Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,171
- 2,985
Typical mvaa kobazimakombola
Typical mvaa kobazimakombola
Hiziball hawana blockage ya yoyote kama ilivyohamasHizbollah ameanza kuishambulia Israel tangia Oktoba 8 hadi leo.
Na kadri anavyozidi kujibizana na Hizbollah basi hizbollah ndivyo wanavyozidi kuongeza upinzani.
Hamas na hizbollah ni vitu viwili tofauti.
Kwenye mahandaki alifuata nini kama haogopi kufa?Huyu hapa mwenyewe alishasema hawezi kufa chini ya tunnels au kitandani amelala mumemsaidia kufika malengo yake
Anaogopa kufa sijasema haogopi alichokiogopa yeye ni kufa kitandani amelala kwa ugonjwa wa corona,au ajali au kifo chochote useless alitamani kufia iwanja wa vita msikilize tena vizuri ndio maana nimwawekea video yake mwenyewe akizungumzaKwenye mahandaki alifuata nini kama haogopi kufa?