Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,282
- 23,142
Walitaka tu kuharibu mifumo na vinu vya Nyuklia vya Iran. Ndiyo mambo ambayo kwao yalikuwa agenda kuu sana miaka yote. Wamefanikiwa kwa asilimia 90 plus.
Na pia walitaka kuitia Kilema Irani kivita au kisilaha. Na haya mambo hayakuanza leo au jana. Mipango yao ilikuwa okifanyika zaidi ya miaka kadhaa ago. Hawajakurupuka tu.
Sasa wanaona Iran siyo threat tena kwa Israel hasa suala la Nyuklia. Issue hapo ni Nyuklia tu.
Na pia walitaka kuitia Kilema Irani kivita au kisilaha. Na haya mambo hayakuanza leo au jana. Mipango yao ilikuwa okifanyika zaidi ya miaka kadhaa ago. Hawajakurupuka tu.
Sasa wanaona Iran siyo threat tena kwa Israel hasa suala la Nyuklia. Issue hapo ni Nyuklia tu.