ISIS terrorist Abdeslam has been spotted in Brussels

ISIS terrorist Abdeslam has been spotted in Brussels

Mashambulizi ya Paris yslipangwa na Russia pamoja na Assad wa Syria ili kuwashinikiza marekani, ufaransa waache kumshambulia assad la sivyo yataendelea kwa muda mrefu.. Ufaransa imeshasalim amri,,,
 
Brussels in high alert over imminent threat of terrorism.



The security alert level has been lifted to level four.

Military patrols have been bolstered with huge military and security service personnel.

All hotels, restaurants and bars have been ordered to rump up security.
 
Salah Abdeslam leo mchana ametiwa nguvuni na maofisa wa usalama wa kupambana na ugaidi wa kutoka Ubelgiji na Ufaransa.

Abdeslam alikamatwa kwenye eneo liitwalo forest ambalo lipo nje kidogo ya kitongoji cha Molenbeek.


salah_3597419b.jpg

Salah Abdeslam akiongozwa kuingia kwenye gari baada ya kujeruhiwa mguu na risasi.

Hio ilikuwa ni baada ya kurushiana risasi kati ya Abdeslam na wenzake wawili dhidi ya maofisa hao ambapo Abdeslam alijeruhiwa mguuni kwa risasi.

Taratibu za kisheria za kumpeleka Abdeslam nchini Ufaransa (extradition) kujibu mashtaka ya kupanga na kufanya mauaji mwezi November mwaka jana ambapo watu 130 waliuawa zimeanza kufanyika.

Siku ya jumanne kulifanyika msako mkali katika kitongoji cha Molenbeek ambapo Salah Abdeslam aliweza kuponyoka na kukimbia huku akiwa na majeraha baada ya shambulizi la ghafla lililofanywa na maofisa maalum wa kupambana na ugaidi.

Baadae kulifanyika uchunguzi wa kisayansi yaani forensic investigation na kupatikana alama za kinasaba au DNA za Abdeslam na ndipo msako ulipoongezwa nguvu.

ad_1999395731.jpg

Ofisa maalum wa Ubelgiji akiwa juu ya paa la nyumba katika eneo la Molenbeek.

ad_199939185.jpg

Ofisa mwingine akiwa anashiriki msako wa Abdeslam kabla ya kufanikiwa kumtia nguvuni leo mchana.
 
Back
Top Bottom