Zelensky kichwa maji,Rais wa Ukraine alikuwa amepanga kuongozona na Blinken kwenye ziara yake huko Israel kwa lwngo la kuonesha mshikamano lakini Israel wamemkatalia.
Wakati huo cancellor wa Ujerumani, rais wa Ufaransa, Waziri mkuu wa Uingereza na baadhi ya viongozi wengine waliopanga kwenda Israel wameruhusiwa.
WHY?
I bet ni kwa sababu ya mahusiano yaliyopo kati ya Russia na Israel.
Ama ni kwa sababu Israel wanahisi Zele anataka kufanya hiyo ziara kudraw attention ya West kuwa wasimsahau kwenye misaada kwani Ukraine na Tel Aviv wote ni wahanga.
More:
Netanyahu's officials reportedly informed the Ukrainian president that “the time is not right”
Ukrainian President Vladimir Zelensky wished to visit Israel, in an attempt to link his country's cause to that of the Jewish state, but was asked to stay away, Ynet reported on Monday.
Zelensky was allegedly told “the time is not right” for making such a trip, the outlet explained. The Ukrainian president allegedly wanted to travel to the country alongside US Secretary of State Antony Blinken.
His intention to visit Israel to show “solidarity” was first reported by Axios last Wednesday. The trip would have boosted “international support for Israel’s counteroffensive against Hamas in Gaza,” the report suggested.
pole mkuuHuwez amin aisee
Usawa gani tena......media zilionyesha kira kitu kutoka alwa akbar mpaka free Palestine tena bila upendeleoIsrael kumkaribisha Zelensky ni kuifanya Russia kuwa side ya Hamas na kuipa nguvu Hamas, na hili ndilo myahudi anajaribu kulikwepa kijanja.
Mchezo mzima ni kama kuchagua sides hivyo itapelekea mgogoro wa Hamas na Israel kuwa mtamu zaidi, ndio maana Zelensky kajibiwa si wakati sahihi lakini baadae anaweza kutembelea.
Hamas haina uwezo huo kupambana na Israel lakini hamas wanapowezeshwa kwa silaha na mafunzo toka mataifa yenye nguvu kama Russia, Iran na vikundi kama Hezbollah inaweza pelekea Israel kudhalilika sana na pengine kuomba amani.
Cha mwisho medias ziwe zina balance taarifa uharamia Israel inaofanya Palestine sio sawa, si vizuri kuona wananchi wasio na hatia ndio wanaumia tokea upande wowote ule Palestine au Israel.
Dah.Hili balaa linalo endelea huko mashariki ya kati watu wana elewa nyuma yake yupo nani na nani
Jew wa kuchovya.Zele mwenyewe ni jew.Wamemkatalia sababu aliona wivu kuwa attention imekuwa kwa Israël na si kwa Ukraine tena.
Hata Russia miaka yote anamlaumu US kwa mgogoro wa Gaza. Kuwa anachonganisha.Israel hajajihusisha na yanayoendelea UKRAINE, na sasa hawako tayari kumpokea ZELEMAN kipindi cha vita na HAMAS, nadhani kuna uhusiano flan kati ya ISRAEL na URUSI, ambao unalindwa hapa.
Zeleman etuIsrael hajajihusisha na yanayoendelea UKRAINE, na sasa hawako tayari kumpokea ZELEMAN kipindi cha vita na HAMAS, nadhani kuna uhusiano flan kati ya ISRAEL na URUSI, ambao unalindwa hapa.
Andika tu kiswahili au hata kizigua itapendeza zaidi, lugha zingine waachie wenyewe.True she is confused
Zelezinky his confused man, kwanini analazimisha urafiki?
ISRAEL hataki kumkwaza URUSI, hii inajulikana wazi kuwa Israeli bado anamuheshimu Urusi... Urusi kamsaidia sana Israel kwenye baadhi ya mambo... Kitendo cha kumkaribisha rais wa Ukrein kingechochea uhasama na Urusi
usichojua ni kwamba, Zelesky ana uraia wa Israel, na ndio maana Putin hamuui. angeshamtoa roho kitambo sana.Rais wa Ukraine alikuwa amepanga kuongozona na Blinken kwenye ziara yake huko Israel kwa lwngo la kuonesha mshikamano lakini Israel wamemkatalia.
Wakati huo cancellor wa Ujerumani, rais wa Ufaransa, Waziri mkuu wa Uingereza na baadhi ya viongozi wengine waliopanga kwenda Israel wameruhusiwa.
WHY?
I bet ni kwa sababu ya mahusiano yaliyopo kati ya Russia na Israel.
Ama ni kwa sababu Israel wanahisi Zele anataka kufanya hiyo ziara kudraw attention ya West kuwa wasimsahau kwenye misaada kwani Ukraine na Tel Aviv wote ni wahanga.
More:
Netanyahu's officials reportedly informed the Ukrainian president that “the time is not right”
Ukrainian President Vladimir Zelensky wished to visit Israel, in an attempt to link his country's cause to that of the Jewish state, but was asked to stay away, Ynet reported on Monday.
Zelensky was allegedly told “the time is not right” for making such a trip, the outlet explained. The Ukrainian president allegedly wanted to travel to the country alongside US Secretary of State Antony Blinken.
His intention to visit Israel to show “solidarity” was first reported by Axios last Wednesday. The trip would have boosted “international support for Israel’s counteroffensive against Hamas in Gaza,” the report suggested.
Mjinga ni Putin kwa kuvamia nchi ya mwenzake, hata wewe utakubali jamaa aje kwako amchukue mkeo kiulaini huku majirani wakikucheka??!!Ile vita alikuwa na uwezo wa kuiepusha, watu wamepoteza maisha kwa ujinga wake.
Kuna kua myahudi na kua Isreal katika mawili yeye ni upihalazimishi Israel ni asili yake au hujui n muisrael yule
Mjinga anaweza kuwa ni wewe kwa kutoweza kuchanganua mambo kwa sababu ile ni nchi kubwa haiwezi kukurupuka.Mjinga ni Putin kwa kuvamia nchi ya mwenzake, hata wewe utakubali jamaa aje kwako amchukue mkeo kiulaini huku majirani wakikucheka??!!