City Thunder OKC
JF-Expert Member
- May 4, 2025
- 6,097
- 12,013
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Iran imeshanbulia kwa drone huko Bahrain
Iran imeshanbulia kwa drone huko Bahrain
Mbaraka Mwinshehe - Jogoo la Shamba
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น
*Hilo oooh
Ulijidai wewe mbabe sana
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu imekupata
Kiko wapi sasa
Ulichokua ukujidai nacho?
Leo ungepambana na mimi kaka
Kilema ungekipata
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น*
*Utampiga nani we?
Kwanza utoto bado haujakutoka
Wewe uliona wapi jogoo la shamba
Linawika mjini?
Utampiga nani we?
Kwanza ukini bado haujakutoka
Wewe uliona wapi jogoo la shamba
Linawika mjini?
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น*
Ewe ngebe na majivuno yako
*Yamekwisha sasa heshima iko wapi?
Ulipotoka shamba kuingia mjini*
*Mimi nimekuona huwezi kunitisha
Ukiingia mikogo na kudharau wenzio*
Leo umefundishwa adabu na heshima
Ewe ngebe na majivuno yako
*Yamekwisha sasa heshima iko wapi?
Ulipotoka shamba kuingia mjini*
*Mimi nimekuona huwezi kunitisha
Ukiingia mikogo na kudharau wenzio*
*Leo umefundishwa adabu na heshima
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น*
Ewe ngebe na majivuno yako
Yamekwisha sasa heshima iko wapi?
Cc Echolima1
Umenikumbusha miaka ya 70 hiyo, zaidi ya nusu karne sasa(50+)!Mbaraka Mwinshehe - Jogoo la Shamba
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น
*Hilo oooh
Ulijidai wewe mbabe sana
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu imekupata
Kiko wapi sasa
Ulichokua ukujidai nacho?
Leo ungepambana na mimi kaka
Kilema ungekipata
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น*
*Utampiga nani we?
Kwanza utoto bado haujakutoka
Wewe uliona wapi jogoo la shamba
Linawika mjini?
Utampiga nani we?
Kwanza ukini bado haujakutoka
Wewe uliona wapi jogoo la shamba
Linawika mjini?
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น*
Ewe ngebe na majivuno yako
*Yamekwisha sasa heshima iko wapi?
Ulipotoka shamba kuingia mjini*
*Mimi nimekuona huwezi kunitisha
Ukiingia mikogo na kudharau wenzio*
Leo umefundishwa adabu na heshima
Ewe ngebe na majivuno yako
*Yamekwisha sasa heshima iko wapi?
Ulipotoka shamba kuingia mjini*
*Mimi nimekuona huwezi kunitisha
Ukiingia mikogo na kudharau wenzio*
*Leo umefundishwa adabu na heshima
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น*
Ewe ngebe na majivuno yako
Yamekwisha sasa heshima iko wapi?
Cc Echolima1