Israel ex-top spy reveals Mossad operations against Iran

Aljazeera ni chombo cha habari chenye kutoa habari za uhakika km ulikua haujui hata BBC hawaingii ndani maana BBC walipoteza sifa hiyo mwaka huu kwa kutuhumiwa kutoa habari za uongo za kimataifa mwezi wa tatu.
HALAFU ARCHIEVE HAIDANGANYI NI VIDEO ZA MATUKIO YALIYOPITA KAKA.
ARCHIEVE HUWEZI KUICHAKACHUA HATA KIDOCHO.
NENDA ANGALIA.
Ni sawa na tuirekodi birthday yako kesha tuje kuionesha miaka kumi ijayo halafu ije article inayoelezea kuhusu birthday yako.
Kati ya hiyo article na video kuhusu birthday yako ipi itakua reliable source??????
Wacha nikurudishe shule kijana.
Katika source of history information archieve ni most reliable kuliko oral traditions pamoja na articles ama written documents ALJAZEERA NI CHOMBO CHA HABARI KINACHOTAZAMWA ULIMWENGU MZIMA.
NAKUULIZA USHAHIDI WA VIDEO NA WA MAANDISHI UPI UNAFANA ZAIDI???????
USIUKIMBIE UKWELI.
halafu niletee article inayozungumzia vita nzima usiniletee article nusu.
Najua kwanini unataka Aljazeera ni kwakua chombo cha kiarabu na kinakupa unachotaka kuamini
 
Kwanini ALJAZEERA???
:) :) :) :) :) We jamaa wa ajabu sana google na Ajazeera ipi ina facts??
Mind you sio vita ya October war tu iliyopotoshwa hata vita ya Israel-lebanese war ilipotoshwa hata lile shambulio la Marekani la kigaidi alotajwa Osama kuhusika ilipotosha Umma.
Ndugu usije sema aljazeera wame edit maana mpk manusura wa vita walihojiwa na wakaleta maelezo pande zote mbili Misri na Israel.
 
Najua kwanini unataka Aljazeera ni kwakua chombo cha kiarabu na kinakupa unachotaka kuamini
Kaka huna jipya kwa kutamka hivyo nishaona una mengi ya kujifunza.
HUO NDIO UKWELI BALI SICHO NACHOKITAKA.
Mie naona nikuache hamchelewi kusema video zime editiwa.
 
Hahahahua pole yako wacha nikujaze elimu mdogo wangu mie kaka ako Nina vingi vya kukujuza.
Umesema waarabu walikua wanachezea kichapo toka mwanzo ngojea nkuletee mwaka na vita alizoshinda mwarabu mbele za Israel mdogo angu.
1)Yomkippur war/October war 1973-1974 Misri alimpiga Israel na kuwaeka mateka wanajeshi zaidi ya 30000 wa Israel kulipiza kisasi cha six days war ya mwaka 1967 maeneo ya Sinai.Na Kama haujui hiyo vita walishiriki takriban 9000 US military personnel kuisaidia Israel na wakashindwa.

2)Israel-Lebanese war 2006 Hezbollah waliwapiga waisrael na kuwaondoa utawala wao ambao ulikita mzizi Beirut toka mwaka 1975.
3)Vita ya kuiangusha Ottoman Empire ambapo mwaka 1947 yakishiriki mataifa matatu ya ulaya France,Italy na Armenia Ottoman ikisaidiwa na Hijaz(U.A.E ya sasa) na Shiraz(Oman ya sasa) wazungu wakashindwa.
Kama ulikua haujui Israel akati inafanya Zionism movement big supporter alowapa pesa na silaha ni USA na mpk wanainuka kjeshi military personnel wa USA waliwasaidia .
Fuatilia Aljazeera mwaka huu may baada ya vurugu za Hamas na Israel kutokea na Israel kuvamia kambi za wakimbizi na majengo ya waandishi wa habari bunge la senate Marekani likakaa kikao na kusema Israel haitapitishiwa wala kuuziwa silaha km Kaz yake ni kuvunja haki za binadam wazi wazi.

UPO HAPO?
LETA HOJA YAKO UNAYOSEMA INA NGUVU
propaganda zitakuponza! ukizitaja hesbiollah, hamas na Islamic jihad eti zinashinda vita dhidi ya israel nakuona bado unao,boleza kunyang'anywa msikiti wa Al Aqsa ambao ni wa tatu kwa umaarufu ktk dini yenu na mji wa jerusalem.Yom kipur war Egypt hakushinda kwa sabau hakurudusha jangwa la Sinai wala kuibeba tena Gaza, sasa kwa nini unampatia Hongera!

