Dont play with God's Nation
Hivi hiyo novel inayoitwa bible ndio inakuwa msingi wa kunyanyasa binadamu wengine?
Huko ni kujidharaulisha mwenyewe - no super humans my friends!
KAMA WEWE UNAAMINI HAO WAYAHUDI NI BORA KULIKO WEWE THEN TAFADHALI SANA NI WEWE SIO SISI; USITUJUMLISHE!
Unajua hakunanayeweza kukudharau bila ya wewe mwenyewe kukubali kudharaulika? Ndo maana wanaojithamini wako tayari kufa!
Ni attitude tu na ufisadi wa kila aina