ISIS executes British aid worker David Haines; Cameron vows justice

ISIS executes British aid worker David Haines; Cameron vows justice

Hehehehe haw jamaa noma. Lakini ndio vita. Ulifikiri kuna kuimba mapambio hapo.
Hao wanaouliwa ni traitors na enemies wa isis. Ndio vita hio sasa sijui cha ajabu nini?
Hao wamarekani na brits kwasababu wanaua kwa mabomu ya drones basi hio haiwashtui.
Mmarekani akiua yeye sio katili bali anataka kuwakomboa, ila muarabu akiua basi ni shetani kabisa!
What hypocrasy (sp)!!

Nirahisi na kicheko kwa jirani kuuwawa au kuuliwa. Omba yasikukute katika jamii au familia yako.

usaliti, makafil, vibaraka nk. Lakini fahamu wote hao niwatu wa mungu. Kwanini tusipendane tuishi kwa amani?

Kwani kiama kikifika mola atahukumu, na sote tunaamini Jahanam ipo.........sasa ipo kwa ajiri yanani?
 
Kauli mbiu ya mossad ni kuwa,''BY DECEPTION THOU SHALT START WARS''.
Yaani wataanzisha vita kwa udanganyifu,yaani watatumia uongo na trick chafu kusababisha vita duniani,na ndo yanayotokea hapo mashariki ya kati na ukraine.ili kuelewa zaidi google hayo maneno utapata infor zote.
kuna kitu kinatafutwa hapo,yule mmarekani wa mwisho kuwa beheaded kumbe ni mossad agent na wataalamu wa video wanasema it is fake,na kuwa imetumiwa hiyo move kwa malengo maalumu na jamaa anaweza kuwa hai kafichwa na kupewa new identity.
hivi karibuni uingereza ilikua inagoma kushiriki kampeni dhidi ya isis na kisha leo raia wake amekua beheaded,ni kama kwamba kuna watu wanataka uingereza ishiriki.mantiki inakataa kuwa isis wako hatarini kushambuliwa na mataifa kibao halafu wazidi kuyachochea mataifa hayo yawashambulie,logic ni kuwa hawa isis wanataka majeshi ya magharibi yaingie hapo,kwa faida ya nani?.
who will benefit?,I.S.R.A.E.L.

Ya somalia na Alshabab pia? au Ya bokoharam na Nigeria pia?
 
Ya somalia na Alshabab pia? au Ya bokoharam na Nigeria pia?
Pote,hivi hujiulizi kwanini ukienda iragnews.com utaona ni irag airforce ndo wamekua wakiua hao isis kwa mamia kilasiku,na kwa syria ni syria airforce ndo wanawateketeza,hata leo wamewabomb isis 18 mpaka mchana ya leo,lakini umesikia marekani wamefanya nini,ukiacha habari za wiki tatu walipokua wanawasaidia wakurd kule kaskazini,ambako kuna kampuni lao la mafuta?.

wanasema kuna special black ops wa marekani wamo irag leo miezi 2 wamefanya nini?.
kule nigeria pia walikwenda hakuna kitu wamefanya na hapa tunaongelea superpower wenye kila technology.kwanini asad aweze wao washindwe kama hakuna usanii?.wao target yao ni assad,wanataka kumtoa ili wapitisha mabomba yao ya gesi toka israel na gatar kwenda europe na hivyo kumkatia laini putin na hatimae kuiporomosha russia na vilevile iran.
ukiangalia mchezo wote israel ndo anabenefit kuliko wote.
bila kusahau saud ,israel na marekani ni washirika wa karibu sana.
 
Wazungu wakae kwao ili ISIS wachinje waarabu wenzao? hunaakili wewe.

Aaa aaa! Wazungu waende wakaue watoto na wanawake km kawaida yao.
We ndo una akili sana!.

Na kwa akili zako zilivyo nyingi unategemea kuwa wazungu wanapenda sana HAKI na Wanawaonea Huruma WAARABU na wako tayari kupeleka watu wao wakafe ili kutetea Waarabu sio?

Watu wenye akili za namna yako ndio waliowakaribisha WAKOLONI ktk Fukwe zetu na kuwachapa waafrika wenzako kwa kumridhisha mzungu.

