Is PHP a yesterday's story?, Should beginners learn it?

kali linux

JF-Expert Member
May 21, 2017
1,996
5,045
Hello bosses...

Kwenye kupitia pitia makala mbalimbali mtandaoni na pia humu nimeona watu wanaipondea sana php kwa sababu zisizo za msingi. Hivyo naona na mimi niseme machache kuhusu hilo

Kiufupi tu php haiwezi kutoka kwenye soko kiurahisi kwani zaidi ya asilimia 30% ya websites zote duniani zinatumia php(kwa sababu wordpress site zote ni php na wordpress inapower zaidi ya 30% ya website zote duniani). Pia ukiangalia hosting providers wanaotoa free au cheap hosting wengi wanaruhusu php tu kwenye hizo shared hosting plans na sio python au c#(Hiii inafanya developers/ companies zenye bajeti ndogo ya hosting kutumia php).

Beginners ni vizuri sana kujifunza php coz iko simple kwa kuanzia lakini inakupa mwanga wa kujua mambo mengi sana ambayo utayahitaji kwenye safari yako ya kujifunza languages nyingine. Kwa beginner kujifunza php kutamsaidia ajue concepts zifuatazo in coding point of view
1)Backend programming
2)IP addresses
3)Database management
4)CRUD operations

na mengine mengi ambayo yatakurahishia ukianza kujifunza technology kama ASP.net au DJANGO.

Pia inabidi mtu uchague programming language ya kujifunza kwa kuangalia vitu vikuu viwili
1)Mahitaji yako
2)Learning curve yako

so usiamue tu kuacha php kisa watu wanaisema vibaya au kuchagua python kisa watu wanaisifia bali angalia wewe kama wewe unataka nini na utajifunza vipi.

Mfano hosting providers wote wa bongo wanaruhusu php tu kwenye shared plans zao, hivo hivo kwa hosting wengine wakubwa kama Hostinger, ili kutumia python au nodejs kwa backend wanakutaka uwe na VPS plan au Dedicated cloud hosting.

Hivyo kwa beginners nashauri muanze na HTML(japo sio programming lang), CSS na Basic javascript(itakusaidia kwenye jquery) kwa upande wa front end (UI/UX designing) lakini kwenye backend nashauri muanze na PHP kwani iko very cheap and simple in terms of resources, support, learning and hosting cost (I recommend 000webhost for free php hosting)



Happy coding.......!
Kali linux(Fullstack Programmer)
 
Namecheap hosting zao ziko zinasapoti python, hata kibiashara php bado iko hot,

Maana small entrepreneurs wengi hupendelea wp kutokana na urahisi wa SEO. Na wengine hutumia woocommerce kwa online retail store.

Sema php attackers hawachezi nayo mbali kama developer hatakuwa makini.
 
hata kibiashara php bado iko hot,

Maana small entrepreneurs wengi hupendelea wp kutokana na urahisi wa SEO. Na wengine hutumia woocommerce kwa online retail store.

Sema php attackers hawachezi nayo mbali kama developer hatakuwa makini.
Good point.

Ni swala tu la kuwa makini kwenye security. Kizuri ni kwamba security issue kubwa sana huwa ni SQL injection lakini kwa msaada wa PREPARED STATEMENTS za php hakuna shaka na sql injection tena labda hackers waje na njia za kuzibypass prepared statements kitu ambacho bado hakijafanyika
 
Napenda kujifunza languages humu ila tatizo nyuzi nyingi za masomo nikianza kufatilia zinaishia njiani
 
Napenda kujifunza languages humu ila tatizo nyuzi nyingi za masomo nikianza kufatilia zinaishia njiani
Ofcoz kwenye huu uzi sitoi tutorial lkn nna nyuzi fln hivi zamani nilikua natoa darasa la programing.

Tatizo ni kwamba watu hawako serious coz nilifungua hadi group la telegram lkn member wa humuhumu ndo wanajoin na kuanza kushare vitu vya ajabu ajabu kwenye group hadi video za porn.

Ila niko natafuta njia sahihi ya kuwafundisha wenye uhitaji.
 
Ofcoz kwenye huu uzi sitoi tutorial lkn nna nyuzi fln hivi zamani nilikua natoa darasa la programing.

Tatizo ni kwamba watu hawako serious coz nilifungua hadi group la telegram lkn member wa humuhumu ndo wanajoin na kuanza kushare vitu vya ajabu ajabu kwenye group hadi video za porn.

Ila niko natafuta njia sahihi ya kuwafundisha wenye uhitaji.
Aisee wenye uhitaji tupo kama utapata njia ya kufundishana hivi vitu tushtuane
 
Hello bosses...

Kwenye kupitia pitia makala mbalimbali mtandaoni na pia humu nimeona watu wanaipondea sana php kwa sababu zisizo za msingi. Hivyo naona na mimi niseme machache kuhusu hilo

Kiufupi tu php haiwezi kutoka kwenye soko kiurahisi kwani zaidi ya asilimia 30% ya websites zote duniani zinatumia php(kwa sababu wordpress site zote ni php na wordpress inapower zaidi ya 30% ya website zote duniani). Pia ukiangalia hosting providers wanaotoa free au cheap hosting wengi wanaruhusu php tu kwenye hizo shared hosting plans na sio python au c#(Hiii inafanya developers/ companies zenye bajeti ndogo ya hosting kutumia php).

Beginners ni vizuri sana kujifunza php coz iko simple kwa kuanzia lakini inakupa mwanga wa kujua mambo mengi sana ambayo utayahitaji kwenye safari yako ya kujifunza languages nyingine. Kwa beginner kujifunza php kutamsaidia ajue concepts zifuatazo in coding point of view
1)Backend programming
2)IP addresses
3)Database management
4)CRUD operations

na mengine mengi ambayo yatakurahishia ukianza kujifunza technology kama ASP.net au DJANGO.