Soma kitabu cha Six days war utaona ukweli wa nani alitekwa zaidi. wakati wa kubadilishana mateka ilikuwa hivi, Mu israel mmoja kwa waarabu kumi mpaka mateka wa israel wakaisha . halafu ikaja deal mapipa 100 ya mafuta kwa mwarabu mmoja ndipo Misri ikashika adabu. halafu ile tabia ya kuoa wake wanne ikawatokea puani waarabu. maana askari mmoja mwarabu akifa huacha wajane 4 piga hesabu Egypt walikufa askari 175,000 military widow wangapi waliishia kuwa mama ntilie!

hawa hesbollah na hamas hawana ushindi wowote huvaa nguo za kiraia na kujificha katikati ya nyumba za raia huku wakirusha maroketi, waambie wavae nguo za kijeshi halafu wapeleke vifaru mipakani uone kama atarudi mtu.
mbali na hayo yote nani kashika jerusalem? halafu huwezi kwenda sali msikiti wa al aqsa mpaka upate viza ya mjukuu wa Rebecca, upende usipende!
 
propaganda zitakuponza! ukizitaja hesbiollah, hamas na Islamic jihad eti zinashinda vita dhidi ya israel nakuona bado unao,boleza kunyang'anywa msikiti wa Al Aqsa ambao ni wa tatu kwa umaarufu ktk dini yenu na mji wa jerusalem.Yom kipur war Egypt hakushinda kwa sabau hakurudusha jangwa la Sinai wala kuibeba tena Gaza, sasa kwa nini unampatia Hongera!

Soma kitabu cha Six days war utaona ukweli wa nani alitekwa zaidi. wakati wa kubadilishana mateka ilikuwa hivi, Mu israel mmoja kwa waarabu kumi mpaka mateka wa israel wakaisha . halafu ikaja deal mapipa 100 ya mafuta kwa mwarabu mmoja ndipo Misri ikashika adabu. halafu ile tabia ya kuoa wake wanne ikawatokea puani waarabu. maana askari mmoja mwarabu akifa huacha wajane 4 piga hesabu Egypt walikufa askari 175,000 military widow wangapi waliishia kuwa mama ntilie!

hawa hesbollah na hamas hawana ushindi wowote huvaa nguo za kiraia na kujificha katikati ya nyumba za raia huku wakirusha maroketi, waambie wavae nguo za kijeshi halafu wapeleke vifaru mipakani uone kama atarudi mtu.
mbali na hayo yote nani kashika jerusalem? halafu huwezi kwenda sali msikiti wa al aqsa mpaka upate viza ya mjukuu wa Rebecca, upende usipende!
POLE YAKO NILIJUA UNAKUJA UTAKUA NA POINT MUHIMU KUMBE UNAROPOKA.
VITA ALOSHINDA ISRAEL NI SIX DAYS WAR ILOPIGANWA SIKU SITA ILA VITA YA 1973 OCTOBER WAR SINAI ILIGOMBOLEWA NA MISRI NA GOLLAN HEIGHTS PIA.
WE UNALETA VITABU AMBAVYO MABWANA ZENU WANATUNGA KUJIFARIJI?
MIE NAKUAMBIA INGIA YOUTUBE SEARCH OCTOBER WAR UTALETEWA FULL ARCHIEVE MPK GOLDA MEIR ALIVYOENDA CAIRO MISRI AKIOMBA MATEKA WAKE WAACHIWE.
HALAFU SEMA KATI YA KITABU CHAKO NA ARCHIEVE IPI RELIABLE.
KUHUSU AL AQSA BADO HAKUNA MWENYE UMILIKI PANDE ZOTE ZINAVUTANA USILETE USHAHIDI WA UONGO.
KUKUKUMBUSHA ZAIDI BENDERA YA MISRI ILICHOMEKWA SINAI WIKI YA PILI YA VITA YA OCTOBER WAR.
NA MISRI HIYO HIYO IKAISAIDIA SYRIA KUIGOMBOA GOLAN HEIGHTS.
NDUGU MM NI MWANAFUNZI NASOMEA POLITICAL SCIENCE TENA NIPO MWAKA WA MWISHO WA DEGREE NAONGEA KWA KUTAFUTA USHAHIDI SIO KWA KUKARIRISHWA VITABU KAMA WW.
 
Israel haijawahi kushindwa na hao waarabu acha uongo wako. Mwaka 1973 ndio Israel waliteka Sinai na hawakuirejasha kwa Misri hadi Camp David Accord ilipofanyika na Misri kuitambua serikali ya Israel.

