili katika uislamu.Ila ni alama tu inayotumika kujulisha huu ni msikiti na ndio inayotumika hata katika jiografia.Ndio maana kuna misikiti mingi tu haina ingekuwa ndio unaabudiwa kila msikiti ungeiweka.
Nikosoe makosa yangu nitambue.Nitajue huyo mtaalamu nimfuate.Kwa majibu yako inaonekana hujui uislamu hata kwa kiwango cha kawaida.Lipi kosa katika maneno hayo?Wewe hujui kitu kuhusu Uislam nyamaza kimya... Ukiujua ukweli utakuwa huru. kawaulize wataalamu wa Dini wakupe elimu... unadhamu Dini ni ushabiki... soma hiyo...
Mkuu issue za kuelezana mambo ya Dini nilishaacha humu na post zangu nilizokuwa nawajibu humu watu karibu zote nilizifuta so nimeamua ni move forward waliofahamu walishatosha so najua wangi ni vipofu but kazi yangu nilishamaliza subiri waokozi wengine waje watakusaidia... Lete issue nyingine ila Bendera ya Israel kukaa kwenye Mwezi ni big embarrassment to Muslim world.Nikosoe makosa yangu nitambue.Nitajue huyo mtaalamu nimfuate.Kwa majibu yako inaonekana hujui uislamu hata kwa kiwango cha kawaida.Lipi kosa katika maneno hayo?
Kama bendera ya Marekani ishakaa,urusi na China haijawa embarrassment Leo iwe Kwa ajili ya kibendera cha Israeli? Sio hivo tu hata Israeli wafungue baa huko haitakuwa embarrassment.Kwa kuwa mwezi kwetu hatuuabudu.Mkuu issue za kuelezana mambo ya Dini nilishaacha humu na post zangu nilizokuwa nawajibu humu watu karibu zote nilizifuta so nimeamua ni move forward waliofahamu walishatosha so najua wangi ni vipofu but kazi yangu nilishamaliza subiri waokozi wengine waje watakusaidia... Lete issue nyingine ila Bendera ya Israel kukaa kwenye Mwezi ni big embarrassment to Muslim world.