Is Turkana part of Kenya!?

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,666
59,739
Maisha ya huko Turkana ni zaidi ya maisha ya kuzimu.
Katika karne hii ya sayansi na technolojia watu wanasafirisha watoto kwa kutumia punda.

Turkana ni nchi ndani ya nchi, wapo na jeshi lao. Kila mtu anamilki bunduki. Tangu Kenyatta aingie madarakani sijamsikia akitembelea maeneo yale.

Yesu alitolea mfano kuzimu kwa kutumia shimo la takataka lililokuwa nje ya mji wa jerusalem. Shimo hilo moto ulikuwa hauzimiki lilikuwa linaitwa jehanamu.

Yesu angetokea leo hii angetolea mfano wa kuzimu na Turkana.

Najaribu kutafakari kama kweli shetani(ibilisi) alifukuzwa toka mbinguni na kuangukia duniani, basi huyo ibilisi aliangukia kenya sehemu inayoitwa Turkana.

Napenda kuwauliza wakenya je, mnampango gani na Turkana!? Au mmeitelekeza!?
Njaa, magonjwa, utapiamlo, vita, vurugu, shida ya maji, hakuna umeme, hakuna barabara, mitandao ya simu haisomi, ubakaji.
Kila aina ya shida zinapatikana Turkana.
Screenshot_20201026-213746.png
Screenshot_20201026-192714.png
Screenshot_20201026-102125.png
Screenshot_20201026-131832.png
Screenshot_20201026-100629.png
 
Nionyeshe ni wapi nilisema hivyo nitoke JF. Halafu unacheka habari ya masaibu na shida? Ama huwa unafurahia wakati binadamu wenzako wanateseka?
Swali liko pale pale. Is Turkana a part of Republic of Kenya!?
 
Yes Turkana is and will always be part of Kenya... But did you know there's much more to this County than what you see or read in the papers? What comes to your mind when Turkana is mentioned? Hunger, insecurity, underdevelopment, poor infrastructure?

Well, ladies and gentlemen... Here is a Turkana you don't get to see or read about in your daily papers!!! 😊

Dl1R98_W4AAJg_b.jpg
Dl1SB6LX4AI1ujF.jpg
Nairokotome-Turkana-Boy.jpg
Namoratunga-Standing-Stones.jpg
Namoratunga-Standing-Stones-2.jpg
Stargazing-Eliye-Springs-2.jpg
Tobunglore-Festival_Jade-Sea-Camp.jpg
Turkana_Eliye-Springs-3.jpg
Turkana_Eliye-Springs-2.jpg
Turkana_Eliye-Springs.jpg
Turkana_Christ-the-Redeemer.jpg
Turkana_Christ-the-Redeemer-2.jpg
Turkana_Central-Island-3.jpg
Turkana_Central-Island-2.jpg
Turkana_Central-Island.jpg
Dl1R98_W4AAJg_b.jpg
Dl1SB6LX4AI1ujF.jpg
Nairokotome-Turkana-Boy.jpg
Namoratunga-Standing-Stones.jpg
Namoratunga-Standing-Stones-2.jpg
Stargazing-Eliye-Springs-2.jpg
Tobunglore-Festival_Jade-Sea-Camp.jpg
Turkana_Eliye-Springs-3.jpg
Turkana_Eliye-Springs-2.jpg
Turkana_Eliye-Springs.jpg
Turkana_Christ-the-Redeemer.jpg
Turkana_Christ-the-Redeemer-2.jpg
Turkana_Central-Island-3.jpg
Turkana_Central-Island-2.jpg
Turkana_Central-Island.jpg
eliye-springs.jpg
1dffd759-fa65-452e-9bc0-63fe580cf8b2.jpg
168-Kainuk-Border-Bridge-Turkana-West-Pokot-Border-7262-696x464.jpg
090-Lake-Turkana-Central-Island-Crocodile-Lake-7981-696x464.jpg
062-Lake-Turkana-Central-Island-Birds-7907-696x464.jpg
One-of-the-crater-lakes-in-Central-Island-2-696x464.jpg
017-Lake-Turkana-Road-Turkana-Boy-Monument-8317.jpg
IMG_5090-640x341.jpg
IMG_2764-640x360.jpg
IMG_3089-640x393.jpg
IMG_3542-640x348.jpg
IMG_2248-640x376.jpg
IMG_4878-640x392.jpg
 
Maisha ya huko Turkana ni zaidi ya maisha ya kuzimu.
Katika karne hii ya sayansi na technolojia watu wanasafirisha watoto kwa kutumia punda.

