Ishi kwa kujipanga usitegemee mtu

Ishi kwa kujipanga usitegemee mtu

Zamani nyuma mtu alikua akinililia shida hata kama sina ntalibeba mpaka tusolve ,nikipata ka cash ntawaspoil watu nabaki sina hata 100.Mimi nikipata majanga siwaoni ,wao wakipata cash wanaenda kuinvest.Sasa hivi wanadai nimebadilika na nimebadilika kweli .Napigana vita vya uchumi vikali sana.Ukitaka laki nakwambia kuna buku 5 hapa tu ka utaitaka nikurushie.Bia nakunywa mwenyewe ukijileta kwangu nakwambia kabisa ninulie 3 kwanza na mimi nakupa 3.Watu wa sasa ni vilema na mbu watupu ,kazi wanayoiweza vizuri ni kunyonya na kufyonza tu.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Haya mambo sijui kuishi vizuri na watu sijui connection ni muhimu sana, ila usizingatie sana msaada kutoka kwa watu, ishi kwa kujipanga ili ikitokea umepata tatizo ujiokoe.

Binadamu sio watu wa kuwategemea
Tafuta Hela Kaa na emergency fund


Hakuna mtu aliewai kujisaliti, ila anasalitiwa.
Mambo sijui ishi na watu vizuri ni sawa ila usitegemee msaaada kutoka kwaooo
Usisahau uwepo wa Mungu katika mambo yako hakika hautaanguka kamwe
 
Aisee this life is 100% yours. Usitegemee usaidiwe na ndugu, jamaa au rafiki. Kama msaada utakuja baadaye it's good for you. Lakini ukiishi kwa kutegemea msaada kutoka kwa mtu/watu, trust me kwamba utaishia kuwa disappointed tu na utajikuta unachukia kila mtu kwa makosa yako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom