ISIS: Habari, picha na maelezo

ISIS: Habari, picha na maelezo

Kamanda wa isis abubakar albaghdad yupo israel kwa matibabu
vyombo vya habari vya iraq vimeripoti kuwa kamanda huyo alijeruhiwa wakati mashambulizi yaanga yalivyolenga msafara wake ambapo baadae alipelekwa golan ambapo alipewa matibabu ktk hospitali ya wazayuni ambapo baadae alipelekwa tel-aviV kwa matibabu zaidi
hii inaonyesha waziwazi kuwa israel inawaunga mkono magaidi kote mashariki ya kati
jee israel ina maslah gani kwa magaidi?lengo lake ni kuvuruga amani mashariki ya kati ili nchi ili nchi za kiarabu ziwe bize na kupambana na wapiganaji huku israel ikipata nafasi ya kupora aridhi za waarab
pia ni kudhoofisha nchi za kiarabu na kuzifanya zishinmdwe kusaidia na kutetea palestina
 
Inaweza ikawa hivyo.Double dealing ni hulka ya wazungu
 
Nilisoma sehemu kwamba isis walitengenezwa na Israel ili waarabu wasielewane.na kuungana dhidi yao. Sijui kweli au la!
 
Km hii hbr ni kweli,basi hakuna watu mampompompo duniani km waarabu,
Nasema hivo sababu Isis ni waarabu,waouawa ni waarabu,sasa inakuaje machafuko haya yalojaa udini iwe ni kwa kutumiwa,afu hawa wanaokubali kutumiwa faida yao ni ipi,awali nlikuwa najua ss waafrika ndo waninga kwa kukubali kutumiwa kumbe wapo WAJINGEST zaidi yetu,na hata pia ni aibu kwa uislamu
 
150306054212_nimrud_destroyed_03_reuters_640x360_reuters_nocredit.jpg

Iraq yadai wapiganaji wa IS wanaendelea kuharibu mji wa kihistoria wa Nimrud Iraq.

Maafisa nchini Iraq wanasema kuwa wapiganaji wa Islamic State wanaendelea kuharibu mji wa Nimrud - moja ya sehemu yenye vito wa thamani inayoheshimiwa katika historia ya Iraq.

Wizara ya utalii nchini Iraq imesema wapiganaji hao wanatumia vifaa vikubwa kuharibu eneo hilo.
Tukio hilo limetajwa kuwa uharibifu wa utamaduni na jaribio la kuharibu Nimrud ambayo imelinganisha na uharibifu wa mwamba wa Taliban wa
Bamiyan buddha huko Afghanistan mwaka 2001.
150306053927_nimrud_destruction_02_640x360_pa_nocredit.jpg

Moja ya sanamu zenye historia kubwa ya taifa la Iraq

Kulingana na wizara ya turathi ya Iraque wapiganaji wa IS waliingia katika mji huo wa kale wakitumia matingatinga na silaha nyingine nzito na wakaharibu kituo hicho.

Nimrud ilipewa jina hilo baadaye na waarabu lakini awali ilikuwa inaitwa Kalhu,
Ambayo iliundwa katika karne ya kumi na tatu kabla kuzaliwa kwa Yesu Kristu na pia inaonekana katika agano la kale. Ni sehemu kubwa lakini haijulikani hasa ikiwa imeharibiwa yote.
150306053541_nimrud_museum_detruction_ap_640x360_ap_nocredit.jpg

Sanamu zikiharibiwa

Vinyago kutoka Nimrud – vinavyojumuisha sanamu za mafahali zilizochongwa kwa mawe ziko katika makavazi mengi kote duniani.

Mwezi uliopita, Islamic State walitoa kanda ya video inayoonyesha wapiganaji wakiharibu na kusaga saga vitu vya thamani katika makumbusho ya Mosul.
Kundi hilo la wapiganaji limesema vitu hivyo viko kinyume cha maadili ya dini ya kiislamu.chanzo.
www.bbc.co.uk
 
Lazima mjue vita ni mbya na huwa haichagui wapi pa kufanya uharibifu,mbona wao (The coalition wana bombs miji na kuvunja makazi ya watu mpaka wamefikia kuharibu infrastractures za mji ,mfano visima vyote vya mafuta vinavyomilikiwa na wapiganaji wa ISIS wanaviharibu mbona watu hampigi kelele na kutuonyesha hayo?,kwa hiyo nawao isis wanafanya ka wanavyofanyiwa wao ktk life line yao ambayo ni hivyo visima vya mafuta nawao wanaiweza sabotage ka wanayofanyiwa wao. Mr Murage Msherwampamba
 
MSHERWAMPAMBA

Mkuu unavyo justify ya wakina ISIS as if wale ni sane people. Wale ISIS mkuu ni zaidi ya majambazi, wauaji, walishaua kabla hawajauwawa.
Coalition force ni matokeo ya reaction baada ya Kuchoshwa na na policy ya ISIS. Coalitions wanao uwezo wa kujenga Na kubwa zaidi hawavunji haki za binaadamu.wanapigana bila kufanya uhalifu wa kivita.

