Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Eti alienda kukagua yeye ni kiongozi wa serikali? Au mbunge wa eneo au diwani? Au kiongozi wa chama tawala kinachoenda kuangalia utekelezaji wa Ilani?Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita akielezea kilichotokea akakamatwa na Jeshi la Polisi, leo Mei 23, 2025 baada ya kuingia kwenye Kituo cha Mwendokasi cha Kimara Mwisho kwa lengo la kujionea na kukagua adha ya usafiri huo.
Waliuzwa kijinga snNdio wajifunze hawa watakupa jimbo kama ubwabwa kwenye sahani🤣🤣🤣🤣twendeni na No reform No Election msijifanye mnajua siasa halafu mnakuja kutoa milio hata uchaguzi haujaanza
Nini kinafichwa?Eti alienda kukagua yeye ni kiongozi wa serikali? Au mbunge wa eneo au diwani? Au kiongozi wa chama tawala kinachoenda kuangalia utekelezaji wa Ilani?
Mwehu huyo eti kabeba hadi waandishi wa habari akague
Kumficha nani ? Labda ? Swala ni protocol pale ni ofisini watu wako kazini busy huwezi ingia tu kama chooni ohh nimekuja kukagua .Lazima uwe na appointmentNini kinafichwa?
Ndiyo siri imemwagwa hadharani sasa mbwa nyie. Kazi kutesa wapiga kura tuKumficha nani ? Labda ? Swala ni protocol pale ni ofisini watu wako kazini busy huwezi ingia tu kama chooni ohh nimekuja kukagua .Lazima uwe na appointment
Huo ni uvamizi kwenye eneo la kazi halali la BRT .Huwezi kwenda eneo la kazi la taasisi kihivyo.Mjinga huyo mchinjita
Ashukuru polisi hawajamtwanga marungu kwa kuvamia eneo la kazi la watu
Saa hii angekuwa na ngeu.Jeshi la polisi huko kimara lina huruma sana
Ndio wajifunze hawa watakupa jimbo kama ubwabwa kwenye sahani🤣🤣🤣🤣twendeni na No reform No Election msijifanye mnajua siasa halafu mnakuja kutoa milio hata uchaguzi haujaanza
Hatulazimishi ila tunaangalia mustakabali wa Taifa lenye ustawi hata sisiemu wakishinda pasi tuwapongeze na tujipange kwa uhalali ila sio kushinda kwa hila na mbinu chafu sisiemu kama mnakubalika kama mnavyosema basi nyie ndio mtanufaika na reforms mbona hamtaki sasa?hivi CHADEMA kwanini munalazimisha munachokiamini nyinyi kila mtu akifuate?
Hatulazimishi ila tunaangalia mustakabali wa Taifa lenye ustawi hata sisiemu wakishinda pasi tuwapongeze na tujipange kwa uhalali ila sio kushinda kwa hila na mbinu chafu sisiemu kama mnakubalika kama mnavyosema basi nyie ndio mtanufaika na reforms mbona hamtaki sasa?
Miaka 63 tunaongelea mambo yale yale sasa hapo kuna akili gani tena mtaalamu? Reform faida ni kwa anaekubalika sasa nyie sisiemu mnasema mnakubalika kwanini hamtaki mabadiliko ya msingi kabisa tuepushe migogoro isiyo na lazima sasa kila kukicha nikujificha na kichaka cha Amani? Nani mwenye mapenzi mema na nchi yake anaekuambia tufanye mabadiliko kuondoa utatanishi au anaekataa mabadiliko aendelee kubaki madarakani? Nani ana akili hapokwahiyo nyinyi peke yenu ndio wenye fikra bora za mustakbali wa Taifa?
Hao mafala kama watasoma hii comment watajifunza kituNdio wajifunze hawa watakupa jimbo kama ubwabwa kwenye sahani🤣🤣🤣🤣twendeni na No reform No Election msijifanye mnajua siasa halafu mnakuja kutoa milio hata uchaguzi haujaanza
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita akielezea kilichotokea akakamatwa na Jeshi la Polisi, leo Mei 23, 2025 baada ya kuingia kwenye Kituo cha Mwendokasi cha Kimara Mwisho kwa lengo la kujionea na kukagua adha ya usafiri huo.