Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amefikishwa mahakamani katika kesi iliyokuwa ikisubiriwa kwa shauku kubwa dhidi ya ufisadi kwa muda wa miaka mitatu, kesi hiyo iliahirishwa mwezi Machi kutokana na janga la corona.
Netanyahu amekuwa Waziri Mkuu wa kwanza aliyeko madarakani kufikishwa mahakamani tangu kuundwa kwa taifa la Israel zaidi ya miaka 70 iliyopita.
Tanzania pia inahitaji katiba inayo ondoa watu kuwa juu ya sheria.
#katiba mpya
Netanyahu amekuwa Waziri Mkuu wa kwanza aliyeko madarakani kufikishwa mahakamani tangu kuundwa kwa taifa la Israel zaidi ya miaka 70 iliyopita.
Tanzania pia inahitaji katiba inayo ondoa watu kuwa juu ya sheria.
#katiba mpya