ISIS hawana adhabu maalum kwa makosa. Ndio maana wakati mwingine wanatishia kumchinja MTU ili ili wapewe pesa,(Uj wanaweza kukuchoma moto mzima, kukubaka ama kukuchinja na hakuna pa kulalamika.
Wanaua innocence especially watoto sio kwa mabomu labda tungesema ni bahati mbaya. Bali wanawakusanya pamoja na wanawachinja kwa kudhamiria kabisa.these are satanists
 
Last edited by a moderator:
Hakunaga vita ipiganwe ikakosa uhalifu wa kivita,wala hakuna vita ya kistaarabu as long as watu wanauliwa
 
Elungata

Points zangu ni zile zile ktk vita hakunaga kuchagua sijui huyu ni isis mwenye akili timamu au muuaji wakati cf18 ikirushwa huwa inateremsha maboma wenyewe wanayaita precision bombs lakini pamoja na precisions zao bado huwa kuna victim na hakuna close yeyote ktk geneva convention inayolizungumzia hilo ,wao always yao ni sawa sawa na ya wengine ni wrong tu,mimi sifikirii ka huu ubishi utakwisha kuhusu huo uhalifu wanaowapandikiza isis .

As long as ni vita basi uhalifu ni lazima utakuwepo lakini ingekuwa ni vyema ka ungekuwa unaangaliwa pande zote mbili,hebu jaribuni kuvuta kumbukumbu za yaliyotokea Iraq wakati wa Bush administration si mnaukumbuka unyama waliofanyiwa waarabu askari wa Saddam Hussein ,mbona hayazungumziwi yale mambo na mpaka leo hatusikii any mandate from UN iliyo condemn yale mambo,ilitisha sana yaani kule gereza la Abu Ghraib wanajeshi wa kimarekani ndio walikuwa wanakwenda kumalizia haja zao kingono wafungwa wengi walikuwa wana bakwa na Americans wazi wazi na haikuwa siri tena mpaka baadhi ya askari wa marekani wakaanza kutoboa siri ndio gereza lile likafungwa na culprits wote wako huru mpaka leo wanadunda America mitaani,hiyo ni moja tuu na mbili ilifanyika looting ya hali ya juu na wengi wa askari wa US walirejea nyumbani na utajiri mkubwa kutokana na looting walioifanya na mmoja wapo ni David Rumsvield ambaye alikuwa ni mtu wa kwanza kuingia ktk compound ya Saddam Hussein,yeye baada ya safe iliyokuwa ikitumiwa na Saddam kuvunjwa aliichukuwa pistol ndogo aliyotengenezesha Saddam kwa kutumia pure gold na kuifanya mali yake mpaka aliporudi toka Iraq akawa anatamba na kuionesha hadharani kana kwamba kile kitendo ni sawa,kuna mengi sana hawa watu huwa wanavunja sheria lakini watu wanaamua kuwanyamazia ila muislam akifanya kitu ka self defence atashutumiwa utafikiria sijui kafanya kitu gani cha kutisha na ilhali wao wanayoyafanya huwa ni sawa.Tumeambiwa tangia enzi za mitume yetu vita walivyopigana havikuwa vya kistaarabu,vita ni vita tuu haiwezi kuwa vita ya watu civilized people only vita inakawaida ya kutochagua wakati mkianza kupigana hakunaga kuchagua huyu yuko hivi tumuachie likiisha anza huwa ni hatari wala huruma hakuna.

