Israel wauchuna kuhusu kuishambulia Iran

Israel wauchuna kuhusu kuishambulia Iran

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Ni zile hadithi za Netanyahu eti bado mwezi Iran iwe na bomu mara eti tunashambulia thubutu, Kama wanajipenda waende! hawathubutu hata tone! telaviv itakua kama mchanga after 10 minutes.

Netanyahu aache kutafuta umaarufu akae na ajiulize matatizo ya umasikini wa wayahudi na nyie puppet wa israel hapa JamiiForums fikisheni ujumbe kwa +netanyahu.
 
Ngoja wenyewe wenye kudhani kuwa Israel ni ndugu zao kwenye imani waje upate matusi yako badala ya kusoma historia wanakariri
 
ni zile hadithi za netanyahu eti bado mwezi iran iwe na bomu
mara eti tunashambulia thubutu!!Kama wanajipenda waende! hawathubutu hata tone! telaviv itakua kama mchanga after 10 minutes
netanyahu aache kutafuta umaarufu akae na ajiulize matatizo ya umasikini wa wayahud
na nyie puppet wa israel hapa jf fikisheni ujumbe kwa netanyahu

Hivi wewe nikuulize kuna vita inaweza chukua dak 10 baina ya nchi2? sipo upande wa islael wala iran lakin kamwe usipende kurahisisha mambo hasa jambo la vita soma magazetin,tazama kwenye tv lakin lisikutokee live.
 
Vita sio rahisi sana. Iran akipigana na Israel jua mmoja ataumia zaidi
 
Hivi wewe nikuulize kuna vita inaweza chukua dak 10 baina ya nchi2? sipo upande wa islael wala iran lakin kamwe usipende kurahisisha mambo hasa jambo la vita soma magazetin,tazama kwenye tv lakin lisikutokee live.

Do yu know missile speed?Au mnadanganyana 2 unaijua iran?
 
Ngoja wenyewe wenye kudhani kuwa Israel ni ndugu zao kwenye imani waje upate matusi yako badala ya kusoma historia wanakariri

Teh teh nan mwenye ubavu wa kuni2c wajarbu waone!Wajadili yanayowahusu km wayahud ni m*b**h* zao 2jue
 
Hivi wewe nikuulize kuna vita inaweza chukua dak 10 baina ya nchi2? sipo upande wa islael wala iran lakin kamwe usipende kurahisisha mambo hasa jambo la vita soma magazetin,tazama kwenye tv lakin lisikutokee live.

-Inategemea kijiografia wamekaaje, kama wamekaa karibu ni dakika hata 6 nchi inakuwa majivu tuu.
-kuna stealth bombers, hizi ni hatari tupu, kuna ICMB hizi zinasafiri kwa dakika wala sio masaa. Ikitua moja tuu, inaondoka na miji hata mitatu, sasa zikitua 6??? Si zinateketeza nchi kabisa.
 
Vita ya Iran na Israeli haiwezekani. Wayahudi wanaogopa kufa sana.
 
Hivi wewe nikuulize kuna vita inaweza chukua dak 10 baina ya nchi2? sipo upande wa islael wala iran lakin kamwe usipende kurahisisha mambo hasa jambo la vita soma magazetin,tazama kwenye tv lakin lisikutokee live.

Mkuu wanazungumzia makombora yanayo rushwa na ROKETI kutoka mipakani mwa IRAN - kwamba yanaweza kutua ndani ya Israel within dakika kumi baada ya kufyatuliwa, hii inawezekana kabisa - kasi ya roketi inategemea fuel itakayo tumika kuirusha (kama ni liquid fuel au solid fuel kasi inatofautiana).
 
Vita sio rahisi sana. Iran akipigana na Israel jua mmoja ataumia zaidi

Mkuu labda Israel ikisaidiwa na Saudi Arabia na Merikani, lakini wakingia kichwa kichwa kupigana na IRAN watapata wakati mgumu sana labda watumie mabom yao ya nuklia - kumbuka hatuna uhakika kama IRAN haina bom hata moja la nuklia - mimi tangu nishuhudie Hazibolla ikiwatoa jasho Waislael ndio nika-conclude kwamba wakikumbana/pambana na a formidable Army kama la IRAN Waislael wanaweza kuahibika.
 
Peace of M.A.V.I. this thread is. Badala ya kuongelea maendeleo ya nchi yenu, mnaongelea vita ambayo haipo!!!HOPELESS CREATURES...
 