Baada ya waarabu kukubali kwamba hawawezi kuishinda Israel kwenye uwanja wa vita sasa karibu wote wamekubali kuitambua serikali ya Israel na kukubali yaishe.
kweli kabisa ndugu yangu. katu mwarabu hataweza kumshinda israel.waliposhindwa vita mwaka 1973 wakaanza kususia kuuuza mafuta Ulaya na marekani kama silaha yao ya kulialia. halafu mwaka 1984 walitaka kuhamishia mgogoro huu wa israel na palestina bara la Africa. makao makuu ya PLO yakawa Tunisia badala ya Oman au Qatar. walimtumia IDD amin kutaka kuwaua Israelis 126 pale Entebe. halafu waliitumia Somalia kama kituo chao cha kuwafundisha ugaidi materorist wote wa kipalestina. Netanyahu ktk entebe raids alizinyoosha na kuzionya nchi zote za africa zilizotaka lijiingiza kinguvui ktk mgogoro huu.
 
kweli kabisa ndugu yangu. katu mwarabu hataweza kumshinda israel.waliposhindwa vita mwaka 1973 wakaanza kususia kuuuza mafuta Ulaya na marekani kama silaha yao ya kulialia. halafu mwaka 1984 walitaka kuhamishia mgogoro huu wa israel na palestina bara la Africa. makao makuu ya PLO yakawa Tunisia badala ya Oman au Qatar. walimtumia IDD amin kutaka kuwaua Israelis 126 pale Entebe. halafu waliitumia Somalia kama kituo chao cha kuwafundisha ugaidi materorist wote wa kipalestina. Netanyahu ktk entebe raids alizinyoosha na kuzionya nchi zote za africa zilizotaka lijiingiza kinguvui ktk mgogoro huu.
Bado mnaleta stori za vitabuni.
Mgogoro wa Somalia hauhusiani na mambo ya Israel huko mnaingia mada nyingine nzito.
Poleni mnakaririshwa Vitabu kesha mnavitapika km vilivyo.
Tafuteni ukweli msiridhike na kukaririshwa yaliyo vitabuni.
 
Kaka huna jipya kwa kutamka hivyo nishaona una mengi ya kujifunza.
HUO NDIO UKWELI BALI SICHO NACHOKITAKA.
Mie naona nikuache hamchelewi kusema video zime editiwa.
Deep down inajua kuwa Waarabu walipoteza hii mechi na ikaamuliwa MEZANI
UCScreenshot20210705132835.png

UCScreenshot20210705132037.png
 
propaganda zitakuponza! ukizitaja hesbiollah, hamas na Islamic jihad eti zinashinda vita dhidi ya israel nakuona bado unao,boleza kunyang'anywa msikiti wa Al Aqsa ambao ni wa tatu kwa umaarufu ktk dini yenu na mji wa jerusalem.Yom kipur war Egypt hakushinda kwa sabau hakurudusha jangwa la Sinai wala kuibeba tena Gaza, sasa kwa nini unampatia Hongera!

Soma kitabu cha Six days war utaona ukweli wa nani alitekwa zaidi. wakati wa kubadilishana mateka ilikuwa hivi, Mu israel mmoja kwa waarabu kumi mpaka mateka wa israel wakaisha . halafu ikaja deal mapipa 100 ya mafuta kwa mwarabu mmoja ndipo Misri ikashika adabu. halafu ile tabia ya kuoa wake wanne ikawatokea puani waarabu. maana askari mmoja mwarabu akifa huacha wajane 4 piga hesabu Egypt walikufa askari 175,000 military widow wangapi waliishia kuwa mama ntilie!

hawa hesbollah na hamas hawana ushindi wowote huvaa nguo za kiraia na kujificha katikati ya nyumba za raia huku wakirusha maroketi, waambie wavae nguo za kijeshi halafu wapeleke vifaru mipakani uone kama atarudi mtu.
mbali na hayo yote nani kashika jerusalem? halafu huwezi kwenda sali msikiti wa al aqsa mpaka upate viza ya mjukuu wa Rebecca, upende usipende!
Huyu jamaa ni mnazi kama wale wenzake ukimpa facts anakimbia
 