Ukisoma historia ya vita vya pili vya dunia askari ambao walikuwa ni pilots toka nchi ya Poland waliporuhusiwa kuingia ulingoni waliingia na roho ya pilots brotherhood ambayo iliwafanya washindwe kuwa very effective wakati wakikutana angani na pilots wa kijerumani hawakutaka kupigana nao kabisa waliwaachia iliendelea hivyo mpaka commanders wa coalition walipoligundua hilo na walisimamishwa kuruka mpaka hilo tatizo lilipotatuliewa ndio wakaendelea kupigana so vita ni vita hakuna huyu ni isis hatakiwi kupigana hivi au vile wakikukamata wale vichaa ni kupigwa kibiriti ndani ya cage uliyomo mpaka ufe,hiyo inaitwa na wenyewe ni tactic of intimidation wale watu sio vichaa wa kucheza nao hebu fikirieni resources iliyowekwa kupigana na vichaa wale na still bado wanapigana na dunia nzima bila kuogopa au kuwa intimidated na forces waliyopelekewa kupigana nao hawa watu wanapigana na dunia hivi sasa na bado wanaume wanazipiga mpaka iko siku kitaeleweka,Iraq ndiyo hiyo ina fall taratibu na mwisho wa siku hata hiyo Baghdad itachukuliwa .Waarabu waliisha choka na kuchezewa akili zao na wazungu.Mr Murage Msherwampamba.

PEACE
 
Last edited by a moderator:
Welcome to Hell: ISIS hang bodies of 'soldiers' from entrance to the city where Syrian troops were paraded through streets in cages


  • WARNING GRAPHIC CONTENT
  • The gruesome scene believed to be from the northern-Iraqi city of Hawija
  • One man pictured next to the bodies appears to be notorious ISIS fighter
  • Abu al-Rahman has been seen alongside the heads of decapitated Syrians
  • Caged Syrian soldiers were mercilessly paraded through that same city
  • ISIS are preparing to move headquarters there from stronghold in Mosul
  • US is currently training Iraqi soldiers to retake Iraq's second largest city


Eight dead bodies hang from a metal frame in the Iraq's Kirkuk province in Islamic State's latest public display of barbarity.
The gruesome images which emerged on social media show the men's limp bodies suspended from their feet off a tall structure in the town of Hawija.
The notorious black flag used by Islamist groups like ISIS is displayed above them as horrified onlookers inspect the scene.
Some of the deceased men appear to be wearing military fatigues but it is not known if they were Iraqi soldiers.
An ISIS fighter believed to be Abu Al-Rahman poses triumphantly in one of the pictures - giving the one-fingered salute in front of a bloodied victim's corpse.
Scroll down for video

26689E1C00000578-2983901-image-m-27_1425729654167.jpg


+9




Barbarity: Eight men were found hanging from their feet in the Iraqi city of Hawija in the militants' latest public display of death

26689CB700000578-2983901-image-a-28_1425729671339.jpg


+9




Gruesome: The dead men were suspended from a tall structure in the same city that Syrian soldiers were paraded through the streets in cages

26689D8300000578-2983901-image-m-30_1425729681491.jpg


+9




Hallmark of terror: The notorious black flag used by extremist Jihadi groups like ISIS hung above the deceased men

26689CBF00000578-2983901-image-a-31_1425729697971.jpg


+9




Death: It is unknown whether the men were Iraqi soldiers, as ISIS' presence in the northern-Iraqi city grows

The same tyrant has been been pictured before alongside severed heads and masked ISIS fighters.
A shocking video released in February showed orange-clad captives being paraded in cages in the same city of Hawija.
Frenzied crowds taunted the kidnapped men during the merciless procession which echoed the terrible death suffered by captured Jordanian pilot Moaz al-Kasasbeh.
He was also caged before a film of him being burned alive, implying the same fate would befall the trapped captives in Hawija.


It was seen as revenge against the Kurdish forces who dragged the bodies of ISIS fighters through the streets of northern-Iraq earlier that month.
Previous reports suggest he is an Iraqi national from the town of Almere and the heads once belonged to members of the Syrian army whom the militants captured and beheaded.

The extremist group has established a firm foothold in what was once an oil-rich Kurdish stronghold of Kirkuk.
ISIS has been preparing a new base for its deadly operations in Hawija as the United States train Iraqi troops for an invasion to retake Mosul, the International Business Times reports.
2668756D00000578-2983901-image-a-7_1425726109867.jpg


+9



Terrorist: The man pictured posing alongside the suspended men is believed to be Abu Al-Rahman

266874A100000578-2983901-image-a-9_1425726242594.jpg


+9



Islamic State: The same man has been previously been pictured alongside armed, masked fighters believed to belong to ISIS

2668763A00000578-2983901-image-a-8_1425726111992.jpg


+9



History of terror: Al-Rahman has also been photographed giving the one-fingered ISIS salute in front of several decapitated heads

Hawija is a predominantly Sunni Muslim town which lies off a major highway leading to Mosul and the capital Baghdad.
Since ISIS first invaded the city in June 2014, it progressively conquered neighbouring villages until it gained enough support from locals to establish its new headquarters there.
Over the last nine months, its main base in Iraq has been in Iraq's second-largest city Mosul which it took over last year.
It has offered Islamic State a military advantage due to its proximity to the Syrian border, which allows them to smuggle both weapons and soldiers.
But a US-led coalition has attacked the city with airstrikes for many months - targeting ISIS convoys and weapons stores.

