Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Wakuu!
😀😀 Watia Nia naona wanataka kuonewa huruma siyo Sera ndio ziwabebe
Mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Nguvu Chengula maarufu kama Sauti ya Simba, alipiga magoti na kutishia kulia machozi mbele ya wajumbe wa CCM Kata ya Kihesa, wakati akiomba kura ya ndiyo ili kupata ridhaa ya kuwania nafasi ya ubunge kupitia chama hicho kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
😀😀 Watia Nia naona wanataka kuonewa huruma siyo Sera ndio ziwabebe
Mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Nguvu Chengula maarufu kama Sauti ya Simba, alipiga magoti na kutishia kulia machozi mbele ya wajumbe wa CCM Kata ya Kihesa, wakati akiomba kura ya ndiyo ili kupata ridhaa ya kuwania nafasi ya ubunge kupitia chama hicho kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.