POLE YAKO NILIJUA UNAKUJA UTAKUA NA POINT MUHIMU KUMBE UNAROPOKA.
VITA ALOSHINDA ISRAEL NI SIX DAYS WAR ILOPIGANWA SIKU SITA ILA VITA YA 1973 OCTOBER WAR SINAI ILIGOMBOLEWA NA MISRI NA GOLLAN HEIGHTS PIA.
WE UNALETA VITABU AMBAVYO MABWANA ZENU WANATUNGA KUJIFARIJI?
MIE NAKUAMBIA INGIA YOUTUBE SEARCH OCTOBER WAR UTALETEWA FULL ARCHIEVE MPK GOLDA MEIR ALIVYOENDA CAIRO MISRI AKIOMBA MATEKA WAKE WAACHIWE.
HALAFU SEMA KATI YA KITABU CHAKO NA ARCHIEVE IPI RELIABLE.
KUHUSU AL AQSA BADO HAKUNA MWENYE UMILIKI PANDE ZOTE ZINAVUTANA USILETE USHAHIDI WA UONGO.
KUKUKUMBUSHA ZAIDI BENDERA YA MISRI ILICHOMEKWA SINAI WIKI YA PILI YA VITA YA OCTOBER WAR.
NA MISRI HIYO HIYO IKAISAIDIA SYRIA KUIGOMBOA GOLAN HEIGHTS.
NDUGU MM NI MWANAFUNZI NASOMEA POLITICAL SCIENCE TENA NIPO MWAKA WA MWISHO WA DEGREE NAONGEA KWA KUTAFUTA USHAHIDI SIO KWA KUKARIRISHWA VITABU KAMA WW.
nimekupa facts tupu na kukuuliza kama hao waarabu wanashinda vita dhidi ya isrel, sasa mbona hawachukui Jerusalem? mbona viza ya kwenda hija Al aqsa mosque huombwa kwa myahudi? milima ya Golan wala Sinai havikukombolewa ila sinai ilirudishwa kwa mkataba wa Camp David. Golan ishakuwa ardhi ya Israel toka mwaka jana. kawaambie watupa mawe wasithubutu kuleta madai yao ya kudai ardhi kiuongo kwa kutumia njia za kishetan bali wafuate sheria na maazimio ya UN kama walivyofanya South Africa enzi za apathjeid.
 

nimekupa facts tupu na kukuuliza kama hao waarabu wanashinda vita dhidi ya isrel, sasa mbona hawachukui Jerusalem? mbona viza ya kwenda hija Al aqsa mosque huombwa kwa myahudi? milima ya Golan wala Sinai havikukombolewa ila sinai ilirudishwa kwa mkataba wa Camp David. Golan ishakuwa ardhi ya Israel toka mwaka jana. kawaambie watupa mawe wasithubutu kuleta madai yao ya kudai ardhi kiuongo kwa kutumia njia za kishetan bali wafuate sheria na maazimio ya UN kama walivyofanya South Africa enzi za apathjeid.
Hijjah ipo makkah sio Al aqsa.
Mie nimeizungumzia vita ya Misri na Israel sijazungumzia vita ya kuigomboa Jerusalem unachanganya mada.
Mie kuileta link siwezi maana najaribu naahindwa.
INGIA WEBSITE YA ALJAZEERA UONE ARCHIEVE USINILETEE MAMBO YA VITABUNI.
 
Hijjah ipo makkah sio Al aqsa.
Mie nimeizungumzia vita ya Misri na Israel sijazungumzia vita ya kuigomboa Jerusalem unachanganya mada.
Mie kuileta link siwezi maana najaribu naahindwa.
INGIA WEBSITE YA ALJAZEERA UONE ARCHIEVE USINILETEE MAMBO YA VITABUNI.
Swali langu kwako hao Aljazeera walirekodi hiyo vita??
 
Kuhusu hizo vita nitazisoma .
ILA VIPI UKITAZAMA DOCUMENTARY YA ALJAZEERA AU???
NIMESOMA HIZO ARTICLE ZAKO EMBU NAWE KAANGALIE ARCHIEVE ALJAZEERA HALAFU URUDI.
BILA HIVYO HATUTAWEZA KUWAFIKIANA WE UNASOMA MIE NATIZAMA USHAHIDI WA VIDEO HATUWEZI ELEWANA.
Zisome kwanza then uje tujadili ukiwa well informed
 
Aljazeera wana archieve iliyotoka ktk mataifa hayo mawili kuhusiana na vita.
Okay Baada ya vita nini kilikuwa makusudi ya mapigano, na lengo la Waarabu kupigana na Israel lilitimia Vitani??
 
Sawa nawe nakuomba katizama zile archieve.
Kesha urudi mezani.
Bahati mbaya Internet ya OFISI wamepini YOU TUBE and all SOCIAL MEDIA Hadi baada ya masaa ya kazi. so sio rahisi kuangalia kwa leo
 
Back
Top Bottom