simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,694
- 9,580
Video shows apparent beheading of American journalist James Foley, who went missing in Syria
Journalist James Foley was captured once covering the uprising in Libya so he knew the risks when he went to Syria in 2012 to cover the escalating violence there. It didn't matter. He was a journalist at heart, once saying he'd cover local news if it meant doing the job he loved.
The 40-year-old from Rochester, New Hampshire, was snatched again in Syria in November 2012.
Two U.S. officials said they believed he was the person executed in a beheading by Islamic State militants in a video released Tuesday.
Foley's family has confirmed his death on a webpage created to rally support for him. His mother says he "gave his life trying to expose the world to the suffering of the Syrian people."
"We are appalled by the brutal murder of an innocent American journalist and we express our deepest condolences to his family and friends," White House National Security Council spokeswoman Caitlin Hayden said.
The release of the video apparently showing his death comes amid a U.S. airstrike campaign against Islamic State targets in Iraq. The group has declared an Islamic state in the territory it controls in Iraq and neighboring Syria, imposing its harsh interpretation of Islamic law.
In the video a man who appears to be Foley, dressed in orange, kneels beside an armed man clad in black. Foley delivers a statement condemning U.S. action in Iraq and says that the U.S. government is his "real killers."
"For what will happen to me is only a result of their complacency and criminality," Foley says in halting speech. "I wish I had more time. I wish I could have the hope of freedom of seeing my family once again, but that ship has sailed. I guess all in all, I wish I wasn't American."
Seconds later, the figure dressed in black brandishes a knife and identifies himself as with the Islamic State, the name the brutal terror group Islamic State of Iraq and Syria took on after its leader declared himself the leader of all Muslims.
"Today your military air force has attacked us daily… Your strikes have caused casualties amongst Muslims," the figure in black says. He then addresses President Obama directly, saying "any attempt… to deny the Muslims their right to live in safety under the Islamic caliphate will result in the bloodshed of your people."
Foley is then killed. The video continues, showing American Steven Sotloff, who has written for national publications like Time magazine, also dressed in orange and on his knees.
"The life of this American citizen, Obama, depends on your next decision," the figure in black says.
Source: wjla
UPDATES
SHUTMA KUFUATIA MAUJI YA MWANDISHI
![]()
Picha kutoka kwa kanda hiyo ya video ya James kabla ya kuuawa
20 Agosti, 2014 - Saa 14:03 GMT
Kumekuwa na shutuma za kimataIfa kufuatia kuuawa ukatili kwa mwandishi wa habari raia wa Marekani na kundi la islamic state nchini Syria.
Waziri wa masuala ya kigeni wa Uingereza Philip Hammond amesema kuwa mashirika ya kijasusi yanajaribu kumtambua yule aliyemuua Foley ambaye anaoneka kuwa na lafudhi ya Uingereza.
Rais wa Marekani Barack anatarajiwa kutoa taarifa yake baadaye leo.
Kikosi cha wapiganaji wa kiislam wenye msimamo mkali Islamic State kimeachilia video inayoonesha mauaji ya mwandishi habari mwenye asili ya Marekani aliyetekwa nyara nchini Syria 2012.
Naye waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amesitisha mapuziko yake na anarejea mji London .
James Foley alipotea tangu alipokamatwa mateka na kushikiliwa nchini Syria yapata miaka miwili iliyopita.
Mamake mwandishi huyo ambaye aliuawa na wapiganaji wa jimbo linalodhibitiwa na wapiganaji wa kiislamu nchini Syria, ametoa risala za rambirambi kwa kijana wake na kusema kuwa alipoteza maisha yake akijaribu kufichua dhuluma walizokuwa wakipitia watu wa Syria.
Katika video hiyo mwandishi huyo wa kujitegemea anaonekana kuuawa na mtu anayemruhusu kutoa semi yake ya mwisho.
![]()
James Foley enzi za uhai wake akiwa na vitendea kazi vyake
Foley ambaye katika video hiyo amevalia magwanda ya rangi ya chungwa akiwa amepiga magoti anasikika akisema kuwa ''Ninawaomba ndugu jamaa na marafiki wangu wasimame na kuzuia adui wangu Serikali ya Marekani kwa ukatili wanaoendelea kutekeleza ndani ya Iraq.''
Mpiganaji mmoja wa kundi hilo akizungumza kwa kizungu anailaumu Marekani kwa kifo cha mwandishi habari huyo.
''Kila siku mnaposhambulia jamhuri ya kiislamu manadhuru maisha ya muislamu na hivyo tunachukua maisha yetu ili iwe onyo kwako (rais) Obama''
anasikika akisema kabla ya kutekeleza kitendo hicho cha kikatali.
Punde baada ya kukamilisha hotuba yake bwana huyo anaanza kumchinja Foley lakini video hiyo inazimwa .
Sekunde chache baadaye mwaandishi mwengine pia raiya wa Marekani Steven Sotloff, anaonekana kabla ya ilani kutolewa kuwa hatima yake iko mikononi mwa Obama na hatua atakayochukua .
Scotloff alitekwa mwaka wa 2013 nchini Syria karibu na mpaka wa Uturuki.
Ikulu ya Marekani imesema inaifanyia uchunguzi wa kina video hiyo na ikithibitika kwamba mwandishi huyo wa habari ni wa taifa hilo ,serikali ya Marekani itataka ufafanuzi wa kina ilikuaje na kwanini James Foley auawe.
Katika mtandao wa kijamii wa Facebook familia ya mwandishi huyo iliandika kuwa 'tunajua kwamba wengi wenu mnasubiri uthibitisho ama majibu ya maswali yenu,tafadhalini muwe watulivu mpaka nasi sote tupate taarifa tunazo tamia,na tunaomba muendelee kumbumbuka Foleys na kumwombea kila siku.''
Katika video hiyo iliyobeba ujumbe unaosomeka kua ujumbe kwa Marekani,mwandishi huyo pia alionekana akiwa chini ya ulinzi wa mtu aliyekua amevalia kinyago usoni,askari huyo alikua akizungumza ndani ya lafidhi yenye athari za Uingereza,akisema kua kifo cha mwandishi huyo ni matokeo ya mashambulizi ya mabomu yanayowalenga wa Iraq.
MAREKANI KUWASAKA WAUWAJI WA FOLEY
![]()
Raisi Barak Obama aahidi ulinzi kwa wamarekani
Kitengo cha sheria nchini ya Marekani kimeanza kufanya uchunguzi wa jinai dhidi ya kifo chamwandishi wa habari mwenye asili ya Marekani ,James Foley aliyeuawa na wapiganaji wa kiislamu wenye msimamo mkali.
Mwanasheria mkuu wa kitengo hicho,Eric Holder ameweka wazi kuwa wote waliohusika na mauaji ya mwandishi huo watawatia mkononi muda si mrefu.
Maofisa wa serikali ya Marekani wandai kwamba askari hao wauaji walidai kiasi kikubwa cha pesa zipatazo dola za kimarekani zaidi ya milioni mia moja na thelathini kama fidia ya kumuachilia James Foley.
Marekani imekwisha anza harakati za kuwasaka na hatimaye kuwakamata waliohusika na mauaji ya mwandishi huyo kwa kurusha ndege zake takriban sita katika anga inayomilikiwa na waislamu kaskazini mwa Iraq.
pamoja na kwamba waislam hao kutishia kumuua mmarekani mwingine wanayemshikilia kama ulipizaji wa kisasi endapo mashambulio yataelemea upande wao.
CHANZO: BBC
Last edited by a moderator: