Israel isiichokoze Egypt

Israel isiichokoze Egypt

Si muda si mrefu, Iran itakuwa Libya na maghreb states nyingine, we sikilizia tu! Yamepangwa hayo!
 
Mimi nilifikiri kuna cha maana hapa, kumbe ni zile zile NJOZI za wafuasi wa Allah kiumbe. <br />
<br />
Kamwombeni allah wenu amsaidie Muhammar Qadafi kama ana huo uwezo.
duh! Hivi muarabu mkristo akitaka kusema M/mungu kwa kiarabu atasemaje?
 
mkuu punguza jazba kidogo
ukweli wa mambo ni kwamba hata waarabu wakiungana wote hawawezi kuipiga israel,nyie waislam hamfikirii mbali na uwezo wenu wa kuelewa mambo ni mdogo sana
We unadhani kuna vita iliyopiganwa waislamu wakashindwa kikweli!.Vita huwa vinakuwa virefu tu mpaka watu wanakufa hawajaona mwishowe.
Ama kuhusu unyama waislamu hawauwezi.We fikiria mtu anapigana nawe kwa silaha za maangamizi utamuweza!.Ni mnyama kabisa hata ukirudi nyuma ukataka suluhu naye bado anakupiga.
Unyama wao unaonekana wazi katika namna wanavyowinda kwa kikundi kama mbwa mwitu.
 
Back
Top Bottom