Iran yazindua mfumo wa kisasa wa makombora wa Khordad 15...unapiga mpaka kilometa 150

Ansarullah au Houthis fighter supported by Iran wamepewa technology kidogo ya drone aina ya Qasef ambazo zinabeba mabomu kidogo na Pia wamepewa tech ya makombora basi Saudi haamini kinachoendelea maana jamaa wanalipua uko Najan Saud kwa hizo drone achilia missile Vita inaenda mwaka wa 3 na Saudi,UAE na washirika wake bado hawajashinda
Saudi LED coalition ni coalition ya kizembe sana haijawahi tokea duniani ,
 
Tangu vikwazo vianze HAKUNA Nchi iliyonunua mafuta ya Iran labda kabla ya ya May 1.

https://sputniknews.com/business/201905281075397882-china-iran-oil-usa-sanctions/
Mkuu mlichowahi kuamini.....ila mlipiga mkwara mkisema toka November 5 iran haitauza hata 0 mkaja mkasema may 1 itakua ndo kifo cha iran leo tunaelekea july naona hamna kitu..
Unachozungumza kuwa eti China hajanunua mafuta iran ni link zenu za uwongo na za kujifariji tu..China ameanza kununua mafuta kwa wingi ndo maana juzi marekani alikua hadi akitaka meli za Iran na nyingine za China zinazonunua mafuta ya Iran zizuiliwe hongkong jambo ambalo ni ndoto
 
Mkuu mlichowahi kuamini.....ila mlipiga mkwara mkisema toka November 5 iran haitauza hata 0 mkaja mkasema may 1 itakua ndo kifo cha iran leo tunaelekea july naona hamna kitu..
Unachozungumza kuwa eti China hajanunua mafuta iran ni link zenu za uwongo na za kujifariji tu..China ameanza kununua mafuta kwa wingi ndo maana juzi marekani alikua hadi akitaka meli za Iran na nyingine za China zinazonunua mafuta ya Iran zizuiliwe hongkong jambo ambalo ni ndoto
Hahahaha....Leo chombo chenu pendwa Cha Sputnik kimekua cha uongo
 
Iran imezindua mfumo wa kujilinda kwa makombora uliotengenezwa kikamilifu hapa nchini unaoweza kulenga shabaha sita za adui kwa wakati mmoja.

Mfumo huo wa makombora uliopewa jina la Khordad 15 umezinduliwa mbele ya Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Amir Hatami.

Akizungumza katika uzinduzi huo hii leo, Brigedia Jenerali Hatami amesema kuwa, mfumo wa makombora wa Khordad 15 una uwezo wa kugundua ndege za kivita na droni kutoka umbali wa kilomita 150 na kuzifuatilia katika umbali wa kilomita 120. Ameongeza kuwa mfumo huo wa makombora aidha una uwezo wa kugundua maeneo ya siri na kuyasambaratisha katika umbali wa kilomita 45.

Waziri wa Ulinzi wa Iran ameeleza pia kwamba mfumo wa ulinzi wa Khordad 15 unatumia makombora ya Sayyad 3; na una uwezo wa kugundua, kusambaratisha na kutungua shabaha sita kwa wakati mmoja.

Amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunda mifumo mbalimbali ya kukabiliana na makombora na vitisho vingine vya anga kwa kuzingatia kuwepo vikosi vya kikanda katika kambi za nchi zinazoziunguka Iran.
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeeleza kuwa uwezo wake wa kijeshi ni kwa ajili ya kujilinda na si tishio kwa nyingine nyingine.

Tujikumbushe pia iran ana mfumo wa Bavar-373 ambao unapiga kazi kama mfumo wa s300 wa urusiView attachment 1122840View attachment 1122841
Mbona kama Advanced Patriot ya Reythion....au ameshapiga photocopy ya Patriot
 
Sasa unachobisha wewe kitu gani?
Juzi tu hapo Trump ametoka kumkashifu Muhammad bin Salman na utawala wote wa Al Saudi kwa kuwaambia wao ni sawa ng'ombe, Marekani anachokifanya kwao ni kukamua tu maziwa na endapo maziwa yao yakiisha Marekani atakua na hiari ya kumchinja au kumtoa kafara kwa mafisi.
Usalafi wako usikuzibe macho kuona upuuzi anaoufanya Msaudi.
Mkuu hawa watu hawaelewi hizi ishu
 
