The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,251
Post deleted by author!
tupo kwa cachella wambali mkuu,njoo utatukuta...jioni tumehamia kwa kibangali pale kwake kaleta watoto wa singida,tunapaita KIBANGA AMPIGA MKOLONI...karibu tujumuike.Wasalaam,
Katika Uchunguzi ambao nimeufanya hapa kwetu kuanzia mwezi wa Kwanza, Vijiwe vingi (Bar na Grocery pamoja na 'sebule' za starehe vimepoa na havina watu kabisa si kama zamani. Kwa mfano katika kijiwe changu cha C2C BAR na IN BOX nilikuwa nikifika tu mida ya 2:00 usiku hakuna mahali pakukaa wateja wamejaa mpaka wengine tunaishia nje. Lakini ni tofauti hawatujahi kama zamani mtu ananua zake moja anaondoka.
Na kwa Upande wa migahawani sasa ni tofauti Chai haipikwi sana kama zamani. Saa mbili asubuhi ukipita vibanda vya CCM Ugali umeshaiva na ikifika saa 4 Umeshaisha na kuanza kupikwa mwingine.
Vipi hali ya vijiwe huko mtaani kwenu.
Masela kibao wanauza hivyo visafirio. Utasikia jamaa anavunga oooh! Bi mkubwa kijijini anaumwa hivyo hakuna namna.Na bado hizo vitz na passo mtazipark na kuhamia kwenye bodaboda TVS HLX
Teh teh teh! Siku hizi kuna adabu sana hata ukiingia bar ukaagiza bia mbili tu unaheshimika. Miami, Stereo, Luxury, VIP na hata LaParte siku hizi watu wamegeuza vijiwe vya story na si kupiga monde tena! Magufuli katisha sanaPita Vijiwe vyote Utaona.
Ebu jaribu kufanya utafiti,nini kimesababisha khali hiyo.Wasalaam,
Katika Uchunguzi ambao nimeufanya hapa kwetu kuanzia mwezi wa Kwanza, Vijiwe vingi (Bar na Grocery pamoja na 'sebule' za starehe vimepoa na havina watu kabisa si kama zamani. Kwa mfano katika kijiwe changu cha C2C BAR na IN BOX nilikuwa nikifika tu mida ya 2:00 usiku hakuna mahali pakukaa wateja wamejaa mpaka wengine tunaishia nje. Lakini ni tofauti hawatujahi kama zamani mtu ananua zake moja anaondoka.
Na kwa Upande wa migahawani sasa ni tofauti Chai haipikwi sana kama zamani. Saa mbili asubuhi ukipita vibanda vya CCM Ugali umeshaiva na ikifika saa 4 Umeshaisha na kuanza kupikwa mwingine.
Vipi hali ya vijiwe huko mtaani kwenu.
Teh teh teh! Siku hizi kuna adabu sana hata ukiingia bar ukaagiza bia mbili tu unaheshimika. Miami, Stereo, Luxury, VIP na hata LaParte siku hizi watu wamegeuza vijiwe vya story na si kupiga monde tena! Magufuli katisha sana
Doooh! Pole sana mkuu, tupo wengi maana nami nimefunga duka wakopaji wamekuwa wengi.Tafuta Uzi apa Jamii forum heading; shikamoo serikali awamu5 nimefungar bar yangu
AhsanteDoooh! Pole sana mkuu, tupo wengi maana nami nimefunga duka wakopaji wamekuwa wengi.
Hah...hah..hah..tupo kwa cachella wambali mkuu,njoo utatukuta...jioni tumehamia kwa kibangali pale kwake kaleta watoto wa singida,tunapaita KIBANGA AMPIGA MKOLONI...karibu tujumuike.
Wasalaam,
Katika Uchunguzi ambao nimeufanya hapa kwetu kuanzia mwezi wa Kwanza, Vijiwe vingi (Bar na Grocery pamoja na 'sebule' za starehe vimepoa na havina watu kabisa si kama zamani. Kwa mfano katika kijiwe changu cha C2C BAR na IN BOX nilikuwa nikifika tu mida ya 2:00 usiku hakuna mahali pakukaa wateja wamejaa mpaka wengine tunaishia nje. Lakini ni tofauti hawatujahi kama zamani mtu ananua zake moja anaondoka.
Na kwa Upande wa migahawani sasa ni tofauti Chai haipikwi sana kama zamani. Saa mbili asubuhi ukipita vibanda vya CCM Ugali umeshaiva na ikifika saa 4 Umeshaisha na kuanza kupikwa mwingine.
Vipi hali ya vijiwe huko mtaani kwenu.
Sababu kubwa Mifuko ya wengi imetoboka...Hujasema sababu ni nini??!!Vile vibanda vya CCM, kwa Joyce na wenzake pakoje sasa, maana nimefika siku nyingi pale...kulikuwa na supu safi ya kuku saa za jioni kuanzia saa 12.30 jioni...nilikaa hapo Iringa wiki moja hivi...
wenye vits wanazitamani bodaboda tatizo wanataka muanzilishi. Tunakoelekea watu sasa hivi wataanza kununua bajaj waendeshe wenyewe kwenye misele, watajifanya swaga kumbe bei ya wese inaumiza.Na bado hizo vitz na passo mtazipark na kuhamia kwenye bodaboda TVS HLX
Sababu kubwa Mifuko ya wengi imetoboka...
Kwa dada joy bado panaendelea supu za kuku kama kawaida..
Hah..hah..Ulanzi Umeshaisha...sasa ni msimu wa MACHICHA..Aaaah, safi, nitafika Iringa miezi michache ijayo, Mungu akipenda...suala la mifuko 'kutoboka' siyo la Iringa tu, mahali pengi ndivyo hali ilivyo...Dar es salaam, wanaisoma namba pia, mbege inaanza kupata soko maeneo ya Kimara, Mbezi na kadhalika...ila nimesikia wanywa mbege wakilalamika kuwa kuna 'viroba' vinawekwa kwenye mbege, duh, kama ni kweli hii ni hatari sana...Nyie wa Iringa piganieni ULANZI upate soko kubwa kubwa...