Miundo Mbinu ya umwagiliaji ndio itakua mkombozi wa kiuchumi Tanzania
Irrigation scheme ndo zitachochea viwanda Tanzania
Shillingi imezidi kuanguka thamani kwa sababu no Export.. Tupunguze import za bidhaa ambazo tunaweza kuzalisha kama Shayiri, Ngano, Palm oil na Nguo
Serikali imeshindwa kuchochea biashara ya utalii...shangaa huu ndio msimu wa Utalii, FOREX nyingi zimeletwa lakini shillingi hoiiii
MNRT na Maghembe wanapiga propaganda kuwa watalii wameongezeka....Ukweli utajulikana tu
Kutegemea mvua pekee ni upumbafu mkubwa sana Watanzania.... Serikali imekalia tu Siasa za kuua upinzani.
Kutengeneza mabwawa ya kuvuna mvua ni gharama nafuu....ambapo mvua zikikatika kabla mazao hayaja komaa, mabwawa yatasaidia kutoa unyevu mpaka mazao yakomae
Mito na maziwa tunayo.
Mikopo wanakopa na hatujui inafanya nini.....
Irrigation schemes ijengwe sambamba na Barabara
Ajira kwa vijana itakuwa ndoto
Tanzania imekuwa ya mipasho Njaaa, njaa, njaaa
Irrigation scheme ndo zitachochea viwanda Tanzania
Shillingi imezidi kuanguka thamani kwa sababu no Export.. Tupunguze import za bidhaa ambazo tunaweza kuzalisha kama Shayiri, Ngano, Palm oil na Nguo
Serikali imeshindwa kuchochea biashara ya utalii...shangaa huu ndio msimu wa Utalii, FOREX nyingi zimeletwa lakini shillingi hoiiii
MNRT na Maghembe wanapiga propaganda kuwa watalii wameongezeka....Ukweli utajulikana tu
Kutegemea mvua pekee ni upumbafu mkubwa sana Watanzania.... Serikali imekalia tu Siasa za kuua upinzani.
Kutengeneza mabwawa ya kuvuna mvua ni gharama nafuu....ambapo mvua zikikatika kabla mazao hayaja komaa, mabwawa yatasaidia kutoa unyevu mpaka mazao yakomae
Mito na maziwa tunayo.
Mikopo wanakopa na hatujui inafanya nini.....
Irrigation schemes ijengwe sambamba na Barabara
Ajira kwa vijana itakuwa ndoto
Tanzania imekuwa ya mipasho Njaaa, njaa, njaaa