clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,383
- 2,509
Saudi LED coalition ni coalition ya kizembe sana haijawahi tokea duniani ,Ansarullah au Houthis fighter supported by Iran wamepewa technology kidogo ya drone aina ya Qasef ambazo zinabeba mabomu kidogo na Pia wamepewa tech ya makombora basi Saudi haamini kinachoendelea maana jamaa wanalipua uko Najan Saud kwa hizo drone achilia missile Vita inaenda mwaka wa 3 na Saudi,UAE na washirika wake bado hawajashinda