Hata aibu huna.

Hao wazungu wako walikuwa wapi wakati WAHUTU wanachinja WATUSI?
Wazungu wako walikuwa wapi wakati mandela anaitwa GAIDI kwa kutetea haki za muafrika?

Wazungu wako walikuwa wapi wakati wazungu wengime wakipiga Bom la Nuklia huko hiroshima na nagasaki

Au akili zako nyingi zilikuwa likizo!!!
 
Ya somalia na Alshabab pia? au Ya bokoharam na Nigeria pia?

Hivyo vikundi ulivyovitaja HAVINA TOFAUTI YYT NA IRA (CHRISTIAN Terrorist) ya Ireland.
ETTA (Christian terrorist) ya Spain KKK (Christian) ya USA.
Na list goes on like all of these CHRISTIAN TERRORIST GROUPS.

Army of God - USA (early 1990s-present)-
-The Lambs of Christ - USA (1998)--Irish National Liberation Army - UK (1974-Present)-Irish People's Liberation Organisation - UK (1986-1992)--Irish Republican Army - Northern Ireland (1922-1969)-Official IRA (1969–present)-Provisional Irish Republican Army-Ulster Volunteer Force-'Orange Volunteers-United Liberation Front of Asom-ETA (Basque Fatherland and Liberty) - Spain-Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE, aka Tamil Tigers) - -Sri Lanka-National Front for the Liberation of Corsica (FLNC)-
-Corsican separatist-Action Directe (AD), an anti-NATO organization--Antifascist Resistance Groups October First (GRAPO)
-Spain (1975-present)-New People's Army - Philippines-Red Army Faction (RAF) aka Rote Armee Fraktion aka-
-Baader-Meinhof Group - Germany (1970 – 1993)--Revolutionary Armed Forces of Colombia (FARC) - Colombia-Aryan Nations - United States[2] (1970s-)--Charles Martel Group - France (1973-83)[2]--The Covenant, The Sword, and the Arm of the Lord (CSA) - -United States[2] (1971-)--Ku Klux Klan - United States (founded in 1865 and revived several times since).-Masada Action and Defense Movement - France (1988-89). -French racists pretending to be Zionist radicals.

UADUI HAUNA KABILA WALA DINI.

Acheni unafiki wa kuona sehemu moja tu.
 
Hivyo vikundi ulivyovitaja HAVINA TOFAUTI YYT NA IRA (CHRISTIAN Terrorist) ya Ireland.
ETTA (Christian terrorist) ya Spain KKK (Christian) ya USA.
Na list goes on like all of these CHRISTIAN TERRORIST GROUPS.

Army of God - USA (early 1990s-present)-
-The Lambs of Christ - USA (1998)--Irish National Liberation Army - UK (1974-Present)-Irish People's Liberation Organisation - UK (1986-1992)--Irish Republican Army - Northern Ireland (1922-1969)-Official IRA (1969–present)-Provisional Irish Republican Army-Ulster Volunteer Force-'Orange Volunteers-United Liberation Front of Asom-ETA (Basque Fatherland and Liberty) - Spain-Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE, aka Tamil Tigers) - -Sri Lanka-National Front for the Liberation of Corsica (FLNC)-
-Corsican separatist-Action Directe (AD), an anti-NATO organization--Antifascist Resistance Groups October First (GRAPO)
-Spain (1975-present)-New People's Army - Philippines-Red Army Faction (RAF) aka Rote Armee Fraktion aka-
-Baader-Meinhof Group - Germany (1970 – 1993)--Revolutionary Armed Forces of Colombia (FARC) - Colombia-Aryan Nations - United States[2] (1970s-)--Charles Martel Group - France (1973-83)[2]--The Covenant, The Sword, and the Arm of the Lord (CSA) - -United States[2] (1971-)--Ku Klux Klan - United States (founded in 1865 and revived several times since).-Masada Action and Defense Movement - France (1988-89). -French racists pretending to be Zionist radicals.

UADUI HAUNA KABILA WALA DINI.

