Christine this information seems too much for you,,tulia usome uelewe,,ni kweli Isa=rael ni taifa la Mungu, na uwepo wake pale Israel ni kwa mpango wa Mungu,,lakini Serikali yake sio mpango wa Mungu,,ndo maana Mungu mara nyingi amewaadhibu waisrael kwa kutomkutii, serikali yake ni ya kiyahudi.kifupi Taifa ni la Mungu, watu wake au serikali yake wanamchukiza Mungu.