Kwa hivyo 5 tu? Majeshi 3? Dah? Kumbe wanapukutika sana tuKufa wanakufa ila hawezi kufa kwa mamia kama ilivyo Iran, mahandaki yanawasaidia kupunguza idadi ya vifo.
Unatumia chanzo gani cha habari? Mpaka sasa ni zaidi ya Waizraeli 20 wametangulia kwa baba yao Izraeli mtoa roho za watu! Na hapa ni nje ya majeruhi lukuki walio kwenye hali tofauti tofauti.Kwa hivyo 5 tu? Majeshi 3? Dah? Kumbe wanapukutika sana tu