Acheni unafiki wa kuona sehemu moja tu.
Vikundi vyote ulivyotaja ni vya uadui ila misingi yao sio DINI. Watu wanataka uhuru wao au ni ma racist. Unaweza kuongeza black panthers hapo. Pia kuna vikundi vya ujambazi na uchawi. Pia unaweza kuongeza hapo. Skin head wa Poland atakupiga wewe kwa kuwa ni black hata kama wewe ni padri wa Catholics. UADUI HAUNA KABILA WALA DINI ila kuna DINI ZINA UADUI NA UBAGUZI (or rather say people using religion to build uadui).
 
Na allahu akbar wakati wanaua wamefundishwa na nani? And please: JF ni uwanja wa malumbano na sio sehemu ya kutukanana. We exchange views because, kufundishana na kukosoana na sio kuitana wajinga nk kutokana na imani zetu tofauti. We should have zero tolerance.
 
Na allahu akbar wakati wanaua wamefundishwa na nani? And please: JF ni uwanja wa malumbano na sio sehemu ya kutukanana. We exchange views because, kufundishana na kukosoana na sio kuitana wajinga nk kutokana na imani zetu tofauti. We should have zero tolerance.
Hata wewe mbona umesema Allahu Akbar kwa hio ni muislam , kweli mjinga huwa ananaswa tu kama tunavyo mnasa mtume wako Paulo siku zote na bibilia yake ya kishoga. sa we ni kafiri au muislam?
 
Elungata una akili sana we mtu unafaa kuwa intelligence kumbe umejua mchezo mchafu unaoendelea heeeh, pale wanataka kuivamia Iran Na kuntoa assad tu, Israel taifa laki jeuri sana
 
140914001952_david_haines_murder_video_624x351__nocredit.jpg


Serikali ya Uingereza imesema kuwa inachukua hatua za dharura ili kubaini ukweli wa kanda ya video inayoonyesha mateka wa Uingereza David Haines aliyetekwa nyara na kundi la himaya ya kiislamu akikatwa kichwa.


Mfanyikazi huyo wa misaada aliyekamatwa nchini Syria mnamo mwezi Machi mwaka jana ameonyeshwa akipiga magoti katika jangwa, kando yake akiwa ni mtu aliyeficha uso wake ambaye amebeba kisu.

Atakuwa mateka wa tatu wa magharibi kukatwa kichwa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
katika kanda hiyo ya Video mtu aliyeshika kisu anaonekana akishtumu mataifa yanayounga mkono Marekani,naye Haines ambaye anaonekana kuwa chini ya shinikizo anaonekana akimlaumu waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron kwa hatma yake.
Mwisho wa kanda hiyo mateka wa pili wa Uingereza anaonyeshwa na kutishiwa.

140910162321_reino_unido_david_cameron_624x351_getty_nocredit.jpg

David Cameron

Wakati huohuo Waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron ameshtumu kukatwa kichwa kwa David Haines kama kitendo cha kishetani.
Amesema kuwa wauaji watakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria ata iwapo itachukua mda mrefu.
Katika taarifa yake rais Obama pia ameshtumu mauaji ya kikatili ya David Haines.

Amesema Marekani inaomboleza na Uingereza kifo cha mateka huyo na kungezea kuwa itashirikiana na muungano mkubwa wa kimataifa ili kuwakamata washukiwa mbali na kuharibu tishio hilo kwa ulimwengu.

Wanahabari wawili Steven Sotlof na james Foley waliuawa na wapiganaji hao mwezi uliopita.
Mateka mwengine akatwa kichwa na IS - BBC Swahili
 
Hawa watu ni washenzi na mashetani wakubwa yani inakuaje unamchnja mtu ambaye amejitolea kutoa misaada kisa Mwingereza,sio kama upunguani na urofa!
 
Yaani watu wanauawa, mtu anayetuhabarisha ndio unamshambulia ! Wewe ni mtu wa aina gani ?
Kama habari za wauaji na unyama wao usipojulikana, watu watawezaje kuwajua na kupambana nao ?

Shame on you !

Hakuna Binaadamu mwenye akili timamu AKAPENDA MAUWAJI!!!