ISIS parades Kurdish fighters in cages before mob

video-undefined-25EF2C0400000578-639_636x358.jpg






25A8C23B00000578-2952924-image-a-10_1423867510624.jpg


+9



Trapped: A terrified Kurdish prisoner looks out from his cage at a mob of jeering militants in the horrific scene in Hawija

25A8C26300000578-2952924-image-a-9_1423867504536.jpg


+9

Captives: Each prisoner was accompanied by a black-clad and flag-waving jihadi - some armed with AK-47s

The Americans are now training over 20,000 Iraqi soldiers to retake the city from Islamic State's deadly grip, US Cnetral Command has revealed.
Their presence in Hawija gives the militants access to Anbar province and another road leading to the Baiji oil refinery they lost to the Iraqi military in November 2014.
Hawija has been a hotbed of violence April 2013 - two years after the US withdrew its troops from the country.
It began when the government's forces raided a camp of rebels in the city on April 24 and killed dozens of civilians in the process.
300 people had died as a result of the army's battle with militant groups in the region in the next three days alone.Source.
www.dailymail.co.uk
 
Hivi hawa binadamu wamezaliwa na mwanamke?!!! Nawaangaliaga huwa siwamalizi
 
[h=1]IS yatoa video ya mauaji ya 'jasusi'[/h]
150311030654_musallam_parents_is_hostage_640x360_reuters.jpg


Wapiganaji wa kundi la Islamic State wameweka kanda ya video katika mtandao ambayo inamuonyesha mvulana mdogo akimpiga risasi na kumuua mfungwa mmoja mwenye asili ya kiyahudi na kiarabu.

Mtu huyo anayejulikana kama Mohammed said Ismail Musallam anatuhumiwa na kundi la IS kwa kulifanyia kazi kundi la upelelezi la Israel Mossad.



Kijana huyo mwenye miaka 19 aliondoka nyumbani kwao mashariki mwa Jerusalem kwenda Uturuki mwaka uliopita ili kujiunga na kundi la IS nchini Syria.


Maafisa wa Israel na familia ya Mussallam zimekana kwamba alikuwa mpelelezi wa Israel.
Kanda hiyo ya Video haijathibitishwa na maafisa wa Israel wanasema kuwa hawawezi kuthibitisha chimbuko lake.
Familia ya Mussallam imesema kuwa alielekea nchini Uturuki miezi minne iliopita bila kuwaarifu.


Mda mfupi baada ya kuondoka kwake alimwambia nduguye kwamba alikuwa na mpango wa kujiunga na IS nchini Syria.
Msemaji wa shirika la usalama la Shin Beth ameliambia shirika la habari la AFP kwamba alikuwa amondoka nyumbani kwa kutaka kwake.


Familia ya Mussallam vilevile ilipokea simu kutoka kwa mtu ambaye alisema Mussallam alikamatwa katika kizuizi kimoja katika mpaka wa Uturuki na kuwekwa katika jela ya Islamic state.


''Hawakutaka aondoke kwa kuwa iwapo angeondoka na kurudi basi angekutakana na jeshi la Israel ambalo lingemtaka aelezee yote alioshuhudia''.Kwa hivyo walitaka kumuua'',Said Mussallam alinukuliwa na gazeti la Israel Yedioth Ahronoth. ''Namjua mwanagu nina hakika kwamba hakuwa akilifanyia kazi shirika la Mossad''.

Source BBC Swahili

IS yatoa video ya mauaji ya 'jasusi' - BBC Swahili
 
Mbona Wataalam wa JF wakiongozwa na Faizafoxy wanatwambia kuwa ISIS imeanzishwa na ISRAEL?, imekuwaje sasa tena hapo
 
Ndio limeanzishwa na israel lakini wamekuw kama waasi sasa, kwa kuwa lengo la kuanzishwa kwake ilikuwa kumuondoa ASAD lakini ni kama wamewageuka
 
ISIL(usa) hatasimama mpaka ahakikishe ameivuruga Iran na mwisho amemtoa Al Assad Syria
 
Back
Top Bottom