Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,340
- 56,053
Hawatavuka 2024
Hamas tuliambiwa hawatavuka siku sita ila mwaka nachenji sasaHawatavuka 2024
Kama viongozi wao wakuu wamekufa, inatafsiri hakuna walichofanikiwa zaidi ya kupoteza.Hamas tuliambiwa hawatavuka siku sita ila mwaka nachenji sasa
Mkuu upo timamu kweli? Kwamba Mungu anapigana VITA?Yani mnapambana na kanchi Kigamboni kubwa miaka na miaka na bado mnashindwa.
Kwanini tusiamini mnapambana na Mungu?
Hapo bado wanadanganya ili kuficha aibu na kutoogopesha watu kwenda kupigana, hadi 8/10/24 walisema 778 idf soldiers ,leo imekuwaje tena 777 wakati kila siku lebanon huko wanauliwammmh washafika waisrael 777 waliouawa? source? maana juzi nimesoma mahali kwamba ni around 100
Kama kufanikiwa ni kuua viongozi wao sasa hao wauaji wahao viongozi wanapigana nanani tenaKama viongozi wao wakuu wamekufa, inatafsiri hakuna walichofanikiwa zaidi ya kupoteza.
Hizbollah ameanza kuishambulia Israel tangia Oktoba 8 hadi leo.Hii ndio point kuliko zote tuwe na akiba Zayun mtu mbaya saanaa ana namna zake anazijua mwenyewe
Lakini mbona heading inasomeka Gaza war na wewe uzi wako unasema Hezbollah?Hapo bado wanadanganya ili kuficha aibu na kutoogopesha watu kwenda kupigana, hadi 8/10/24 walisema 778 idf soldiers ,leo imekuwaje tena 777 wakati kila siku lebanon huko wanauliwa
View: https://x.com/manniefabian/status/1852662346377757000
Hezbollah haina uwezo wa kupigana na IDF, Israel ikiamua Lebanon kusini Inakuwa sehemu yake
Jipe muda mkuu utaona mwisho wao utakavokuwa. Kuishi vizuri na watu hamtaki mnaleta ujeuri wakati nguvu hamna.Hawajaanza kuisha leo ila bado wanapambania haqqi zao
Wewe usie kua gaidi utaishi milele hongera
Dah mashaallahHuyu hapa mwenyewe alishasema hawezi kufa chini ya tunnels au kitandani amelala mumemsaidia kufika malengo yake
Mtasema yote hata Hamas mlisema hivyo hivyo Sina wali mlimsifia hivyo hivyo ila wote tuliona hapa alafu nakukumbusha hakuna mtu snitch na mjinga kama muarabu utajioneaHizbollah ameanza kuishambulia Israel tangia Oktoba 8 hadi leo.
Na kadri anavyozidi kujibizana na Hizbollah basi hizbollah ndivyo wanavyozidi kuongeza upinzani.
Hamas na hizbollah ni vitu viwili tofauti.
Shida unakaza sana fuvu.Mtasema yote hata Hamas mlisema hivyo hivyo Sina wali mlimsifia hivyo hivyo ila wote tuliona hapa alafu nakukumbusha hakuna mtu snitch na mjinga kama muarabu utajionea
Kuishi vizuri na israhell ni vita tu hao wauaji hawawezi kuishi vyema na watu ukiwapatia sawa unafyeka hata woteJipe muda mkuu utaona mwisho wao utakavokuwa. Kuishi vizuri na watu hamtaki mnaleta ujeuri wakati nguvu hamna.
M😅😅😅😅😅😅Shida unakaza sana fuvu.
Hizbollah anayo historia ya kumshinda vita Israel mwaka 2006.
Pia Hizbollah yupo nchi nyingine ambayo Israel hawezi akaingia kwa mapana kama anavyoingia kwa Hamas Gaza.
Kama Hizbollah ni sawa na Hamas basi ingekua imeshazimwa.
Ni mwaka sasa na mwezi mmoja hizbollah imekua inashambulia kwa nguvu ile ile Israel pasi na kupunguza kasi.
Pia Hizbollah kuna makamanda wa IRAN ndani yake wakisaidia operations.
Kama hujaelewa hapo kaka jioni njema.
Wazayuni wa jf hamu amini kama zama zimebadilikaJipe muda mkuu utaona mwisho wao utakavokuwa. Kuishi vizuri na watu hamtaki mnaleta ujeuri wakati nguvu hamna.