Is marriage overrated....???

Vulnerabilities arises literally?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msiowa na mskiokua na uwezo wa kuowa naona mnajifariji


Nimetembea na wanawake kazaa nje kabla ya kuowa

Ila nilicho experience ndoa ni kitu cha fahari sna ndoa imeeka maisha yangu so stable , hata furaha imezid maradufu , pia hata kitendo cha ndoa nakifanya kwa utulivu kabisa bila pressure maana najua mda wote chakula ninacho ndani sikifanyii haraka ninakila ktk mda muafaka kabisa
 
Nikiona post inahusu ndoa nastuka, maana pressure ya kuoa inakua kubwa kila siku.

Ni hatari sana. Lazima uwe na moyo wa chuma kupambana na family and relative pressure.

Mwaka huu niko 30, kila naekutana nae ananiuliza naoa lini, naoa lini. Fucking shit!
 
Wenzetu wana nyodo ila wamegongwa lable ya expired date, Mungu ahsante kwa kunifanya mtu mwanamme.
 
Na ungejua mbunye ya wizi na kufanya kwa wasiwasi ndo tamu.
 
Huyu jamaa namsifu sana ukitaka kupata shida maishni muoe mwanamke unayempenda , kwakweli utapata shida sana tena sana

Na chanzo cha mume kumtenda dhambi muumba wake ni kumpenda mke sana. Hapa lolote demu atakaolotaka utafanya kwa kila namna

Ukitaka mume upate nateso oa ukipendacho kumoya utajinyonga ski ya nani
 
Hahahhahhahahahaha damnn..... Sound acoustic.
Yes I will and only death will apart us regardless of hardships and leisures.
For this reason a man will leave his father and mother and be united to his wife, and the two will become one flesh...So they are no longer two, but one flesh.
So will you marry manka??
 
One of the best comments ever [emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Spare my ribs.....[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ukijitia mbishi unapasuka au unauponza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…