Tangu me mdogo enzi hizo tv ipo kwa jamaa mmoja tunaenda kuangalia trailer ndo inawekwa hyo tunaangalia tu hatuelewi lolote ikifika saa mbili mda wa wanaoangalia muvi...muvi 2 sh. 50.....hahahahaaaaaa tumetoka mbali sana, isidingo haiji kuisha labda tuishe watazamaji