Mkuu mlichowahi kuamini.....ila mlipiga mkwara mkisema toka November 5 iran haitauza hata 0 mkaja mkasema may 1 itakua ndo kifo cha iran leo tunaelekea july naona hamna kitu..
Unachozungumza kuwa eti China hajanunua mafuta iran ni link zenu za uwongo na za kujifariji tu..China ameanza kununua mafuta kwa wingi ndo maana juzi marekani alikua hadi akitaka meli za Iran na nyingine za China zinazonunua mafuta ya Iran zizuiliwe hongkong jambo ambalo ni ndoto
Uyo jamaa anapinga wakati hafatilii hata habari
 
Sasa unachobisha wewe kitu gani?
Juzi tu hapo Trump ametoka kumkashifu Muhammad bin Salman na utawala wote wa Al Saudi kwa kuwaambia wao ni sawa ng'ombe, Marekani anachokifanya kwao ni kukamua tu maziwa na endapo maziwa yao yakiisha Marekani atakua na hiari ya kumchinja au kumtoa kafara kwa mafisi.
Usalafi wako usikuzibe macho kuona upuuzi anaoufanya Msaudi.


Ukome hiyo tabia ya kuwakashifu waarabu, Muhammad bin Abdillah alieteremshiwa Quran na mafundisho yetu ya Uislam ni muarabu wa kabila la kiarabu la Quraish pia waarabu ndio makabila ya binadamu ambayo yameukubali na kuupokea Uislam kwa zaidi ya asilimia 95 ,waarabu waliuhifadhi,waliuhifadhi na kuupigania Uislam

Na mpaka leo Dunia yote inajua jinsi waarabu walivyo kama nembo ya Uislam. Wao waarabu kukataa kiburi cha Ushia isiwe nongwa , utakuwa unatia aibu sana wewe mtu mweusi ukawakashifu waarabu eti "miarabu''

Muislam damu yake,mali yake na heshima yake ni vitu vitukufu, muarabu ni muislam, ndio maana hata kipindi fulani aliefata tamaduni zisizo za kiarabu ilionekana anajifananisha na wasio waislamu
 
mambo ya kujivunia race ni katika mambo ya jahilia ambayo hata mtume wako ameyakemea vikali sana, huyo unae mtetea wewe mikono yake imejaa damu ya wanawake, watoto na wazee wa kiislamu kuanzia Yemen, Syria, Iraq, n.k
Mashariki ya kati yote inanuka damu yake.
Huo msaada wa tende anaokupatia mwezi wa Ramadan usikufumbe macho mpaka ushindwe kuona mabaya yake jinsi yavyoudhoofisha na kuutukanisha uislam duniani.


Acha uongo na unafiki, wewe ulipotamka "miarabu" ndipo ulipoonesha jinsi una unavojivunia race yako na ya waajemi dhidi ya race ya "miarabu'

Unaporecall matamshi ya Trump wala sishangai sababu wewe Mayahudi ni ndugu zako
 
Halafu tofauti Na makafiri wengine nyinyi Ukafiri wenu Uislam umeamrisha tudili kwa panga



Tofauti ya makafiri wale na makafiri nyinyi wa Joshua ni kwamba makafiri wale wana haki ya kuishi katika miji ya kiislamu ila nyinyi ni panga tu
NDIO MAANA NIKAKUTITA KAFIRI KWA SABABU WW NI KAFIRI
 
Mkuu mm si Shia mm ni sunni ila ww ni kafiri unaejiita eti MUISLAMU wakati unashobokea makafiri wenye DAMU za watu


Hakuna na hakujawahi kuwa na muislam anaewapenda mashia labda awe jahili

Kama wewe ni msunni na unawashabikia Iran inabidi ufanye kila uwezalo uende ukasome maana kuwa hujui sio Utetezi pale Allah atapokurejeshea ujao baada ya kutoka kaburini
 
NDIO MAANA NIKAKUTITA KAFIRI KWA SABABU WW NI KAFIRI


Halafu fanya kila njia urudi Tanzania uende kwa masheikh wakakufundishe dini maana ilishafundishwa katika Uislam kuwa kutokujua sio utetezi

Ukikutana na Allah una makosa halafu ukategemea ujitetee kwamba nilikuwa sijui inakula kwako , inakula khasara katika wakati mbaya kabisa
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom