Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,912
Kweli tumekosa kabisa njia ya kupunguza ajali barabarani tofauti na torch? wataalamu wetu wanatuangusha sana.
kama wakinga hawataki wasukuma wapeleke mabasi yao si waseme kuliko kuuana hivi jamaniAjali zote z mabasi zinazosababisha vimo wamiliki wa mabasi hayo yote ni wasukuma?
Uwongo mweupeHilo bas ni la musukuma na wasukuma sio watu wazur wanatoa ndagu sana bado na super shem ndo wasukuma hao hao
Mungu tunambebesha tabia zetu mbovu za kutokuheshimu sheria na spidi barabaranipoleni wafiwa .. Muungu walinde wasafiri wote
Kweli tumekosa kabisa njia ya kupunguza ajali barabarani tofauti na torch? wataalamu wetu wanatuangusha sana.
Ni kweliNa tochi ndio visababishi vikubwa vya ajali nyingi maana dereva anatii sana sheria lakini atakapopata upenyo unaweza dhani kama kapata kichaa
Dah! nimecheka sana ccm wana kamati yao ya ufundi ya kulonga chemsha upite anga laoduuu ccm bado wanaendeleza yao
Kuna ukweli hapo?? Mimi nahisi sikukuu ndyo chanzo gari zinajaa sanawakinga watatumaliza
Hakuna ukaguzi hukuSerikali inabidi itupie macho sana huko iringa,kwa ajali imekua too much
Mungu wa rehema haturehemuMungu tunambebesha tabia zetu mbovu za kutokuheshimu sheria na spidi barabarani