Turkana ni nchi ndani ya nchi, wapo na jeshi lao. Kila mtu anamilki bunduki. Tangu Kenyatta aingie madarakani sijamsikia akitembelea maeneo yale.

Yesu alitolea mfano kuzimu kwa kutumia shimo la takataka lililokuwa nje ya mji wa jerusalem. Shimo hilo moto ulikuwa hauzimiki lilikuwa linaitwa jehanamu.

Yesu angetokea leo hii angetolea mfano wa kuzimu na Turkana.

Najaribu kutafakari kama kweli shetani(ibilisi) alifukuzwa toka mbinguni na kuangukia duniani, basi huyo ibilisi aliangukia kenya sehemu inayoitwa Turkana.

Napenda kuwauliza wakenya je, mnampango gani na Turkana!? Au mmeitelekeza!?
Njaa, magonjwa, utapiamlo, vita, vurugu, shida ya maji, hakuna umeme, hakuna barabara, mitandao ya simu haisomi, ubakaji.
Kila aina ya shida zinapatikana Turkana.
View attachment 1632351View attachment 1632352View attachment 1632353View attachment 1632354View attachment 1632355
So sad, duh
 
Maisha ya huko Turkana ni zaidi ya maisha ya kuzimu.
Katika karne hii ya sayansi na technolojia watu wanasafirisha watoto kwa kutumia punda.

Turkana ni nchi ndani ya nchi, wapo na jeshi lao. Kila mtu anamilki bunduki. Tangu Kenyatta aingie madarakani sijamsikia akitembelea maeneo yale.

Yesu alitolea mfano kuzimu kwa kutumia shimo la takataka lililokuwa nje ya mji wa jerusalem. Shimo hilo moto ulikuwa hauzimiki lilikuwa linaitwa jehanamu.

Yesu angetokea leo hii angetolea mfano wa kuzimu na Turkana.

Najaribu kutafakari kama kweli shetani(ibilisi) alifukuzwa toka mbinguni na kuangukia duniani, basi huyo ibilisi aliangukia kenya sehemu inayoitwa Turkana.

Napenda kuwauliza wakenya je, mnampango gani na Turkana!? Au mmeitelekeza!?
Njaa, magonjwa, utapiamlo, vita, vurugu, shida ya maji, hakuna umeme, hakuna barabara, mitandao ya simu haisomi, ubakaji.
Kila aina ya shida zinapatikana Turkana.
View attachment 1632351View attachment 1632352View attachment 1632353View attachment 1632354View attachment 1632355
Wenzetu wakisema kenya they mean Nairobi Mombasa, Kisumu na kwa uchache Nakuru
The rest of the Country you can not tell if they supposed to share the same bread
Hii inamaana 1/3 ya Kenya is well developed with all sort of Infrastructure and 2/3 is poorest!
 
Maisha ya huko Turkana ni zaidi ya maisha ya kuzimu.
Katika karne hii ya sayansi na technolojia watu wanasafirisha watoto kwa kutumia punda.

Turkana ni nchi ndani ya nchi, wapo na jeshi lao. Kila mtu anamilki bunduki. Tangu Kenyatta aingie madarakani sijamsikia akitembelea maeneo yale.

Yesu alitolea mfano kuzimu kwa kutumia shimo la takataka lililokuwa nje ya mji wa jerusalem. Shimo hilo moto ulikuwa hauzimiki lilikuwa linaitwa jehanamu.

Yesu angetokea leo hii angetolea mfano wa kuzimu na Turkana.

Najaribu kutafakari kama kweli shetani(ibilisi) alifukuzwa toka mbinguni na kuangukia duniani, basi huyo ibilisi aliangukia kenya sehemu inayoitwa Turkana.

Napenda kuwauliza wakenya je, mnampango gani na Turkana!? Au mmeitelekeza!?
Njaa, magonjwa, utapiamlo, vita, vurugu, shida ya maji, hakuna umeme, hakuna barabara, mitandao ya simu haisomi, ubakaji.
Kila aina ya shida zinapatikana Turkana.
View attachment 1632351View attachment 1632352View attachment 1632353View attachment 1632354View attachment 1632355

Ukitaka wakutukane matusi ya mwilini (siyo ya nguoni), wewe waambie Turkana na Pokot iko Kenya .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom