BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,148
- 2,160
Ansarullah au Houthis fighter supported by Iran wamepewa technology kidogo ya drone aina ya Qasef ambazo zinabeba mabomu kidogo na Pia wamepewa tech ya makombora basi Saudi haamini kinachoendelea maana jamaa wanalipua uko Najan Saud kwa hizo drone achilia missile Vita inaenda mwaka wa 3 na Saudi,UAE na washirika wake bado hawajashindaHizo Khordad 15 inatakiwa wakabidhiwe Ansarullah nchini Yemen wamshikishe adabu kibaraka wa mabeberu.