Ishi kwa kujipanga usitegemee mtu

Ishi kwa kujipanga usitegemee mtu

Haya mambo sijui kuishi vizuri na watu sijui connection ni muhimu sana, ila usizingatie sana msaada kutoka kwa watu, ishi kwa kujipanga ili ikitokea umepata tatizo ujiokoe.

Binadamu sio watu wa kuwategemea
Tafuta Hela Kaa na emergency fund


Hakuna mtu aliewai kujisaliti, ila anasalitiwa.
Mambo sijui ishi na watu vizuri ni sawa ila usitegemee msaaada kutoka kwaooo
Pole kwa yaliyokukuta mkuu
 
Tupe tips za kutokuila hiyo hela ya dharula, wapi itumike na wapi isitumike hata iweje

Kitu chakwanza
Hakikisha wewe ndio unaiamulia akili yako na sio akili ikuendeshe wewe....
Ikumbukwe kua msingi imara wa maisha/kuishi ni mahitaji
Na mahitaji hayo kwa 70% yanauhusiano mkubwa na fedha.
Nguo/chakura na vyote vinvyotuzunguka tukiacha pumzi pekee.
Hivyo inawezekana kabisa kukuwia vigumu kuiweka fedha na ikakaa
Mwingine ameajiliwa na analipwa!
Akipokea fedha ni kula bata hadi inakata yote! Kiasi kua inahitaji hadi kukopa kwa wengine...,hivyo anakuja kupokea mshahara unakua tayari unatembea na hasi- ya kiasi

Acha bank na amua ya kua fedha hi siitoi basi imekwisha!
Panga budget yako then tembea nayo hiyo....
Usiende nje ya budget
Usitumie fedha kwa mambo yasio muhimu/lazima

Ila unaweza weka kiasi kidogo kwajiri ya mambo himu

Then pesa kidogo zaid kwa mambo yasio muhimu wala lazima!!
Kwa upande wangu nkishafunga budget zangu za mwezi hua sitoi fedha yoyote kwenye Account yangu hadi ntakapopangilia tena kipindi kingine
Kuna wakati nakua sina hela kabisa ila haimaanishi sina fedha.
 
Kitu chakwanza
Hakikisha wewe ndio unaiamulia akili yako na sio akili ikuendeshe wewe....
Ikumbukwe kua msingi imara wa maisha/kuishi ni mahitaji
Na mahitaji hayo kwa 70% yanauhusiano mkubwa na fedha.
Nguo/chakura na vyote vinvyotuzunguka tukiacha pumzi pekee.
Hivyo inawezekana kabisa kukuwia vigumu kuiweka fedha na ikakaa
Mwingine ameajiliwa na analipwa!
Akipokea fedha ni kula bata hadi inakata yote! Kiasi kua inahitaji hadi kukopa kwa wengine...,hivyo anakuja kupokea mshahara unakua tayari unatembea na hasi- ya kiasi

Acha bank na amua ya kua fedha hi siitoi basi imekwisha!
Panga budget yako then tembea nayo hiyo....
Usiende nje ya budget
Usitumie fedha kwa mambo yasio muhimu/lazima

Ila unaweza weka kiasi kidogo kwajiri ya mambo himu

Then pesa kidogo zaid kwa mambo yasio muhimu wala lazima!!
Kwa upande wangu nkishafunga budget zangu za mwezi hua sitoi fedha yoyote kwenye Account yangu hadi ntakapopangilia tena kipindi kingine
Kuna wakati nakua sina hela kabisa ila haimaanishi sina fedha.
Naunga mkono
 
Haya mambo sijui kuishi vizuri na watu sijui connection ni muhimu sana, ila usizingatie sana msaada kutoka kwa watu, ishi kwa kujipanga ili ikitokea umepata tatizo ujiokoe.

Binadamu sio watu wa kuwategemea
Tafuta Hela Kaa na emergency fund


Hakuna mtu aliewai kujisaliti, ila anasalitiwa.
Mambo sijui ishi na watu vizuri ni sawa ila usitegemee msaaada kutoka kwaooo
Nn kimekukuta mkuu
 
Haya mambo sijui kuishi vizuri na watu sijui connection ni muhimu sana, ila usizingatie sana msaada kutoka kwa watu, ishi kwa kujipanga ili ikitokea umepata tatizo ujiokoe.

Binadamu sio watu wa kuwategemea
Tafuta Hela Kaa na emergency fund


Hakuna mtu aliewai kujisaliti, ila anasalitiwa.
Mambo sijui ishi na watu vizuri ni sawa ila usitegemee msaaada kutoka kwaooo
Exactly nashangaaa sana watu wanaosema ishi vizuri na watu

Ishi na watu kwa akili tuuu ndo jinsi ya kutoboa life vinginevyo ni uongo nikunyenyekeee umekuwa pesa au pumzi ya uhai kwenda huko hio ndo principle yangu mkuuu
 
Hiyo ni kweli kabisa mkuu tena nyakati hizi watu wanaishi kinafik tu.. Wengine husema et sijui 'ishi na watu vizuri ukifa hujui atakae kuzika' hapo unabaki unashangaa kwan hiyo siku ya mazishi ntakuwa nashuhudia!
Eti mwanangu unaona eeeh
 
Back
Top Bottom