Pia inabidi mtu uchague programming language ya kujifunza kwa kuangalia vitu vikuu viwili
1)Mahitaji yako
2)Learning curve yako

so usiamue tu kuacha php kisa watu wanaisema vibaya au kuchagua python kisa watu wanaisifia bali angalia wewe kama wewe unataka nini na utajifunza vipi.

Mfano hosting providers wote wa bongo wanaruhusu php tu kwenye shared plans zao, hivo hivo kwa hosting wengine wakubwa kama Hostinger, ili kutumia python au nodejs kwa backend wanakutaka uwe na VPS plan au Dedicated cloud hosting.

Hivyo kwa beginners nashauri muanze na HTML(japo sio programming lang), CSS na Basic javascript(itakusaidia kwenye jquery) kwa upande wa front end (UI/UX designing) lakini kwenye backend nashauri muanze na PHP kwani iko very cheap and simple in terms of resources, support, learning and hosting cost (I recommend 000webhost for free php hosting)



Happy coding.......!
Kali linux(Fullstack Programmer)
Umeandika vizuri sana,

Pia wasiiache JavaScript nayo muhimu sana
 
Php ilipata bad reputation kutokana na sababu kuu mbili
1. kuwepo kwa kundi kubwa la novice web developers wanaoandika Spaghetti codes
2. Security flaws&Bugs

Thanks for modern php framework Kama Laravel.....Heshima ya Php imerudi Tena

Recommendation yangu kwa wanaoanza ni kujifunza Framework Kama hizi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello bosses...

Kwenye kupitia pitia makala mbalimbali mtandaoni na pia humu nimeona watu wanaipondea sana php kwa sababu zisizo za msingi. Hivyo naona na mimi niseme machache kuhusu hilo

Kiufupi tu php haiwezi kutoka kwenye soko kiurahisi kwani zaidi ya asilimia 30% ya websites zote duniani zinatumia php(kwa sababu wordpress site zote ni php na wordpress inapower zaidi ya 30% ya website zote duniani). Pia ukiangalia hosting providers wanaotoa free au cheap hosting wengi wanaruhusu php tu kwenye hizo shared hosting plans na sio python au c#(Hiii inafanya developers/ companies zenye bajeti ndogo ya hosting kutumia php).

Beginners ni vizuri sana kujifunza php coz iko simple kwa kuanzia lakini inakupa mwanga wa kujua mambo mengi sana ambayo utayahitaji kwenye safari yako ya kujifunza languages nyingine. Kwa beginner kujifunza php kutamsaidia ajue concepts zifuatazo in coding point of view
1)Backend programming
2)IP addresses
3)Database management
4)CRUD operations

na mengine mengi ambayo yatakurahishia ukianza kujifunza technology kama ASP.net au DJANGO.

Pia inabidi mtu uchague programming language ya kujifunza kwa kuangalia vitu vikuu viwili
1)Mahitaji yako
2)Learning curve yako

so usiamue tu kuacha php kisa watu wanaisema vibaya au kuchagua python kisa watu wanaisifia bali angalia wewe kama wewe unataka nini na utajifunza vipi.

Mfano hosting providers wote wa bongo wanaruhusu php tu kwenye shared plans zao, hivo hivo kwa hosting wengine wakubwa kama Hostinger, ili kutumia python au nodejs kwa backend wanakutaka uwe na VPS plan au Dedicated cloud hosting.

Hivyo kwa beginners nashauri muanze na HTML(japo sio programming lang), CSS na Basic javascript(itakusaidia kwenye jquery) kwa upande wa front end (UI/UX designing) lakini kwenye backend nashauri muanze na PHP kwani iko very cheap and simple in terms of resources, support, learning and hosting cost (I recommend 000webhost for free php hosting)



Happy coding.......!
Kali linux(Fullstack Programmer)
Vipi node js mkuu
 
Vipi node js mkuu
Nodejs iko poa sana na ndio 2nd option yangu kwa backend kama c# haitokidhi mahitaji lakini kwa hapa nasemea kuhusu beginners. Issue kubwa kwa nodejs nayo ni issue ya hosting, labda kama unaweka projects zako kwa localhost basi itakufaa kwa kuanzia ila kama unataka kutengemeza kitu ukiweke mtandaoni basi jipange kununua VPS au dedicated hosting.
 
Nodejs iko poa sana na ndio 2nd option yangu kwa backend kama c# haitokidhi mahitaji lakini kwa hapa nasemea kuhusu beginners. Issue kubwa kwa nodejs nayo ni issue ya hosting, labda kama unaweka projects zako kwa localhost basi itakufaa kwa kuanzia ila kama unataka kutengemeza kitu ukiweke mtandaoni basi jipange kununua VPS au dedicated hosting.
Me ninazo vps za digital ocean mbili za ubuntu nimeweka domain kadha zipoin kwenye IP yake backed end node js, box mbili nyingine windows server 2012 R2 IIS 8.5 backed end asp .net
 
Kaka tupo wengi sana tunao hitaji nisaidie contact zako kaka


Ofcoz kwenye huu uzi sitoi tutorial lkn nna nyuzi fln hivi zamani nilikua natoa darasa la programing.

Tatizo ni kwamba watu hawako serious coz nilifungua hadi group la telegram lkn member wa humuhumu ndo wanajoin na kuanza kushare vitu vya ajabu ajabu kwenye group hadi video za porn.

Ila niko natafuta njia sahihi ya kuwafundisha wenye uhitaji.
 
Back
Top Bottom