Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,623
- 14,009
Israel Knesset wamemshambulia Netanyahu kwamba anajisfia kashinda vita wakati wa Israel wote wameona vipi Iran alivyo ipiga Israel kama nchi haina ulinzi. Israel wanasema tuliyo onyweshe kwenye media ni friction ya madhara makubwa ambayo Israel inayaficha.
Pia wanaulizana nani aliye toa amri ya kusimamisha vita, okay wanasema yote hayo tisa wametoka kwenye mashelter je Iran imevunjiwa Nuclear? Hapana mmepiga kweli mmerusha maboom mmeuwa macommander, scientists lakini Iran nuclear facilities bado zipo na nia zao bado zipo, pia Je Missiles zake zimevunjwa? Hapana sa Netanyahu anaongelea ushindi upi.
Kusimamisha vita kwa sasa ni hasara kwa Israel na ushindi mkubwa kwa Iran na marafiki zake kwenye dunia. Iran kwa sasa kisha amini wazi Israel hawezi kupigana vita nao, huyo Muisrael anasema siasa ya kusimamisha vita itatufanya tulipe thamani kubwa siku za mbele.
Nani aliye simamisha vita Israel au Israel imekuwa haina tena amri? Israel sio dhaifu lakini Netanyahu kaogopa kukosa support za nchi za Europe na USA mhhmm afu wanajikanyaga tena Wazira ya majeshi imepigwa, telecommunication imesambaratishwa, Airport imefungwa bila reason, tokea 1973 mara ya kwanza tunahisi Israel haina kiongozi. Aisay wamechangan'yikiwa kweli.
View: https://youtu.be/XMHTBLT5uhs?si=YZ8DMQETvl15C_1C
Pia wanaulizana nani aliye toa amri ya kusimamisha vita, okay wanasema yote hayo tisa wametoka kwenye mashelter je Iran imevunjiwa Nuclear? Hapana mmepiga kweli mmerusha maboom mmeuwa macommander, scientists lakini Iran nuclear facilities bado zipo na nia zao bado zipo, pia Je Missiles zake zimevunjwa? Hapana sa Netanyahu anaongelea ushindi upi.
Kusimamisha vita kwa sasa ni hasara kwa Israel na ushindi mkubwa kwa Iran na marafiki zake kwenye dunia. Iran kwa sasa kisha amini wazi Israel hawezi kupigana vita nao, huyo Muisrael anasema siasa ya kusimamisha vita itatufanya tulipe thamani kubwa siku za mbele.
Nani aliye simamisha vita Israel au Israel imekuwa haina tena amri? Israel sio dhaifu lakini Netanyahu kaogopa kukosa support za nchi za Europe na USA mhhmm afu wanajikanyaga tena Wazira ya majeshi imepigwa, telecommunication imesambaratishwa, Airport imefungwa bila reason, tokea 1973 mara ya kwanza tunahisi Israel haina kiongozi. Aisay wamechangan'yikiwa kweli.
View: https://youtu.be/XMHTBLT5uhs?si=YZ8DMQETvl15C_1C