Is our Rais (president) equivalent to waziri wa mambo ya nje wa Marekani?

KIDUNDULIMA

JF-Expert Member
Aug 18, 2010
966
537
Juzi wakati natazama taarifa ya habari, kabla ya Rais watu kuonyeshwa akihutubia, alionyeshwa mama Clinton akihutubia baadaye akaonyeshwa raisi wetu. Hivi kweli safari hile ilikuwa ni lazima rais wetu aende na kusema alichokuwa anakisema na sisi tungemtuma Membe ili akamwakilishe rais wetu kama Marekani walivyofanya? Kwa kweli inasikitisha kuona rais wetu akihudhulia mikutano ya nje mara kwa mara wakati hakuna ulazima wa kwenda yeye mwenyewe. Au nyumbani hapakaliki na hakuna cha kufanya?
 
Ni kweli, katika mkutano ule kulikuwa na maraisi wawili tu; rais wa Brazil (mwenyeji) na rais wa Tanzania. Nchi nyingine zote zilizohudhuria ziliwakilishwa na mawaziri. Kwa hali hiyo ni sawa kabisa kusema kuwa rais wa Tanzania ana hadhi sawa na ya waziri tu katika nchi nyingine.
 
Waziri wa mambo ya nje wa marekani ni mtu mkubwa sana kuliko hata Ban Ki Moon , wachilia mbali huyo kikwenga
 
Kikwete si ndiye waziri wa mambo ya nchi za nje hapa Tanzania, hatuna rais, Membe ni waziri kivuli.
 
inasikitisha kila cku yuko angani kuhudhuria mikutano wakati tunae waziri husika hv when will he ever learn to be serious on issues mambo yakienda kombo utasikia wazee wa dar es salaam yan mpka inaudhi aise
 
..mimi nimeshangaa kweli.

..badala ya kufanya mambo ya maana anakwenda kukutana na kocha Maximo.

..hajui kwamba Maximo hapo ana-take advantage kujitangaza yeye, na siyo Tanzania.
 
inasikitisha kila cku yuko angani kuhudhuria mikutano wakati tunae waziri husika hv when will he ever learn to be serious on issues mambo yakienda kombo utasikia wazee wa dar es salaam yan mpka inaudhi aise

A fool at fourty is a fool indeed, he will never learn
 
Back
Top Bottom