son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 653
- 1,662
Karibia kila siku roketi na drones zinarushwa israel kutokea Lebanon.
Hezbollah wamekuwa na mashambulizi ya mfululizo wa kurusha drones na makombola israel.
Israel hawajawahi kupata changamoto kama vita yao na hezbollah.
Hadi sasa hivi wanajeshi 777 wamefariki na zaidi ya 200 wamejeruhiwa huku mashambulizi ya drones na makombola yakizidi siku baada ya siku israel.
Hezbollah wamekuwa na mashambulizi ya mfululizo wa kurusha drones na makombola israel.
Israel hawajawahi kupata changamoto kama vita yao na hezbollah.
Hadi sasa hivi wanajeshi 777 wamefariki na zaidi ya 200 wamejeruhiwa huku mashambulizi ya drones na makombola yakizidi siku baada ya siku israel.