Is Obama big loser!?

Obama amerithi matatizo makubwa sana kuliko Rais yeyote yule wa Marekani tangu ipate uhuru 1776. Ni matatizo ambayo hawezi kabisa kuyamaliza kwa kipindi cha miaka minne, lakini Wamarekani ikifika 2012 watauliza, "What have you done to me lately?" na wengi wao jibu la swali hili litakuwa NOTHING! kwa hiyo inawezekana kabisa akawa wa awamu moja labda miracle itokee na uchumi kuanza kupaa kwa speed ambayo si ya kawaida na hivyo kumuwezesha tena kurudi WH.

Na Obama ndio anazidisha spending na hii bajeti yake mpya!!
 
Na Obama ndio anazidisha spendind na hii bajeti yake mpya!!

Ni ngumu mno kupunguza bajeti wakati uchumi unasuasua vinginevyo recession itarudi tena na Employers wataanza tena kupitisha fagio na kupunguza mamilioni ya Wafanyakazi, kitu ambacho Obama na Serikali yake hawataki kitokee. Obama is between a rock and a hard place.
 
Wewe unalinganisha Rwanda na USA?

Kweli kuna kazi JF.

USA ni taifa KUBWA LILILOENDELEA na Rwanda ni NI TAIFA DOGO LINALOENDELEA

Ninachoongelea ni Strategic or institutional management.


Double dip recession inawezekana kwa kila nchi ambayo inanyanyuka from a recession into recovery na sababu kubwa ni kwamba after several fiscal policies and monetary policy it realy depends to consumer spending to kick start the economy. However ikiwa watu na makampuni hayaspend zile stimulus package inamaana kuna kuwa savings ya kiwango kikubwa kitu ambacho kinapelekea kuwa hamna mzunguko wa kipesa katika uchumi.
Sijaona Obama anahusikaje hapo mkubwa!!!!!
Again, Strategic or institutional management.

Kwakumalizia mtu ambaye ameona mbali ni hii post hapa chini


Obama amerithi matatizo makubwa sana kuliko Rais yeyote yule wa Marekani tangu ipate uhuru 1776. Ni matatizo ambayo hawezi kabisa kuyamaliza kwa kipindi cha miaka minne, lakini Wamarekani ikifika 2012 watauliza, "What have you done to me lately?" na wengi wao jibu la swali hili litakuwa NOTHING! kwa hiyo inawezekana kabisa akawa wa awamu moja labda miracle itokee na uchumi kuanza kupaa kwa speed ambayo si ya kawaida na hivyo kumuwezesha tena kurudi WH.
 
Ni ngumu mno kupunguza bajeti wakati uchumi unasuasua vinginevyo recession itarudi tena na Employers wataanza tena kupitisha fagio na kupunguza mamilioni ya Wafanyakazi, kitu ambacho Obama na Serikali yake hawataki kitokee. Obama is between a rock and a hard place.

Na ndio maana nikauliza
Is Obama big loser!?
 
Back
Top Bottom