Ukiwa pimbi, ni shida sana, where did you hear a 10 mins war...!!? Only possible if ur a pimbi head...!!! ukiambiwa unameza tu, even bit to think to analyise the truth you failed....👎

But most Mwamedi followers are of ur type....90% of them, pimbi head...!!!


ni zile hadithi za netanyahu eti bado mwezi iran iwe na bomu
mara eti tunashambulia thubutu!!Kama wanajipenda waende! hawathubutu hata tone! telaviv itakua kama mchanga after 10 minutes
netanyahu aache kutafuta umaarufu akae na ajiulize matatizo ya umasikini wa wayahud
na nyie puppet wa israel hapa jf fikisheni ujumbe kwa +netanyahu
 
Naona umebanwa na mkojo nenda kakojoe uje ulale maana unayoongea ni kama mtu yuko kwenye ndoto za mchana
-Inategemea kijiografia wamekaaje, kama wamekaa karibu ni dakika hata 6 nchi inakuwa majivu tuu.
-kuna stealth bombers, hizi ni hatari tupu, kuna ICMB hizi zinasafiri kwa dakika wala sio masaa. Ikitua moja tuu, inaondoka na miji hata mitatu, sasa zikitua 6??? Si zinateketeza nchi kabisa.
 
Ninyi mnafikiri vita ni kama mnayoona kwenye sinema za RAMBO??????Usirahisishe mambo kuna kazi za ziada maana VITA SI LELEMAMA.
Mkuu wanazungumzia makombora yanayo rushwa na ROKETI kutoka mipakani mwa IRAN - kwamba yanaweza kutua ndani ya Israel within dakika kumi baada ya kufyatuliwa, hii inawezekana kabisa - kasi ya roketi inategemea fuel itakayo tumika kuirusha (kama ni liquid fuel au solid fuel kasi inatofautiana).
 
Naona umebanwa na mkojo nenda kakojoe uje ulale maana unayoongea ni kama mtu yuko kwenye ndoto za mchana
Mwanaume kuwa na mipasho kama mwanamke hata haipendezi, kama tumekosea ni mda wa wewe kuturekebisha sio kuanza maneno ya kejeli. Lete fact mkuu, haina maana kuanza kurushiana maneno.
 
Wewe ni PIMBI JIKE kabisa
Mkuu labda Israel ikisaidiwa na Saudi Arabia na Merikani, lakini wakingia kichwa kichwa kupigana na IRAN watapata wakati mgumu sana labda watumie mabom yao ya nuklia - kumbuka hatuna uhakika kama IRAN haina bom hata moja la nuklia - mimi tangu nishuhudie Hazibolla ikiwatoa jasho Waislael ndio nika-conclude kwamba wakikumbana/pambana na a formidable Army kama la IRAN Waislael wanaweza kuahibika.
 
Do yu know missile speed?Au mnadanganyana 2 unaijua iran?
Yusomwasha wacha ushabiki wa mambo magum vita si vile ujuavyo wewe sawa, bas mingoja nikuache maana huwa sipendi tubishane kwa vitu vinavyo julikana
 
Last edited by a moderator:
Do yu know missile speed?Au mnadanganyana 2 unaijua iran?

-Inategemea kijiografia wamekaaje, kama wamekaa karibu ni dakika hata 6 nchi inakuwa majivu tuu.
-kuna stealth bombers, hizi ni hatari tupu, kuna ICMB hizi zinasafiri kwa dakika wala sio masaa. Ikitua moja tuu, inaondoka na miji hata mitatu, sasa zikitua 6??? Si zinateketeza nchi kabisa.

ALEYN unaweza nipa mfano nchigan zimewahi teketeza?
 
Last edited by a moderator:
Ni zile hadithi za Netanyahu eti bado mwezi Iran iwe na bomu mara eti tunashambulia thubutu, Kama wanajipenda waende! hawathubutu hata tone! telaviv itakua kama mchanga after 10 minutes.

Netanyahu aache kutafuta umaarufu akae na ajiulize matatizo ya umasikini wa wayahudi na nyie puppet wa israel hapa JamiiForums fikisheni ujumbe kwa +netanyahu.

SISI NI WATANZANIA, HATUFUNGAMANI NA UPANDE WOWOTE, au sio?
 
Iran hafai kuchokozwa...baba yao Marekani anacome down pale ndo achokoze Israel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom