ISIS fighters 'have contracted Ebola'

ISIS fighters 'have contracted Ebola'

Status
Not open for further replies.

TanzaniaLaw

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2011
Posts
1,298
Reaction score
482
The World Health Organisation is investigating reports that ISIS militants have been showing up at an Iraqi hospital with Ebola.

According to three media outlets an undisclosed number of militants displaying signs of the disease attended a hospital in the ISIS-held city of Mosul, 250 miles north of Baghdad.

While the reports, from Kurdish and pro-Iraqi sources, remain unconfirmed, WHO spokesman Christy Feig said the group are trying to reach out to officials in ISIS-held areas to offer help.
20E537C400000578-0-image-a-62_1420078116055.jpg


+2

Infection: Several ISIS militants have arrived at a hospital in Mosul displaying signs of Ebola according to unconfirmed reports

UN workers are currently banned from entering ISIS-controlled areas in both Iraq and Syria so it is unlikely an operation in the region could be carried out.


Read more: ISIS fighters 'have contracted Ebola' in Iraq's Mosul | Daily Mail Online

 
Wanaweza wakawa wamepelekewa.mambo ya Biological wepons hayo ambayo USA ni bigwa kwenye fani
 
Kama wamewapelekea bado hawajawakomoa kwa sababu hawa jamaa wanapigna ili wafe...kwanza kabla hajafa atahakikisha kuwa ameshambukiza watu wengi sana....
Watakuwa wamewapunguzia mzigo wa kubeba mabomu ya kujitoa mhanga.....
 
Kama wamewapelekea bado hawajawakomoa kwa sababu hawa jamaa wanapigna ili wafe...kwanza kabla hajafa atahakikisha kuwa ameshambukiza watu wengi sana....
Watakuwa wamewapunguzia mzigo wa kubeba mabomu ya kujitoa mhanga.....

Hii naifananisha na TV series moja inaitwa "The Walking Dead"....Sipati picha maafa yatakayotokea endapo Ebola ikiwapata sawasawa hawa ISIS...patachimbika sana. hakuna wa kumsaidia mwenzake kutokana na vita inayoendelea. I guess, they deserve it...
 
Hii naifananisha na TV series moja inaitwa "The Walking Dead"....Sipati picha maafa yatakayotokea endapo Ebola ikiwapata sawasawa hawa ISIS...patachimbika sana. hakuna wa kumsaidia mwenzake kutokana na vita inayoendelea. I guess, they deserve it...

Lakini pia hawakufa pekee yao...na huo ugonjwa utasamba bara asia lote.....ikiwa watautumia kama silaha....
 
NIMEIPENDA HII KWELI HAWA ISIS NI WASHENZI SANA na kwa ukali wa ebola isis watakwishilia mbali pumbavu zao/thanks ubunifu huu hata al shabab wangepelekewa tu!/ingawa italeta maangamizi mengi ktk muda fulani lakini mwisho wataishi raha mustarehe
 
NIMEIPENDA HII KWELI HAWA ISIS NI WASHENZI SANA na kwa ukali wa ebola isis watakwishilia mbali pumbavu zao/thanks ubunifu huu hata al shabab wangepelekewa tu!/ingawa italeta maangamizi mengi ktk muda fulani lakini mwisho wataishi raha mustarehe

Isis kama wana ebola ni janga la dunia. Hawa hawana cha kupoteza! Hata wamarekani watakimbia maana watausambaza kwa makusudi na hivyo hawatakwisha peke yao. Ripot zinaonyesha ISIS wanamiliki pesa dola bn2 sawa na karib Tsh 3.5 trillion ambazo ni hela nyingi sana. Hata kundi kongwe la Alqaed hawana hizo hela!
 
Isis kama wana ebola ni janga la dunia. Hawa hawana cha kupoteza! Hata wamarekani watakimbia maana watausambaza kwa makusudi na hivyo hawatakwisha peke yao. Ripot zinaonyesha ISIS wanamiliki pesa dola bn2 sawa na karib Tsh 3.5 trillion ambazo ni hela nyingi sana. Hata kundi kongwe la Alqaed hawana hizo hela!

