Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
- Thread starter
- #21
israel na hadithi za kuota
Hata vita ya mjumbe wa mtaa huu na mtaa ule tu itachukua zaidi ya lisaa..anaota huyoHivi wewe nikuulize kuna vita inaweza chukua dak 10 baina ya nchi2? sipo upande wa islael wala iran lakin kamwe usipende kurahisisha mambo hasa jambo la vita soma magazetin,tazama kwenye tv lakin lisikutokee live.