Ni watu km wewe ndio mnaosambaza unyama huu na kuwapa vichwa hao WAUWAJI.

Unasambaza hii video kwa Malengo yapi km sio KUSAMBAZA UOVU KTK JAMII?
Na watu wakishaona ndio wafanye nini sasa!

Shame on you.
 
Kwa hiyo kama Baba na babu zako au viongozi waliopita walishindwa kufanya majukumu yao na wewe inabidi uache !. Logic ya wapi hii ?


Aaa aaa! Wazungu waende wakaue watoto na wanawake km kawaida yao.
We ndo una akili sana!.

Na kwa akili zako zilivyo nyingi unategemea kuwa wazungu wanapenda sana HAKI na Wanawaonea Huruma WAARABU na wako tayari kupeleka watu wao wakafe ili kutetea Waarabu sio?

Watu wenye akili za namna yako ndio waliowakaribisha WAKOLONI ktk Fukwe zetu na kuwachapa waafrika wenzako kwa kumridhisha mzungu.

Hata aibu huna.

Hao wazungu wako walikuwa wapi wakati WAHUTU wanachinja WATUSI?
Wazungu wako walikuwa wapi wakati mandela anaitwa GAIDI kwa kutetea haki za muafrika?

Wazungu wako walikuwa wapi wakati wazungu wengime wakipiga Bom la Nuklia huko hiroshima na nagasaki

Au akili zako nyingi zilikuwa likizo!!!
 
Yaani watu wanauawa, mtu anayetuhabarisha ndio unamshambulia ! Wewe ni mtu wa aina gani ?
Kama habari za wauaji na unyama wao usipojulikana, watu watawezaje kuwajua na kupambana nao ?

Shame on you !

Unyama wa Watusi uliujua Kipi ulikifanya?
Unyama wa Wayahudi kwa Waafrika weusi wanaoishi huko unaujua Kipi unakifanya?
Hata Unyama wa wabadhilifu wa serikali yako Unaujua na kuuona mbele ya macho yako Kipi unafanya zaidi ya kufungua hilo domo lako na kutapika pomba haramu tu?

Kutangaza unyama wa hawa watu ni kuwapa Promo za bure lkn miafrika sijuo lini itakuja pata fahamu.!
 
Kwa hiyo kama Baba na babu zako au viongozi waliopita walishindwa kufanya majukumu yao na wewe inabidi uache !. Logic ya wapi hii ?

Wajibu gani ulioachwa hapa km sio akili mbovu?
We kuropoka ovyo ndiko kutasababisha hawa jamaa waache kuua?
Hujijui hujitambui kazi kuropoka tu!

Adui anapofanya maasi na akatoa Video ili watu waone maasi yale basi tambua kuwa Yyt mwenye kusaidia kuonyesha Maasi hayo AMEWASAIDIA Hao waovu KUSAMBAZA PROPOGANDA zao ktk Jamii.

Wewe na wale wanaowapa Promo hao maadui HAMNA TOFAUTI YYT.

Amka wewe mtoto!
 
Kwa hiyo wewe ukiona unyama unafanyika unaona si sawa kuureport eti kwa sababu tu unyama mwingine haujawa reported ! Sikuelewi kabisa !

Na unajuaje huyo aliyereport iwapo alireport unyama wa watusi vile vile ? By the way unyama wa watusi ulifanyika 1994 (20 years ago)...inawezekana mleta mada si ajabu alikuwa hajazaliwa wakati huo au alikuwa mtoto mdogo au hakuwa katika mazingira ya kureport !

Hakuna justification ya wewe kumshambulia mtu aliyetuletea habari ya hayo mauaji !.

Unyama wa Watusi uliujua Kipi ulikifanya?
Unyama wa Wayahudi kwa Waafrika weusi wanaoishi huko unaujua Kipi unakifanya?
Hata Unyama wa wabadhilifu wa serikali yako Unaujua na kuuona mbele ya macho yako Kipi unafanya zaidi ya kufungua hilo domo lako na kutapika pomba haramu tu?

Kutangaza unyama wa hawa watu ni kuwapa Promo za bure lkn miafrika sijuo lini itakuja pata fahamu.!
 
Back
Top Bottom