Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,917
- 71,497
Kafata nini HOSPITALI hili ndio jambo la kwanza tunatakiwa kulifahamu...TUSIKIMBUILIE KULAUMU POLISI KUWAKAMATA HAWA WAPINZANI UCHWARA ESPECIALLY KIPINDI HIKI.....maana wao ndio wanatafuta kukamatwa ili kuwaaminisha wananchi ya kuwa WAPINZANI WANAONEWA....wanafanya hivi kuendelea kutengeneza chuki na kuikuza juu ya JESHI LA POLISI NA WANANCHI........
Kutembelea wagonjwa nayo imekuwa issue? Mother fanta!