upupu255
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 341
- 476
Katibu wa NEC organaizesheni na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Issa Gavu amezindua mradi wa Maduka ya chama Cha mapinduzi yaliopo stendi kuu ya Zamani huku akiwaasa wanachama pamoja na wafabiashara kuitunza milango (flemu) hizo.
Akizungumza wakati wa Kuzindua na kuweka jiwe la msingi flemu hizo Issa Gavu ambae ni Katibu wa NEC organaizesheni wa Kamati kuu ya CCM amesema mradi huo ni mkubwa hivyo ni wajibu wa Kila mwanachama kuitunza na kuilinda.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mradi huu ni mkubwa wote tunajua kuwa uchumi ni siasa na siasa ni uchumi hivyo ni vema chama Cha mapinduzi CCM kikawa na Miradi mizuri na yenye Tija Ili kusaidia chama na jamii. "Alisema Gavu"
Kwa upande wake Katibu wa chama Cha Mapinduzi CCM tawi la stendi kuu Bi. Paulina Senyota amesema kamati ilikusanya jumla ya Shilingi milioni 178 kwa ajili ya ujenzi wa flemu 22 na ujenzi huo ulianza mwezi Mei 2023 na umekamilika mwezi machi 2025.
Akizungumza wakati wa Kuzindua na kuweka jiwe la msingi flemu hizo Issa Gavu ambae ni Katibu wa NEC organaizesheni wa Kamati kuu ya CCM amesema mradi huo ni mkubwa hivyo ni wajibu wa Kila mwanachama kuitunza na kuilinda.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mradi huu ni mkubwa wote tunajua kuwa uchumi ni siasa na siasa ni uchumi hivyo ni vema chama Cha mapinduzi CCM kikawa na Miradi mizuri na yenye Tija Ili kusaidia chama na jamii. "Alisema Gavu"
Kwa upande wake Katibu wa chama Cha Mapinduzi CCM tawi la stendi kuu Bi. Paulina Senyota amesema kamati ilikusanya jumla ya Shilingi milioni 178 kwa ajili ya ujenzi wa flemu 22 na ujenzi huo ulianza mwezi Mei 2023 na umekamilika mwezi machi 2025.