hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??
Mleta mada nawe ni MZIGO tu.walichokifanya haikuwa sahihi kumpa uzito kiongozi wa upinzani while mkuu wa nchi alikuwepo na walichofanya ni kutuhabarisha tu kuwa alikuwepo, kitendo hiki kilimaanisha kwamba mhusika mkuu alikua kiongozi wa upinzani na si mkuu wa nchi , kosa kubwa..
Sasa kama raisi hakusema chochote kwenye huo msiba zaidi ya kumwaga mchanga kaburini ulitegemea ITV watangaze nini?Hapo unazungumzia choice, lakini sisi tunazungumzia utaratibu, utaratibu haukuwa sahihi, hiyo ndio msingi wa lalamiko langu
Hata kipofu anajua kuwa ITV ni Chadema.
Hata kipofu anajua kuwa ITV ni Chadema.
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.
Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.
Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.
Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.
Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.
What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.
Media houses should play their role of reporting and not politics.
Simple calculations: Chadema cha wachagga + ITV ya wachagaa = ITV is Pro Chadema
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.
Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.
Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.
Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.
Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.
What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.
Media houses should play their role of reporting and not politics.
NASEMA TENA NA TENA........chokochoko zote hizi ni hasira za vichapo vya M4C PAMOJA DAIMA! Na badoHata kipofu anajua kuwa ITV ni Chadema.
Mkuu hiyo ndo kazi ya mhariri mkuu wa media house yoyote ile, kuchagua habari ambayo a najua itavutia wateja wake, ie watazamaji kwa kesi ya hapo juu. Inaonekana Sam LUhanga hakuongea kitu cha maana that's why walichukua speech ya mbowe sbb ilikuwa na uzito. Si kila tukio akiwepo rais ni tukio.wa jamii iliyostaarabika kwamba mahali anapokuwepo kiongozi wa nchi apewe uzito unaostahili
hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??
Apewe uzito kwani kwao hali..wa jamii iliyostaarabika kwamba mahali anapokuwepo kiongozi wa nchi apewe uzito unaostahili