ISIS yatanganza Vita kali dhidi ya Hamas

ISIS yatanganza Vita kali dhidi ya Hamas

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,300
Reaction score
47,328
Kikudindi Cha kigaidi ISIS upande wa Sinai misri
ISIS-still-5.jpg
kimetangaza Vita dhidi ya Hamas Palestina
47C674F600000578-5238391-image-m-10_1515147973228.jpg
nakuwataka waislam wote kukishambulia kwasababu siyo waislam wa kweli wanafuata mrengo wa kishia Na wameshindwa kumzuia Donald Trump kutangaza Jerusalem makao makuu ya Israel Na pia kuvishambulia vikundi vidogo vya Sunni Muslim Salafi.

ISIS ambao wanadai wenyewe ndio waislam wakweli kwasababu wanafuata siasa Kali ambacho kinapingwa vikali Na wakufunzi/scholars
160420175729-isis-in-libya-1-large-169.jpg


Akitoa hotuba iyo kabla ya kumuua mateka wa wanadai alikuwa jasus wa Hamas
47C66DAA00000578-5238391-image-a-1_1515147722321.jpg
47C66D9A00000578-0-image-a-21_1515149190945.jpg
bosi huyo wa ISIS Sinai Abu Kazem al-Maqdisi alikuwa aking'aka Na kuzungumza kwa jazba mbele ya kamera.
47C66D4600000578-5238391-image-a-2_1515147738239.jpg


Kikundi Cha Hamas ambacho Ni freedom fighters Palestine kinaungwa mkono Na the most well armed and organized millitant group in the world Hezbollah pamoja Na Iran ambao Ni washia.
d81da034c3cdc0bb9034d453864c0346_56da63792c438.jpg


Israel haina time Sana Na ISIS kwasababu siyo tishio kivile ukilinganisha Na Hamas Na Hezbollah.
47C6750200000578-5238391-image-a-3_1515147759221.jpg

Bila Hezbollah Na Iran ISIS ingeshaichukua Syria zamani Na kumuua Assad.
 

Attachments

  • 47C66D9A00000578-0-image-a-21_1515149190945.jpg
    47C66D9A00000578-0-image-a-21_1515149190945.jpg
    87.9 KB · Views: 91
  • ISIS-still-5.jpg
    ISIS-still-5.jpg
    50.1 KB · Views: 81
  • 47C66DAA00000578-5238391-image-a-1_1515147722321.jpg
    47C66DAA00000578-5238391-image-a-1_1515147722321.jpg
    36.1 KB · Views: 93
  • 47C66D4600000578-5238391-image-a-2_1515147738239.jpg
    47C66D4600000578-5238391-image-a-2_1515147738239.jpg
    24.8 KB · Views: 101
  • d81da034c3cdc0bb9034d453864c0346_56da63792c438.jpg
    d81da034c3cdc0bb9034d453864c0346_56da63792c438.jpg
    28.2 KB · Views: 92
  • 47C674F600000578-5238391-image-m-10_1515147973228.jpg
    47C674F600000578-5238391-image-m-10_1515147973228.jpg
    26.9 KB · Views: 99
  • 47C6750200000578-5238391-image-a-3_1515147759221.jpg
    47C6750200000578-5238391-image-a-3_1515147759221.jpg
    32 KB · Views: 100
Hahaha imekua ccm na chadema?! Kila mmoja anamshutumu mwenziye.
 
Basi marekani nouma. Yani inaingia Hadi kwa watu wenye imani nakuwafundisha watumie imani Yao kuuana wenyewe kwa wenyewe Tena kwa kuwaelekeza kutoka kwenye kitabu. Huyu mmarekani hatari
Hayo maelezo ya ISIS mengine Ni propaganda hili kuwagawa waislam, uzuri Tu trump haipendi IS tofauti na utawala wa Obama , ndio maana sasahivi wamepigwa Sana
 
Hayo maelezo ya ISIS mengine Ni propaganda hili kuwagawa waislam, uzuri Tu trump haipendi IS tofauti na utawala wa Obama , ndio maana sasahivi wamepigwa Sana
Mimi nawasapoti Sana Hezbollah, Shia Na Iran kwa kumsaidia Assad. Assad aliwafanya wasyria waishi kwa umoja Wakristo, Sunni, Shia, kkurds Na Syrian Yezidi.

Lakini mataifa yenye chuki dhidi ya Iran Na kuiona Iran itakuja kudominate Mideast Israel, Marekani, uturuki, Saudia, Qatar, Kuwait, UAE Na Bahrain kwa maksud wameleta vurugu Na Vita Syria kisa Iran Na ushia.

Saudia wameweka pandikizi kwenye majority Shia Bahrain. Pia Kuna crackdown ya MADHEHEBU ya Shia eastern Saudi Arabia.
 
Mimi nawasapoti Sana Hezbollah, Shia Na Iran kwa kumsaidia Assad. Assad aliwafanya wasyria waishi kwa umoja Wakristo, Sunni, Shia, kkurds Na Syrian Yezidi.

Lakini mataifa yenye chuki dhidi ya Iran Na kuiona Iran itakuja kudominate Mideast Israel, Marekani, uturuki, Saudia, Qatar, Kuwait, UAE Na Bahrain kwa maksud wameleta vurugu Na Vita Syria kisa Iran Na ushia.

Saudia wameweka pandikizi kwenye majority Shia Bahrain. Pia Kuna crackdown ya MADHEHEBU ya Shia eastern Saudi Arabia.
Yes , ndio hivyo mkuu
 
ISIS ni kikundi cha watu wahuni watu waovu wanaocheresha uislam vibaya sana lakini watu wasiwasikilize wala kuwafuata nyenendo zao

Maana wao sio watu wa Dini ni genge la Ugaidi watu ambao wajinga hawana msomi wa Dini anao ungana nao wala kukubaliana na vitendo vyao !!!
 
Ok Ok! kumbe Washia siyo Waislamu.

YES WASHIA SIO WAISLAM ILA WAMEKUJA KAMA WAISLAM NA WANAMTUKANA MKE WA MTUME MUHAMMAD s.a.w BI AISHA NA BABA YAKE NA MARAFIKI WA MTUME MUHHAMAD s.a.w je hao watakuwaje waislam
 
Back
Top Bottom