Kweli mkuu....wapumbavu fulani wanadhani ndio wamewakomoa ISIS kumbe ndio wamewapunguzia mzigo wa kubeba makombola na mabomu ya kujitoa mhanga...wataacha kuvaa magwanda na kuanza kujimix na watu na kuusambaza kwa wingi na kuzidi kuleta maafa zaidi...kwanza ikumbukwe kuwa hawa jamaa uhai si kitu cha thamani kwao ndio maana wanavaa mabomu na kujilipua huku akijua wazi kuwa na yeye ni miongoni mwa watakaofariki.....sasa unamletea ugonjwa kama ambao anakufa akiwa softi kabisa si ndio kwanza atakushukuru.....
Watu wanadhani huu ugonjwa ukiwafikia alishabaab kenya itakuwa salama....jambo ambalo si kweli....
 
#wengi wataangamia lakini hatimaye hali itakuwa shwari why?
*ebola ita disorganise wahusika wataanza kuogopana wao kwa wao pia nakataa eti wapo tayari kufa saa yoyote tusijidanganye kwa hilo,na ndio maana #wanapenda kutumia mabomu bomu lina ku~blackout imediately so unakufa with no pain just like closing an eyes/pia wao kupata ebola haiwezi kuwa janga la dunia,
 
#wengi wataangamia lakini hatimaye hali itakuwa shwari why?
*ebola ita disorganise wahusika wataanza kuogopana wao kwa wao pia nakataa eti wapo tayari kufa saa yoyote tusijidanganye kwa hilo,na ndio maana #wanapenda kutumia mabomu bomu lina ku~blackout imediately so unakufa with no pain just like closing an eyes/pia wao kupata ebola haiwezi kuwa janga la dunia,

Hawana cha kupoteza. Wale siyo sawa na mimi au wewe ambao tunathamini kuishi.
 
Kama wamewapelekea bado hawajawakomoa kwa sababu hawa jamaa wanapigna ili wafe...kwanza kabla hajafa atahakikisha kuwa ameshambukiza watu wengi sana....
Watakuwa wamewapunguzia mzigo wa kubeba mabomu ya kujitoa mhanga.....

watakimbiana tu.chezea mdudu ebola,haponi hata kwa albadir
 
Ni kwa nini kila tukio mnatukana America?

Isis mnasema ni jeshi la Marekani - upumbavu mtupu.

Leo ISIS imesikika kuna ebola, inakuwa america kapeleka.

Huu si wendawazimu?

Kwa nini msione kwamba wanaweza kupata kwa njia ya kawaida tu?

Wanachukua wapiganaji kutoka sehemu zote duniani.
Wanasafiri kwa siri sehemu nyingi duniani kuendesha mafunzo yao ya kishetani.
Wanakamata na kutesa watu ovyo kama walivyokuwa wamemshika yule Pilot na alikuwa anableed.
Wanapochinja watu wanakuwa wanajilinda na maambukizo?
Wanapowarundika mateka wao kwenye mahabusu wanakuwa wamehakikisha wakok ebola free? Na hao walinzi wanatahadhari yoyote?

Acheni utumwa wa fikra. ISIS, kwa wanavyofanya kazi ni zaidi ya kawaida kupata maradhi kama ebola kwa kuchezea watu na damu zao na ukimwi kwa ubakaji.

Kama wanataka kufa, kwa nini wanajilinda? Si wakae watikitwe ili wafike jehanam mapema?

Mwone aibu kutokutumia akili na kuona kila linalotokea America kafanya. Wehu!

By the way, kama wamepata Ebola, acha yafe. Mashetani makubwa usoni pa nchi!. Kwa nini wanakwenda kutafuta tiba Iraq hospitalini?

Kumbe wanaamini kuishi kwema?

Pumbavu kabisa!.


