clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,386
- 2,513
Saudi LED coalition ni coalition ya kizembe sana haijawahi tokea duniani ,Ansarullah au Houthis fighter supported by Iran wamepewa technology kidogo ya drone aina ya Qasef ambazo zinabeba mabomu kidogo na Pia wamepewa tech ya makombora basi Saudi haamini kinachoendelea maana jamaa wanalipua uko Najan Saud kwa hizo drone achilia missile Vita inaenda mwaka wa 3 na Saudi,UAE na washirika wake bado hawajashinda
Mkuu mlichowahi kuamini.....ila mlipiga mkwara mkisema toka November 5 iran haitauza hata 0 mkaja mkasema may 1 itakua ndo kifo cha iran leo tunaelekea july naona hamna kitu..Tangu vikwazo vianze HAKUNA Nchi iliyonunua mafuta ya Iran labda kabla ya ya May 1.
https://sputniknews.com/business/201905281075397882-china-iran-oil-usa-sanctions/
Hahahaha....Leo chombo chenu pendwa Cha Sputnik kimekua cha uongoMkuu mlichowahi kuamini.....ila mlipiga mkwara mkisema toka November 5 iran haitauza hata 0 mkaja mkasema may 1 itakua ndo kifo cha iran leo tunaelekea july naona hamna kitu..
Unachozungumza kuwa eti China hajanunua mafuta iran ni link zenu za uwongo na za kujifariji tu..China ameanza kununua mafuta kwa wingi ndo maana juzi marekani alikua hadi akitaka meli za Iran na nyingine za China zinazonunua mafuta ya Iran zizuiliwe hongkong jambo ambalo ni ndoto
Mbona kama Advanced Patriot ya Reythion....au ameshapiga photocopy ya PatriotIran imezindua mfumo wa kujilinda kwa makombora uliotengenezwa kikamilifu hapa nchini unaoweza kulenga shabaha sita za adui kwa wakati mmoja.
Mfumo huo wa makombora uliopewa jina la Khordad 15 umezinduliwa mbele ya Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Amir Hatami.
Akizungumza katika uzinduzi huo hii leo, Brigedia Jenerali Hatami amesema kuwa, mfumo wa makombora wa Khordad 15 una uwezo wa kugundua ndege za kivita na droni kutoka umbali wa kilomita 150 na kuzifuatilia katika umbali wa kilomita 120. Ameongeza kuwa mfumo huo wa makombora aidha una uwezo wa kugundua maeneo ya siri na kuyasambaratisha katika umbali wa kilomita 45.
Waziri wa Ulinzi wa Iran ameeleza pia kwamba mfumo wa ulinzi wa Khordad 15 unatumia makombora ya Sayyad 3; na una uwezo wa kugundua, kusambaratisha na kutungua shabaha sita kwa wakati mmoja.
Amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunda mifumo mbalimbali ya kukabiliana na makombora na vitisho vingine vya anga kwa kuzingatia kuwepo vikosi vya kikanda katika kambi za nchi zinazoziunguka Iran.
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeeleza kuwa uwezo wake wa kijeshi ni kwa ajili ya kujilinda na si tishio kwa nyingine nyingine.
Tujikumbushe pia iran ana mfumo wa Bavar-373 ambao unapiga kazi kama mfumo wa s300 wa urusiView attachment 1122840View attachment 1122841
Lakini na nyie makafiri ni ovyo zaidiNyie mashia ni wa hovyo sana
Unatukana waislamu eti "mikondoo ya kiarabu"
We ni wa kuwakashifu race ambayo imeupokea Uislam kwa zaidi ya asilimia 90? Ndio maana mshia!
Mkuu hawa watu hawaelewi hizi ishuSasa unachobisha wewe kitu gani?
Juzi tu hapo Trump ametoka kumkashifu Muhammad bin Salman na utawala wote wa Al Saudi kwa kuwaambia wao ni sawa ng'ombe, Marekani anachokifanya kwao ni kukamua tu maziwa na endapo maziwa yao yakiisha Marekani atakua na hiari ya kumchinja au kumtoa kafara kwa mafisi.
Usalafi wako usikuzibe macho kuona upuuzi anaoufanya Msaudi.
Uyo jamaa anapinga wakati hafatilii hata habariMkuu mlichowahi kuamini.....ila mlipiga mkwara mkisema toka November 5 iran haitauza hata 0 mkaja mkasema may 1 itakua ndo kifo cha iran leo tunaelekea july naona hamna kitu..
Unachozungumza kuwa eti China hajanunua mafuta iran ni link zenu za uwongo na za kujifariji tu..China ameanza kununua mafuta kwa wingi ndo maana juzi marekani alikua hadi akitaka meli za Iran na nyingine za China zinazonunua mafuta ya Iran zizuiliwe hongkong jambo ambalo ni ndoto
Sasa unachobisha wewe kitu gani?
Juzi tu hapo Trump ametoka kumkashifu Muhammad bin Salman na utawala wote wa Al Saudi kwa kuwaambia wao ni sawa ng'ombe, Marekani anachokifanya kwao ni kukamua tu maziwa na endapo maziwa yao yakiisha Marekani atakua na hiari ya kumchinja au kumtoa kafara kwa mafisi.
Usalafi wako usikuzibe macho kuona upuuzi anaoufanya Msaudi.
mambo ya kujivunia race ni katika mambo ya jahilia ambayo hata mtume wako ameyakemea vikali sana, huyo unae mtetea wewe mikono yake imejaa damu ya wanawake, watoto na wazee wa kiislamu kuanzia Yemen, Syria, Iraq, n.k
Mashariki ya kati yote inanuka damu yake.
Huo msaada wa tende anaokupatia mwezi wa Ramadan usikufumbe macho mpaka ushindwe kuona mabaya yake jinsi yavyoudhoofisha na kuutukanisha uislam duniani.
Lakini na nyie makafiri ni ovyo zaidi
Lakini na nyie makafiri ni ovyo zaidi
Lakini na nyie makafiri ni ovyo zaidi
Mkuu mm si Shia mm ni sunni ila ww ni kafiri unaejiita eti MUISLAMU wakati unashobokea makafiri wenye DAMU za watuNani Kafiri anaestahiki panga zaidi ya wewe Shia?
NDIO MAANA NIKAKUTITA KAFIRI KWA SABABU WW NI KAFIRIHalafu tofauti Na makafiri wengine nyinyi Ukafiri wenu Uislam umeamrisha tudili kwa panga
Tofauti ya makafiri wale na makafiri nyinyi wa Joshua ni kwamba makafiri wale wana haki ya kuishi katika miji ya kiislamu ila nyinyi ni panga tu
NDIO MAANA NIKAKUTITA KAFIRI KWA SABABU WW NI KAFIRI
Mkuu mm si Shia mm ni sunni ila ww ni kafiri unaejiita eti MUISLAMU wakati unashobokea makafiri wenye DAMU za watu
Poa kafirboyAllah alishashusha wahyi kuwa Ukafiri humrudia anaeongea au kumuita mtu tu kuwa kafiri bila dalili wala ushahidi
Hahahahah
Allah awaangamize mashia wote kote mlipo
NDIO MAANA NIKAKUTITA KAFIRI KWA SABABU WW NI KAFIRI
Poa kafirboy
Poa kafirboy