Kweli mkuu....wapumbavu fulani wanadhani ndio wamewakomoa ISIS kumbe ndio wamewapunguzia mzigo wa kubeba makombola na mabomu ya kujitoa mhanga...wataacha kuvaa magwanda na kuanza kujimix na watu na kuusambaza kwa wingi na kuzidi kuleta maafa zaidi...kwanza ikumbukwe kuwa hawa jamaa uhai si kitu cha thamani kwao ndio maana wanavaa mabomu na kujilipua huku akijua wazi kuwa na yeye ni miongoni mwa watakaofariki.....sasa unamletea ugonjwa kama ambao anakufa akiwa softi kabisa si ndio kwanza atakushukuru.....
Watu wanadhani huu ugonjwa ukiwafikia alishabaab kenya itakuwa salama....jambo ambalo si kweli....
 
Ni kwa nini kila tukio mnatukana America?

Isis mnasema ni jeshi la Marekani - upumbavu mtupu.

Leo ISIS imesikika kuna ebola, inakuwa america kapeleka.

Huu si wendawazimu?

Kwa nini msione kwamba wanaweza kupata kwa njia ya kawaida tu?

Wanachukua wapiganaji kutoka sehemu zote duniani.
Wanasafiri kwa siri sehemu nyingi duniani kuendesha mafunzo yao ya kishetani.
Wanakamata na kutesa watu ovyo kama walivyokuwa wamemshika yule Pilot na alikuwa anableed.
Wanapochinja watu wanakuwa wanajilinda na maambukizo?
Wanapowarundika mateka wao kwenye mahabusu wanakuwa wamehakikisha wakok ebola free? Na hao walinzi wanatahadhari yoyote?

Acheni utumwa wa fikra. ISIS, kwa wanavyofanya kazi ni zaidi ya kawaida kupata maradhi kama ebola kwa kuchezea watu na damu zao na ukimwi kwa ubakaji.

Kama wanataka kufa, kwa nini wanajilinda? Si wakae watikitwe ili wafike jehanam mapema?

Mwone aibu kutokutumia akili na kuona kila linalotokea America kafanya. Wehu!

By the way, kama wamepata Ebola, acha yafe. Mashetani makubwa usoni pa nchi!. Kwa nini wanakwenda kutafuta tiba Iraq hospitalini?

Kumbe wanaamini kuishi kwema?

Pumbavu kabisa!.

Matusi hayafai...
 
Kweli mkuu....wapumbavu fulani wanadhani ndio wamewakomoa ISIS kumbe ndio wamewapunguzia mzigo wa kubeba makombola na mabomu ya kujitoa mhanga...wataacha kuvaa magwanda na kuanza kujimix na watu na kuusambaza kwa wingi na kuzidi kuleta maafa zaidi...kwanza ikumbukwe kuwa hawa jamaa uhai si kitu cha thamani kwao ndio maana wanavaa mabomu na kujilipua huku akijua wazi kuwa na yeye ni miongoni mwa watakaofariki.....sasa unamletea ugonjwa kama ambao anakufa akiwa softi kabisa si ndio kwanza atakushukuru.....
Watu wanadhani huu ugonjwa ukiwafikia alishabaab kenya itakuwa salama....jambo ambalo si kweli....

unadhani Ebola ni sawa na maralia....!!?
 
Aisee...1anakimbilia hospitali kufanya nini??Hapo yawapaswa washukuru kuwa kifo kimewafata hawajakifata,ingawa litakuwa janga kwa wengine!!
 
Raha sana maana wanaenda kupata mabikira 72

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Taarifa ingine kutoka New york times inasema ebola wametengeneza wai ISIS na inasemekana wana akiba kubwa ya vijidudu hivyo .
Pia wao peke yao ndio wenye anti dot ya ebola.
Na taarifa za ndani kabisa ya kundi hilo inasemekana wao ndio wameleta Ukimwi na dawa yake wanayo hivyo kuna mazungumzo yanaendelea na WHO kuwaomba watoe hio dawa na wao wataachwa waichukue syria na iraq
 
Taarifa ingine kutoka New york times inasema ebola wametengeneza wai ISIS na inasemekana wana akiba kubwa ya vijidudu hivyo .
Pia wao peke yao ndio wenye anti dot ya ebola.
Na taarifa za ndani kabisa ya kundi hilo inasemekana wao ndio wameleta Ukimwi na dawa yake wanayo hivyo kuna mazungumzo yanaendelea na WHO kuwaomba watoe hio dawa na wao wataachwa waichukue syria na iraq
cut the cr.a.p
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom